Inakuaje radio frequency zitofautiane?

Wick

JF-Expert Member
Dec 19, 2012
8,313
12,123
Wajuvi wa mawimbi ya sauti ningependa kupewa somo kuhusu masuala ya mawimbi ya sauti.

Swali langu ni kuwa inakuaje Wasafi FM wanatumia 88.9 pekee kujitangaza wakati radio nyingine hawajitangazi kwa frequency moja.

Mfano ukiwa Dar es salaamClouds FM utawasikia kwa 88.5 ukiwa Dodoma utawasikia kwa 104.5.

Je ni suala la ukubwa wa mitambo, bei au ni kipi hasa kinafanya mmoja atumie frequency moja kujitangaza Tanzania nzima mwingine atumie frequency tofauti kujitangaza.

Ni taasisi binafsi, serikali au nani anayepanga na kumiliki hizi frequency?
__________________________________
je yaweza kuwa hii ndio sababu!?👇
kuweka frequency moja angalau kwa mikoa jirani itasababisha mwingiliano kwa walio maeneo ya katikati ambayo wanaweza kupata mawimbi kutoka transmission points mbili wakati mmoja.
 
FM ni Masafa Mafupi kutoka kwenye Mkonga/Mnara. Kwahiyo ile radius yake ni ndogo.

AM ni Masafa Marefu TZ nzima inaweza kua moja tu mfano RTD zamani.
 
Mkuu iko hivi kila mkoa Radio ina Frequency zake hio Wasafi ipo Dar tu mkuu kwingine labda u tune online inshu ya Frequency iko chini ya TCRA wao ndio wana ku assign Frequency kutokana na availability ya hio station ktk mkoa husika ww leo ukitaka kuanziasha radio basi utatafuta Frequency ambayo iko Empty haina mtu ndio utakuwa registered kwa hio na utatengeneza transmitter za kurusha mawimbi ya hio Frequency kila mkoa lazima utofautiane ukienda Arusha Frequency unayotumia dar utakuta tayari iko registered na mwingine
 
Hiyo wasafi 88.9 ni kama e fm 97.3.

Sawa na ea radio 88.1

Vile vile clouds 88.5!

Hayo ni masaya ya dar, ila mikoani kuna code zao tofauti na hizo hapo juu.

Kwani wewe unataka kujua nini hasa?
 
Mambo ya fizikis Haya,mkuu haukusoma frequency za sauti o level?
 
FM ni Masafa Mafupi kutoka kwenye Mkonga/Mnara. Kwahiyo ile radius yake ni ndogo.

AM ni Masafa Marefu TZ nzima inaweza kua moja tu mfano RTD zamani.
Sijataka somo la AM na FM nimeuliza frequency kuwa tofauti.
We umesikia Radio gani inatumia AM Tanzania!.
Umeovershoot!.
 
Mkuu iko hivi kila mkoa Radio ina Frequency zake hio Wasafi ipo Dar tu mkuu kwingine labda u tune online inshu ya Frequency iko chini ya TCRA wao ndio wana ku assign Frequency kutokana na availability ya hio station ktk mkoa husika ww leo ukitaka kuanziasha radio basi utatafuta Frequency ambayo iko Empty haina mtu ndio utakuwa registered kwa hio na utatengeneza transmitter za kurusha mawimbi ya hio Frequency kila mkoa lazima utofautiane ukienda Arusha Frequency unayotumia dar utakuta tayari iko registered na mwingine
Kwahiyo kila mkoa radio station inawabidi wafunge mnara au wanashare mnara mmoja!?.
Kama wanashare mnara inakuaje nyingine hazisikiki kwingine?.
Kama hawashei inakuaje kusave gharama ya kufunga minara 26 (mikoa ya Tz) radio station isitafute kifaa chenye uwezo wa kuamplify mawimbi mikoa 26.
 
Hiyo wasafi 88.9 ni kama e fm 97.3.

Sawa na ea radio 88.1

Vile vile clouds 88.5!

Hayo ni masaya ya dar, ila mikoani kuna code zao tofauti na hizo hapo juu.

Kwani wewe unataka kujua nini hasa?
Hayo mawimbi yanalipiwa one time au kila mwezi?.
 
Naona wengi hawajaelewa swali lako.... Mimi pia nikiwa dar au dodoma naskiliza 102.5 redio moja hiyo hiyo hawabadilishi frequency.... Jina la redio nimesahau ila inamilikiwa na clouds media
 
Naona wengi hawajaelewa swali lako.... Mimi pia nikiwa dar au dodoma naskiliza 102.5 redio moja hiyo hiyo hawabadilishi frequency.... Jina la redio nimesahau ila inamilikiwa na clouds media
CHOICE FM au COCO FM nini!?.
 
AM ni technology ya kizaman.
inaathiriwa sana na interference na noise kulilo FM.

Pia FM ina good sound quality kwa sababu ina bandwidth kubwa kuliko AM.

Mwisho kabisa AM inahitaji Transmitter yenye power kubwa sana kusafirisha mawimbi mbali.
kwahiyo ili radio station isikilizwe nikoa 26 itabidi ifunge kifaa kwa kila mkoa, sasa kwanini kifaa cha AM kisiboreshwe then ndio kitumike.
 
AM ni technology ya kizaman.
inaathiriwa sana na interference na noise kulilo FM.

Pia FM ina good sound quality kwa sababu ina bandwidth kubwa kuliko AM.

Mwisho kabisa AM inahitaji Transmitter yenye power kubwa sana kusafirisha mawimbi mbali.

je kuna vyombo bado vinatumia AM?
 
Back
Top Bottom