Imeandikwa "asiwepo mwanaume atakayelala na mwanamme kama alalavyo na mwanamke" lakini ni lazima mambo yaliyotabiriwa yatokee ili mwisho uje, maana yasipotokea mwisho hautakuja. Mimi nimechoka dunia hii ni bora tu watimize unabii ili YESU aje "unabii upo kwa mapenzi ya MUNGU lakini ole wake anayeutimiza".