Cute Wife
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,786
- 7,567
Wakuu,
Haya ndio yanayohuma huko kuwa G55 mpango wao ni kuhamia CHAUMA kwa madai ya kuwa waahidiwa majimbo 20 na pia wamekuwa wakizunguka kushawishi wengine kujiunga nao kwenda chauma kwa ahadi inayosemekana ya milioni 90 per kichwa. Nadhani tumeanza kuona viongozi mbalimbali kama wenyeviti kuhamia CCM hivi karibuni, vinahusiana - itakuwa! Na anahaidi hii inaenda mpaka kwenye viti maalum.
Mbali na hayo pia wamepewa magari kwaajili ya kwenda mikoani ili kuendeleza hamasa hizo. Na kama mmeona CHAUMA kimetangaza kuwa na kikao cha kamati kuu Mei 5, 2025, hii ni coincidence?
Leo G55 wanafanya press saa tano, ngoja tusubiri kama haya ni kweli ama lah!
Pia soma
Haya ndio yanayohuma huko kuwa G55 mpango wao ni kuhamia CHAUMA kwa madai ya kuwa waahidiwa majimbo 20 na pia wamekuwa wakizunguka kushawishi wengine kujiunga nao kwenda chauma kwa ahadi inayosemekana ya milioni 90 per kichwa. Nadhani tumeanza kuona viongozi mbalimbali kama wenyeviti kuhamia CCM hivi karibuni, vinahusiana - itakuwa! Na anahaidi hii inaenda mpaka kwenye viti maalum.
Mbali na hayo pia wamepewa magari kwaajili ya kwenda mikoani ili kuendeleza hamasa hizo. Na kama mmeona CHAUMA kimetangaza kuwa na kikao cha kamati kuu Mei 5, 2025, hii ni coincidence?
Leo G55 wanafanya press saa tano, ngoja tusubiri kama haya ni kweli ama lah!
Pia soma