Congo
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 2,079
- 2,334
Sio Dar. Wanasikika katikati ya mji tuHao Wasafi Wanasikika Dar es salaam
Sio Dar. Wanasikika katikati ya mji tuHao Wasafi Wanasikika Dar es salaam
Mkuu wana share minara ila sasa mpaka radio husika iwe imejitanua na iweze kulipa cost za sharing and broadcasting halfu mkuu ikifungwa transmitter ya kurusha mawimbi tz nzima haiwezekani na pia sio salama kwa afya na kwanza kwa structure ya dunia ilivo curved kuna sehemu hizo waves zitakuwa blocked ivo lazima kuwe na minara mingi mingi kwa ajili ya connection leo upo dar ukipiga simu usifikiri simu yako iko routed direct to Arusha hapana inapita kwenye minara mingi mingi na kwenye repeaters kuongeza ufanisiKwahiyo kila mkoa radio station inawabidi wafunge mnara au wanashare mnara mmoja!?.
Kama wanashare mnara inakuaje nyingine hazisikiki kwingine?.
Kama hawashei inakuaje kusave gharama ya kufunga minara 26 (mikoa ya Tz) radio station isitafute kifaa chenye uwezo wa kuamplify mawimbi mikoa 26.
Swali zuri.. Unajua miaka ile ya zamani haya maredio ya FM. Hayakuwepo, ulikuwa mwendo wa AM like RTD na mawimbi mwanzi mwisho..kwanini waliacha kutumia AM?
Swali zuri.. Unajua miaka ile ya zamani haya maredio ya FM. Hayakuwepo, ulikuwa mwendo wa AM like RTD na mawimbi mwanzi mwisho..
Naamini bado zipo.. Station kama Radio one, Radio free Africa, KBC wanaendelea kupatikana masafa ya kati..ok, so bado kuna redio wanatumia AM mpaka miaka hii?
Miaka ya 90 RTD ilikua inapatikana Short Wave(SW) nchi nzima. Hata hivyo,kama ilivyo kwa Medium Wave(MW) au Amplitude Modulation(AM) kwani AM na MW zinafanana, ShortWave ilihitaji mitambo yenye nguvu,hivyo usikivu ulikua na changamoto,RTB ikaamua kufunga mitambo ya AM/MW kwenye kanda ili kuongeza usikivu. Kwa wale wanaokumbuka wakati wa Redio Philips zile za mbao,watakumbuka RTD ilikua ikipatikana Short Wave nchi nzima kwa Meter Band zaidi ya moja,unachagua ipi ina nafuu kutegemea na mkoa uliopo.
Nyingi tu,mifano ni ZBC,TBC,Radio One,RFA,KBC. Ila kwa mijini,kelele zinakua nyingi sana. Lakini ukienda Vijijini tune tu AM,utazipata KBC,ZBC,RTD,RFA na Radio One Stereo.ok, so bado kuna redio wanatumia AM mpaka miaka hii?
Frequency ya chini kabisa inaanzia ngapi na na ya juu kabisa ina ishia ngapiFrequency kutokana na availability ya hio station ktk mkoa husika ww leo ukitaka kuanziasha radio basi utatafuta Frequency ambayo iko Empty haina mtu n