Inauma sana. Leo amenitamkia wazi kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa

Umeambiwa ukweli umekasirika?
Kama haumridhishi asikuambie?
Mtafute Umridhishe!!!!.
Mwanaume haachi anaachwa.
 
Kwahiyo ulitaka usiwaridhishe wote ili isikuume? Binafsi sipendi kumridhisha kila mwanamke, wengine wanichune tu waende zao , Lakini kama unataka uwe mwanaume wake wa kwanza kumridhisha fanya hivi,kunywa kokoa/kakao iliyokolea (nzito) utamsugua Kama hatakojoa msugue na dole gumba la mguu wa kulia
khaaaah
 
Habari wakuu.

Pamoja na umwamba wangu katika mapenzi. Nimekutana na binti mmoja ambaye tumekutana kimwili Mara 4. Leo kanichana wazi baada ya mchezo kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa na mwanaume yeyote.

Nimebaki njia Panda sijui cha kufanya. Natamani nimuache ila naona sio solution nzuri

Naombeni msaada wenu
Mwenyewe amshakwambia hajawahi ridhishwa na mwanaume yeyote , Sasa kinakuuma nini au ndio unataka ujitoe muhanga umridhishe, endelea kusubiri unachokitafuta utakipata
 
Ungejaribu Linda kulitatua, mi nadhani alikua anajaribu kukuambia mbele alidhiki
 
Antenna anayo...?isije kuwa unalazimisha kutafuta channel wakati hakuna antenna wala king'amuzi...ohooo bro utaifia hiyo kitu..

Mama Konfesa, hivi ni kweli ukosefu wa antenna una uhusiano wa moya kwa moya na hii?

Somo kidogo tafadhali, nataka kufanya hitimisho la utafiti wangu uchwara.
 
Habari wakuu.

Pamoja na umwamba wangu katika mapenzi. Nimekutana na binti mmoja ambaye tumekutana kimwili Mara 4. Leo kanichana wazi baada ya mchezo kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa na mwanaume yeyote.

Nimebaki njia Panda sijui cha kufanya. Natamani nimuache ila naona sio solution nzuri

Naombeni msaada wenu
Pengine michezo yake ni michafu Ile ya kuchunguliwa ndogo
 
Comments nyingi zinamnanga huyo mwanamke.
Jamani mna uhakika gani kama mtoa mada hana hatia katika hilo.?
Sasa kama mtu hajui kumkuna mwanamke mwanamke aridhike tu?
Kama mtu anatumia dakk mbili tu wazungu hao mwanamke aridhike tu?
Kama mtu hajui kumwandaa mwanamke mwanamke aridhike tu?

Mtoa mada kaa kwa kutulia kajifunze mapenzi umridhishe mpenzi wako. Paka hata vumbi la kongo.
Nadhani huyo demu wa jamaa anakutana na jamaa wenye utambi tu
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom