B R A C E L E T
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 2,357
- 4,383
Kwahiyo ulitaka usiwaridhishe wote ili isikuume? Binafsi sipendi kumridhisha kila mwanamke, wengine wanichune tu waende zao , Lakini kama unataka uwe mwanaume wake wa kwanza kumridhisha fanya hivi,kunywa kokoa/kakao iliyokolea (nzito) utamsugua Kama hatakojoa msugue na dole gumba la mguu wa kulia
Mwenyewe amshakwambia hajawahi ridhishwa na mwanaume yeyote , Sasa kinakuuma nini au ndio unataka ujitoe muhanga umridhishe, endelea kusubiri unachokitafuta utakipataHabari wakuu.
Pamoja na umwamba wangu katika mapenzi. Nimekutana na binti mmoja ambaye tumekutana kimwili Mara 4. Leo kanichana wazi baada ya mchezo kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa na mwanaume yeyote.
Nimebaki njia Panda sijui cha kufanya. Natamani nimuache ila naona sio solution nzuri
Naombeni msaada wenu
Khaaaaah kumbe wee ni mtoto?Ndio
Kitu inaloaa
Inakua kubwaaaa
Nakumbatiwa kwa nguvuuuuu
Khaaaaah kumbe wee ni mtoto?
Poleeeeeh sana.utoto hauwezi kuisha mkuu
😂😂mbakajiWewe ni mbakaji mwenzangu mkuu.Stress za maisha huwa zinanistress nashindwa kumwandaa she wangu vizuri.
Unapoteza muda mzeeUpdate
Nimefanikiwa kuweka heshima
Antenna anayo...?isije kuwa unalazimisha kutafuta channel wakati hakuna antenna wala king'amuzi...ohooo bro utaifia hiyo kitu..
Unapoteza muda mzeeHeshima gani akati ushakatwa upepoo humfikishii...
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Pengine michezo yake ni michafu Ile ya kuchunguliwa ndogoHabari wakuu.
Pamoja na umwamba wangu katika mapenzi. Nimekutana na binti mmoja ambaye tumekutana kimwili Mara 4. Leo kanichana wazi baada ya mchezo kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa na mwanaume yeyote.
Nimebaki njia Panda sijui cha kufanya. Natamani nimuache ila naona sio solution nzuri
Naombeni msaada wenu
Ndio michezo yenu kudanganya watuWalikuwa wanakudanganya ......🤣🤣🤣
SanaaWewe unaridhika?
DuhNipe namba yake
Nadhani huyo demu wa jamaa anakutana na jamaa wenye utambi tuComments nyingi zinamnanga huyo mwanamke.
Jamani mna uhakika gani kama mtoa mada hana hatia katika hilo.?
Sasa kama mtu hajui kumkuna mwanamke mwanamke aridhike tu?
Kama mtu anatumia dakk mbili tu wazungu hao mwanamke aridhike tu?
Kama mtu hajui kumwandaa mwanamke mwanamke aridhike tu?
Mtoa mada kaa kwa kutulia kajifunze mapenzi umridhishe mpenzi wako. Paka hata vumbi la kongo.