Inakuaje radio frequency zitofautiane?

Inakuaje radio frequency zitofautiane?

Kwa msaada zaidi, je ni freequence gani ikiwa dar ni ya redio flani ila nje ya dar utaikuta kwenye redio nyingine?
swali jingine hili hapa wadau!!..
 
nimesema earphones na redio inayotoa sauti ya kutosha kwa maana.

kwa kawaida kunakuwa na mwangwi, maana mtu atakuwa anapokea signal ileile kutoka sehemu mbili tofauti.
boss nimeweka earphone na nimefungulia radio mpaka juu hapa nilipo nachoexperience ni kelele kwa sauti kuwa kubwa tu, sijaona huo muingiliano mbona.
 
102.5 Choice FM Dar, Arusha ni Morning Star FM.
ewaa inakuaje sasa huyu choice fm asifanye juu chini hiyo 102.5 ya arusha nayo akaimiliki kurahisisha wasikilizaji wake!.
 
we jamaa... hujasikia mwangwi wowote? kuweka frequency moja angalau kwa mikoa jirani itasababisha mwingiliano kwa walio maeneo ya katikati ambayo wanaweza kupata mawimbi kutoka transmission points mbili wakati mmoja.
boss nimeweka earphone na nimefungulia radio mpaka juu hapa nilipo nachoexperience ni kelele kwa sauti kuwa kuvwa tu, sijaona huo muingiliano mbona.
 
we jamaa... hujasikia mwangwi wowote? kuweka frequency moja angalau kwa mikoa jirani itasababisha mwingiliano kwa walio maeneo ya katikati ambayo wanaweza kupata mawimbi kutoka transmission points mbili wakati mmoja.
Hebu aje mwingine afanye kufungulia radio na avae earphone awashe radio ya simu yake halafu alete mrejesho hapa!. Denvers hebu fanya hiki mzee.

Hiyo ya transmission naona itakuwa sababu sasa!!..
 
Naamini inawezekana sana ni swala la allocation la TCRA tu
Yawezekana hii ikawa sababu mkuu 👇👇👇
kuweka frequency moja angalau kwa mikoa jirani itasababisha mwingiliano kwa walio maeneo ya katikati ambayo wanaweza kupata mawimbi kutoka transmission points mbili wakati mmoja.
 
Sijataka somo la AM na FM nimeuliza frequency kuwa tofauti.
We umesikia Radio gani inatumia AM Tanzania!.
Umeovershoot!.
Daaaa,mdau umezaliwa lini?
Hujui kuwa redio one inapatikana hadi leo AM KHz 1440,Radio Free Africa Khz 1377,pia zipo RTD(leo TBC Taifa), PRT-RTD(leo TBC FM) na Sauti ya Tanzania Zanzibar(leo ZBC Radio)!
Hizo Frequency zipo hadi leo ukitaka unaweza kusikiliza KBC Nairobi,DW pia kupitia masafa ya Short Wave(SW)!
Lakini yapasa kufahamu tu kuwa masafa ya AM(Amplitude Modulation) huwa na sifa sawa na masafa ya MW(Medium Wave), yote yakiwa na uwezo wa kusafiri masafa marefu,lakini huwa yana makelele,hasa inapokutana na Minara na umeme,lakini yana nguvu sana. Ndiyo maana kwa mji kama Dar,hayafai sana kwa sababu ya muingiliano,lakini huwa tulivu nyakati za usiku.
 
Aliyeuliza kwa nini masafa ya AM yasitumike! Masafa ya AM yanakawaida ya kushika Vizuri kunapokuawa na utulivu tu hasa usiku.
Miaka ya 2000 kipindi hicho kwa TZ pengine RFA ilikuwa namba 1, tulikuwa tunaisikiliza kupitia masafa ya kati Khz 1377 nchi nzima.
Lakini shida inaanza kushika jioni saa 1700 kasoro hadi asubuhi kwenze saa 09:00 hivi.
Ndio maana usiku kwa mfano kama Manda, Ludewa nk, ikiwa usiku tulikuwa tunasikiliza hadi KBC ya Kenya, RTD yenyewe, RFA, Sauti ya TZ Zanzibar nk.
Ila shida kubwa ya masafa ya AM inaathiriwa sana na radi. Huwezi kusikiliza radio kama kuna mvua mahali ulipo au eneo la karibu, radi inakuwa inaingilia mawimbi ya radio na kuharibu usikivu.
 
Radio One, TBC na RFA bado wana masafa ya AM.
Sijataka somo la AM na FM nimeuliza frequency kuwa tofauti.
We umesikia Radio gani inatumia AM Tanzania!.
Umeovershoot!.
 
Wanalipia license kila mwaka kwa TCRA kama ilivyo kwa kampuni za simu na kampuni za internet (Raha, Africaonline nk)
Hayo mawimbi yanalipiwa one time au kila mwezi?.
 
Daaaa,mdau umezaliwa lini?
Hujui kuwa redio one inapatikana hadi leo AM KHz 1440,Radio Free Africa Khz 1377,pia zipo RTD(leo TBC Taifa), PRT-RTD(leo TBC FM) na Sauti ya Tanzania Zanzibar(leo ZBC Radio)!
Hizo Frequency zipo hadi leo ukitaka unaweza kusikiliza KBC Nairobi,DW pia kupitia masafa ya Short Wave(SW)!
Lakini yapasa kufahamu tu kuwa masafa ya AM(Amplitude Modulation) huwa na sifa sawa na masafa ya MW(Medium Wave), yote yakiwa na uwezo wa kusafiri masafa marefu,lakini huwa yana makelele,hasa inapokutana na Minara na umeme,lakini yana nguvu sana. Ndiyo maana kwa mji kama Dar,hayafai sana kwa sababu ya muingiliano,lakini huwa tulivu nyakati za usiku.
Inawezekana ikawa inapatikana kupitia hizo AM lakini kwa sasa FM ndio kila kitu kwahiyo AM imekuwa obsolete somehow!.
Nashukuru kwa elimu hii!.
 
Wanalipia license kila mwaka kwa TCRA kama ilivyo kwa kampuni za simu na kampuni za internet (Raha, Africaonline nk)
Kwahiyo TCRA inaweza toa kibali kuimiliki frequency moja Tz nzima?.
 
Kama ndio msingi wa swali lako hiyo haitawezekena, sio hapa Tanzania bali hata kwa watengenezaji mitambo.

Haiwezekani ukapewa P.O. Box 000, Shinyanga. Iwe hiyo hiyo uitumie Geita.

Mr Easy CHAZA na Idimi je kwanini Hakuna frequency moja kwa radio station moja Tanzania nzima?..
 
Kama ndio msingi wa swali lako hiyo haitawezekena, sio hapa Tanzania bali hata kwa watengenezaji mitambo.

Haiwezekani ukapewa P.O. Box 000, Shinyanga. Iwe hiyo hiyo uitumie Geita.
kwanini haiwezekani?.
Kwanini wanaikataa hiyo "frequency takeover" maana kwenye website inatokea sana tu, twitter walinunua domain name hata Facebook or google nadhani!. Unakuta kuna mtu alikuwa anaimiliki unainunua inakuwa yako.
sasa kwanini Po. Box 35 ya kigoma nikataliwe kuinunua Po. Box 35 ya Iringa?.
 
kwanini haiwezekani?.
Kwanini wanaikataa hiyo "frequency takeover" maana kwenye website inatokea sana tu, twitter walinunua domain name hata Facebook or google nadhani!. Unakuta kuna mtu alikuwa anaimiliki unainunua inakuwa yako.
sasa kwanini Po. Box 35 ya kigoma nikataliwe kuinunua Po. Box 35 ya Iringa?.

Unakataliwa kuinunua kutoka kwa nani?
 
Back
Top Bottom