Inakuaje radio frequency zitofautiane?

Inakuaje radio frequency zitofautiane?

ooh kwa nilivyoelewa basi mfano 93.5 ikiwa ni radio dsm unaweza kuta ni wimbi la TISS morogoro so itabidi wenye radio wapewe wimbi jingine morogoro!.
Sasa kama ni hivi kwanini usiwepo utaratibu mawimbi fulani yawe ya usalama then kuanzia wimbi fulani yawe ya radio.
Yani mawimbi yapangwe kwa vigezo au wimbi la 98.6 dsm likienda Mtwara litakuwa na nguvu ndogo thats why itabidi wapewe wa karibu hilo wimbi!.
Hii mada ngumu ila naomba univumilie nitatafuta majibu kwa injinia wangu mmoja hivi atanipa majibu ya uhakika nami nitayaleta kwako hata kama nitachelewa.
 
Hii mada ngumu ila naomba univumilie nitatafuta majibu kwa injinia wangu mmoja hivi atanipa majibu ya uhakika nami nitayaleta kwako hata kama nitachelewa.
Usisahau mkuu!..Natanguliza shukrani
 
umewahi kupita nje ya nyumba ambayo ndani kuna redio imefunguliwa, mfano RFA, huku wewe nje unasikilizia earphones redio stesheni hiyo hiyo?

pia kama frequency za stesheni zinafanana Dar na Moro, hapo katikati tuseme Chalinze kunaweza kusiwe na 'reception' nzuri.
 
Kuna mmoja kasema wimbi la mwanza inawezekana likawa la usalama arusha!.
Sidhani tatizo ni pesa!.
Radio nyingi hutaka hata masafa ya mwanzo (80.-99.) yaaminika ndiyo yana usikivu mzuri kuzidi haya ya 100. kuendelea.
 
Radio nyingi hutaka hata masafa ya mwanzo (80.-99.) yaaminika ndiyo yana usikivu mzuri kuzidi haya ya 100. kuendelea.
80-99 kuna namba 19 ukihesabu moja moja lakini kuna namba almost 20 ukihesabu kwa unit. Naamini kuna radio zaidi ya 20 Tanzania.
Lakini kweli hata TBC FM au TBC TAIFA wameshindwa ihodhi frequency yao Tanzania nzima!?..
 
Sijataka somo la AM na FM nimeuliza frequency kuwa tofauti.
We umesikia Radio gani inatumia AM Tanzania!.
Umeovershoot!.
Nadhani sababu kubwa ya kutofautisha ni KUTOINGILIANA au KUCHANGANYIKA , unapotofautisha frequency ktk eneo moja hawasikilizani ni kama makundi mawili wakiwa chumba kimoja wanaongea lugha zao tofauti mfano WAJALUO 4 na WAHINDI 4 jumla watu 8 wote wanaongea na kusikilizana ndani ya chumba kimoja
 
umewahi kupita nje ya nyumba ambayo ndani kuna redio imefunguliwa, mfano RFA, huku wewe nje unasikilizia earphones redio stesheni hiyo hiyo?

pia kama frequency za stesheni zinafanana Dar na Moro, hapo katikati tuseme Chalinze kunaweza kusiwe na 'reception' nzuri.
Kujibu la kwanza me naona kitakachotokea ni kwamba kutakuwa na kelele ya sauti sijawahi kuona station ikasumbua (nimewasha radio ya simu na radio ya TV hapa sijaona tofauti).
Hilo la pili hebu nisaidie ufafanuzi kidogo!.
 
Nadhani sababu kubwa ya kutofautisha ni KUTOINGILIANA au KUCHANGANYIKA , unapotofautisha frequency ktk eneo moja hawasikilizani ni kama makundi mawili wakiwa chumba kimoja wanaongea lugha zao tofauti mfano WAJALUO 4 na WAHINDI 4 jumla watu 8 wote wanaongea na kusikilizana ndani ya chumba kimoja
sijaelewa!.
 
Kwa msaada zaidi, je ni freequence gani ikiwa dar ni ya redio flani ila nje ya dar utaikuta kwenye redio nyingine?
 
Kujibu la kwanza me naona kitakachotokea ni kwamba kutakuwa na kelele ya sauti sijawahi kuona station ikasumbua (nimewasha radio ya simu na radio ya TV hapa sijaona tofauti).
Hilo la pili hebu nisaidie ufafanuzi kidogo!.
nimesema earphones na redio inayotoa sauti ya kutosha kwa maana.

kwa kawaida kunakuwa na mwangwi, maana mtu atakuwa anapokea signal ileile kutoka sehemu mbili tofauti.
 
Naona wengi hawajaelewa swali lako.... Mimi pia nikiwa dar au dodoma naskiliza 102.5 redio moja hiyo hiyo hawabadilishi frequency.... Jina la redio nimesahau ila inamilikiwa na clouds media
Hiyo ni frequency za choice FM dar na ninajua hawana masafa nje ya dar
 
Mkuu iko hivi kila mkoa Radio ina Frequency zake hio Wasafi ipo Dar tu mkuu kwingine labda u tune online inshu ya Frequency iko chini ya TCRA wao ndio wana ku assign Frequency kutokana na availability ya hio station ktk mkoa husika ww leo ukitaka kuanziasha radio basi utatafuta Frequency ambayo iko Empty haina mtu ndio utakuwa registered kwa hio na utatengeneza transmitter za kurusha mawimbi ya hio Frequency kila mkoa lazima utofautiane ukienda Arusha Frequency unayotumia dar utakuta tayari iko registered na mwingine
CASE CLOSED.
 
Umri sio kigezo, hiyo RTD imegeuka ndio TBC FM kwa sasa, je inatumia TBC AM au TBC FM?.
RTD ndio TBC Taifa na TBC FM ilikuwa inaitwa PRT...Zote zinatumia FM.

TBC Taifa 87.5FM
TBC FM 90.0FM
 
Naomba ulize swali kuhusu hayo maelezo yangu nitajitahidi kukuelewesha
naona watu 8 kuzungumza lugha tofauti, yani hata sijui ulimaanisha nini!.
Kifupi tu inakuaje frequency moja isitumike pote?.
 
Back
Top Bottom