Inauma sana kuachwa sababu hauna pesa

Inauma sana kuachwa sababu hauna pesa

Status
Not open for further replies.
Mimi ninachokuomba usijefanya maamuz magumu maana nyie watu wa iringa hasira zikizidi mnaaga dunia.....
 
Mkuu wala usiendekeze upuuzi wa kumpa mwanamke hata mia yako.

Mimi nimewahi kukumbwa na kadhia kama hiyo, kila siku mizinga mara sijala mara nauli mara sikukuu n.k.. Mwisho wa siku ukimtumia kiasi alichoomba anakuuliza "mbona hujatuma na yakutolea?"

Nimekuja ku realize kuwa ni upumbavu mkubwa tunafanya sisi wanaume. Kuliko umtumie shilingi 50,000/- mwanamke asiekuwa na shukrani wala upendo wowote, ni heri utoe hapo 20,000/- utume kwa wazee wako wanunue hata sukari na chumvi wakukumbuke katika maombi yao na upate kubarikiwa katika mishe zako. Hiyo iliyobaki 10,000/- toa sadaka masjid/kanisani. 20,000/- kula maisha..

Hapo utakuwa umejitendea haki mwenyewe, wazee wako umewathamini na watakuombea mafanikio na Mungu pia umemkumbuka. Sio kuwapa hela hawa viumbe zandiki.
 
Alishakuchoka toka muda hispokuwa alikuwa anakutafutia sababu ya kuachana nawewe.

Labda ulifanya haya...

1.Ulitumia pesa zaidi kumshawishi kuwa nawewe kabla hata upendo hakuwa nao juu yako.
2.Baada ya kuachwa haukupata muda wa kujifikiria,kujipa mapumziko ila zaidi kutafuta mtu aliye sahihi kwako.

3.Ulimuaminisha kuwa kwako pesa si tatizo.

4.Itakuwa alikuonesha dalili muda tu kuwa hakuitaji ila ukajifanya upo bize na kumtafutia pesa kila akiomba unampatia.

5....

Chukua hii.
Sharti la kupenda mwingine hakikisha unajipenda kwanza wewe,ujithamini,ujali kwanza kwanza juu yako ndipo hayo yote umfanyie pia nayeye.

...Chukulia mfano ungekuwa haumpi pesa toka mwanzo mbona angeshakuacha muda ungeshasahau.

Chakufanya.....pumzika kisha utafute mtu sahihi kwako kipaumbele chako kisiwe pesa mbona wengine pesa hatuna ila mapenzi tunapewa hadi tunawaomba wapunguze.
 
Mwamba pole sana, maisha ya kutokuwa na pesa zama hizi hasa ukiwa mtu mzima ni sawa na kuwa yatima bila wazazi. Kila mwanamke atakuwa kama mama wa kambo kwako si unajua yatima hadeki!!!

Cha muhimu nilipopitia hali kama yako nilijifunza kuwa natakiwa kujitegemea kihisia, kiakili na kiuchumi ili niwe na control na maisha yangu. Tokea hapo sisumbuliwi na mahusiano maana sitarajii kupendwa ila itokea freshi tu. Wala sina mpango wa kupenda na sipangiwi bali nachokitaka nikipate tu!

Nadhani ukipitia njia hio itakufaa sana mkuu. Mie ilinisaidia sana, wanawake hawanaga shukrani na wepesi sana kujisahau!
 
Kama ujafikiria kuoa sasa hiv achana na madame viruka njia siku stay alone siku ukiwa na mzuka na show nenda manzese au buguruni at sehem yoyte hapa mjini chukua totozzzz moja piga show
 
Fikiria kama ungeoana nae ndoa yenu itakuwaje? Yaani kama nyumbani hukulete kuku, beef filet au samaki unaambiwa humthamini. Si ndiyo mwanzo wa kuleteana pressure hayo! Mshukuru Mungu wako, mwache aende.
Haswaa. Tena Mungu amemuondoa mapema ili mbeleni asijepata matatizo makubwa zaidi.
Type hiyo ya wadada ndio mjini wako wengi sana halaf hawanaga kazi yoyote. Kudanga na kujipandisha hadhi kwa hela za wengine.

Mm naona bora kaachwa. Yes ameumia lakini bora
 
Inauma kwakweli, inauma!!!
Ila pia na kuachwa na mtu mwenye pesa inaumo mno inauma jamani yani unajiona kama umefukuzwa kazi
Hahaha nimekuelewa. wale wadada wadangaji ukimuacha anakuganda kama kupe. Maana hanajua hana sponsor mwingine ukimuacha mjini atakufa.
 
Bora kakuacha mkuu ili upate muda wa kufanya vitu vya msingi!

Ulikuwa umejivisha upofu usio na msingi maana kwa macho ya kawaida tu huyo hakuwa na msaada kwako ndo maana alikufanya kama ATM kila akihitaji anachomeka card sasa alivokuta card haitoi ameona atafute atm card ingine.

Mshukuru sana Mungu ameondoka ingali mapema ungepata tabu sana hapo baadae.
 
Wanawake wengi cku hizi wamekuwa wabaya sana, wao ni pesa tu
 
Maisha yako ni muhimu sana mkuu thamini Maisha yako kwanza ndio ufikirie wengine
 
Bora kakuacha mkuu ili upate muda wa kufanya vitu vya msingi!

Ulikuwa umejivisha upofu usio na msingi maana kwa macho ya kawaida tu huyo hakuwa na msaada kwako ndo maana alikufanya kama ATM kila akihitaji anachomeka card sasa alivokuta card haitoi ameona atafute atm card ingine.

Mshukuru sana Mungu ameondoka ingali mapema ungepata tabu sana hapo baadae.
kwa hali yangu ya sasa sio mbaya naona taratibu maumivu yanayanapungua
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom