Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Kwa namna jeshi la polisi linavyodili na watuhumiwa wa uhalifu hapa nchini basi ifikie hatua tusiwe na chombo kinachoitwa mahakama.
Maana mtu akituhumiwa kwa wizi wa aina yoyote kabla ya kufika mahakamani lazima apate kipigo na mateso makubwa akiwa chini ya jeshi la polisi.
Ni kweli kabisa taifa linatakiwa lisiwe na uhalifu wa kila namna. Lakini hii haiwezekani maana uhalifu ni kitu natural. Ndio maana kuna mtu anazaliwa kibaka tu. Sasa kama kazaliwa kibaka ndio apigwe na kuteswa ndani ya kituo cha polisi?
Achana na wanaoteswa na kupigwa. Je wanaodhurumiwa mali zao? Hao ndio wengi maana ukikamatwa na polisi wakijua una mali au pesa basi sahau.
Mbaya zaidi maovu ya askari polisi huwa yanafumbiwa macho na viongozi wa taifa hili.
Uhalifu ni suala lisilotakiwa hapa nchini. Lakini uhalifu utazuiwa kwa kuwa na jeshi la polisi linalodhulumu haki za raia wa kila namna? Maana kwa polisi wa Tanzania uwe na makosa au huna makosa basi wese ni mtu wa kudhulumiwa haki.
My take: Dhuluma ya polisi dhidi ya raia imetengeneza chuki kubwa sana dhidi ya IGP Sirro.
Maana mtu akituhumiwa kwa wizi wa aina yoyote kabla ya kufika mahakamani lazima apate kipigo na mateso makubwa akiwa chini ya jeshi la polisi.
Ni kweli kabisa taifa linatakiwa lisiwe na uhalifu wa kila namna. Lakini hii haiwezekani maana uhalifu ni kitu natural. Ndio maana kuna mtu anazaliwa kibaka tu. Sasa kama kazaliwa kibaka ndio apigwe na kuteswa ndani ya kituo cha polisi?
Achana na wanaoteswa na kupigwa. Je wanaodhurumiwa mali zao? Hao ndio wengi maana ukikamatwa na polisi wakijua una mali au pesa basi sahau.
Mbaya zaidi maovu ya askari polisi huwa yanafumbiwa macho na viongozi wa taifa hili.
Uhalifu ni suala lisilotakiwa hapa nchini. Lakini uhalifu utazuiwa kwa kuwa na jeshi la polisi linalodhulumu haki za raia wa kila namna? Maana kwa polisi wa Tanzania uwe na makosa au huna makosa basi wese ni mtu wa kudhulumiwa haki.
My take: Dhuluma ya polisi dhidi ya raia imetengeneza chuki kubwa sana dhidi ya IGP Sirro.