Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,383
- 7,976
Ni wiki kadhaa tangu mpenzi wangu aniache. Nilikuwa nimempenda kweli na nilimpata kipindi ambacho nilikuwa nimetoka kuachwa na mwanamke wangu aliyepita sababu kuu ikiwa ni pesa na kuniambia anataka watu wenye wadhifa.
Sasa baada ya kumpata huyu kutokana na hali yangu bado sijakaa vizuri lakini nikaapa huyu sitaki kumpoteza. Kwakweli nilijitahidi sana kumpa pesa ili kumuonesha love. Kila pesa aliyokuwa akiomba nilikuwa nikimpa ikafika time nikaona mizinga inakuwa inazidi hadi muda mwingine nikawa nashindwa kula mimi vizuri sababu ya mahitaji yake.
Sasa ameniacha na chanzo cha kuniacha ni pesa. Aliniomba nauli ya kurudia alikuwa mkoa mwingine kwa dada yake kusalimia nikamtumia 60 tena siku ya pili akaanza kuniomba tena 50 anasema ana shida nayo nikamwambia leo sina subiri siku nne nikutafutie nikaona kakasirika. Siku ya pili akanitumia SMS "sikutaki haunithamini".
Tangu hapo akatoa na line niliyomsajilia mimi mpaka leo hajapatikana tena nimebaki na maumivu tu makali sana nikimkumbuka sana. Kweli kupenda ni kitu kingine!
Sasa baada ya kumpata huyu kutokana na hali yangu bado sijakaa vizuri lakini nikaapa huyu sitaki kumpoteza. Kwakweli nilijitahidi sana kumpa pesa ili kumuonesha love. Kila pesa aliyokuwa akiomba nilikuwa nikimpa ikafika time nikaona mizinga inakuwa inazidi hadi muda mwingine nikawa nashindwa kula mimi vizuri sababu ya mahitaji yake.
Sasa ameniacha na chanzo cha kuniacha ni pesa. Aliniomba nauli ya kurudia alikuwa mkoa mwingine kwa dada yake kusalimia nikamtumia 60 tena siku ya pili akaanza kuniomba tena 50 anasema ana shida nayo nikamwambia leo sina subiri siku nne nikutafutie nikaona kakasirika. Siku ya pili akanitumia SMS "sikutaki haunithamini".
Tangu hapo akatoa na line niliyomsajilia mimi mpaka leo hajapatikana tena nimebaki na maumivu tu makali sana nikimkumbuka sana. Kweli kupenda ni kitu kingine!