Inasikitisha

U don't have to explain urself. Curiosity ni sehemu ya intelligence! Nilishawahi ku-request friendship ya gay mmoja, na nikamuambia wazi I wanted to understand a few things abt gays. I understood quite a bit, hadi alipotaka nijiunge na support group yao dsm,nikamuambia siungi mkono na akanikasirikia na kuni-unfriend
thanks much kwa kunielewa,sometimes mtu unataka ujue tu vizuri kuhusu ukweli wa mambo
 
Ndio maendeleo wenzetu wanayo yataka ... Kuna shori flani blondie la kitasha alikuwa mshkaji wangu kweli ... Kuna siku nikaropoka mbele yake kwamba i hate gays ... Alikasirika ... Urafiki ukaishia siku hiyo ... Aka ni unfriend Facebook Twitter... Akidai Mimi nina roho mbaya nachukia binaadamu wenzangu ...

Wazungu sometimes wapumbavu sana ...
situation kama hiyo ni ngumu,kibongo wanaona aibu ina mamtoni hawana hata aibu

Sent from my HTC Incredible S using Tapatalk
situation kama hiyo ni ngumu,kibongo wanaona aibu ina mamtoni hawana hata aibu
 
Katika pitapita zangu google nimeshangaa kukutana na hii link,kweli huu ni mwisho wa dunia
kama vijana wa kibongo wamefikia hatua ya kujitangaza kutafuta mabwana.too bad
Friends Tanzania - dating Tanzania - seeking Gay Tanzania - seeking Boys Tanzania - Gaytanzania - Tanzania boy gay - Tanzanian gays

Gays wapo wengi tu hapa Tanzania especially maeneo ya Tanga,Dar na Zanzibar...ila sijawah kufaham kama wamekuwa wengi kiasi cha kuanzisha links kwenye ma-website ya ngono au friendship duuh! Nadhani na wao wanajitahidi kujiweka huru na kile kinachowapa raha kwa kuwatafuta wenza wao mtandaoni....
 
Hivi vitu ni laazima vitokee maana ndo vinaashilia mwisho wa Dunia mbona hyo chamtoto vitakuja vioja kibao chamsingi unatakiwa kujitambua nafasi yako basi haina haja ya kuvishangaa na unaposhangaa it means haujajitambua upo kundi gani mpaksikua sasa hivi, ni vya kawaida kwa siku hizi mtafute Mungu wako akuongoe kutambua nyakati.
tumwombe tu mungu aepushe hiyo balaa na ndugu zetu na familia
 
Gays wapo wengi tu hapa Tanzania especially maeneo ya Tanga,Dar na Zanzibar...ila sijawah kufaham kama wamekuwa wengi kiasi cha kuanzisha links kwenye ma-website ya ngono au friendship duuh! Nadhani na wao wanajitahidi kujiweka huru na kile kinachowapa raha kwa kuwatafuta wenza wao mtandaoni....
sasa hapo ndo pabaya penyewe
 
Nobody has ever asked to be a gay or lesbian. It may happen to anyone much like they did not anticipate the defect to ever occur in their life. We can make the world be a better place for any God's creature by supporting these minority groups in terms of approval of their rights etc instead of rejecting them.
 
U don't have to explain urself. Curiosity ni sehemu ya intelligence! Nilishawahi ku-request friendship ya gay mmoja, na nikamuambia wazi I wanted to understand a few things abt gays. I understood quite a bit, hadi alipotaka nijiunge na support group yao dsm,nikamuambia siungi mkono na akanikasirikia na kuni-unfriend
hata wewe u dont have to explain urselfu sana King'ast. Kwa wewe mdada kujaribu kupata information kutoka kwa guy its ok but kwa mwanamume kuwa friend na guy ni matusi, lazima utakuwa associated nao. Mimi mwanaume ni rahisi kuwa na friends ambao ni lesbians but not gays!
 
Hivi eeh?
Na mwanamke hawezi kuwa rafiki na lesbian?
Ila ruksa kuwa rafiki na gay?

hata wewe u dont have to explain urselfu sana King'ast. Kwa wewe mdada kujaribu kupata information kutoka kwa guy its ok but kwa mwanamume kuwa friend na guy ni matusi, lazima utakuwa associated nao. Mimi mwanaume ni rahisi kuwa na friends ambao ni lesbians but not gays!
 
Nobody has ever asked to be a gay or lesbian. It may happen to anyone much like they did not anticipate the defect to ever occur in their life. We can make the world be a better place for any God's creature by supporting these minority groups in terms of approval of their rights etc instead of rejecting them.
Mimi naomba mnitoe ujinga, hivi kuwa gay ni uamuzi /kujitakia, maradhi au maumbile?
Ikiwa itatokea mtoto wako ana dalili za "u-guy", utamfanya nini? Utampiga ili awache? Asipowacha utamfukuza nyumbani? Utampeleka wa waganga/madaktari akatibiwe?
Gays wapo wengi tu hapa Tanzania especially maeneo ya Tanga,Dar na Zanzibar...ila sijawah kufaham kama wamekuwa wengi kiasi cha kuanzisha links kwenye ma-website ya ngono au friendship duuh! Nadhani na wao wanajitahidi kujiweka huru na kile kinachowapa raha kwa kuwatafuta wenza wao mtandaoni....
Nimewahi kuona guys tangu miaka mingi iliyopita, wengine niliwajua watu wazima, ; lakini kwa kuficha "sexual orientation yao" wameoa na wana watoto.

Tatizo la guys wa zamani na wa sasa, ni kuwa wale wa zamani wengi walikuwa wanajificha, hawakutoka makabatini kama sasa.
 
Hivi vitu ni laazima vitokee maana ndo vinaashilia mwisho wa Dunia mbona hyo chamtoto vitakuja vioja kibao chamsingi unatakiwa kujitambua nafasi yako basi haina haja ya kuvishangaa na unaposhangaa it means haujajitambua upo kundi gani mpaksikua sasa hivi, ni vya kawaida kwa siku hizi mtafute Mungu wako akuongoe kutambua nyakati.

Sambamba na ukweli huo,

Wazungu wameshastukia KASI ya Afrika kupata uhuru wa kiuchumi. Sasa wameona njia pekee ya kuwazubaisha ili wasiwapite siku moja (si unajua tajiri hupenda abaki tajiri), ni kuwafikirisha juu ya mambo yawezayo kuchukua muda wao wa kuleta mabadiliko (maendeleo) kiuchumi. Ikumbukwe kuwa, Waafirika wako juu sana juu ya moral issues, sasa wakaona jambo pekee linaloweza kuwafanya wa HAULT (wasimame) ni kuwavuruga, ndo maana wameleta suala la USHOGA. Mwingereza kajaribu kashushuliwa-kaamua kumshirikisha swahiba wake ktk kutimiza mpango wao huo. Sasa wana beep kisha watapiga.

WORKUP AFRICA.
 
Back
Top Bottom