Dawa ni kutoyanunua na usiluhusu hata vitumbua kufugiwa hayo makaratasi.Hii ni KASHFA kubwa sana kwa viongozi wa hayo magazeti
Kwani uwongo ni mafuriko kweli!Magazeti matano headline ya Lead Story ni 'Mafuriko'. What a coincedence??!!!
View attachment 1507181
Chanzo:Nevile Meena on twitter
Wanatembezewa bahasha za milioni 10 kabla ya vikao vya kupitisha miswaada hiyo.Nawakumbusha watanzania kuwa wabunge wa CCM ndio waliopitisha sheria zote katili na kandamiza kama zile za makato ya Bodi ya Mikopo,sheria ya kuunganisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na sheria ya kikokotoo kipya kilichozua malalamiko makubwa kutoka kwa umma.
Chief EDITOR ni CCMMagazeti matano headline ya Lead Story ni 'Mafuriko'. What a coincedence??!!!
View attachment 1507181
Chanzo:Nevile Meena on twitter
Mgombea wa Upinzani inabidi aje na ufumbuzi wa matatizo aliyosababisha MAGU kwenye awamu yake.Nawakumbusha watanzania kuwa wabunge wa CCM ndio waliopitisha sheria zote katili na kandamiza kama zile za makato ya Bodi ya Mikopo,sheria ya kuunganisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii na sheria ya kikokotoo kipya kilichozua malalamiko makubwa kutoka kwa umma.
Mpaka Sasa ccm Kuna watia nia wawili ambao wote no wacheza X ambae ni Mwijaku na Menina
Na Gwaji boy na kondoo
Kuna kuibiana mitihani hapa.Magazeti tofauti, waandishi tofauti kichwa cha habari kinachofanana hadi maneno yalivyoandikwa. Je, mwandishi wa magazeti haya ni mmoja au yanaandika kwa maelekezo kutoka upande fulani?
Wanawaza sawa. Ndo ujue watanzania asilimia kubwa level ya kufikiria ni moja.Magazeti tofauti, waandishi tofauti kichwa cha habari kinachofanana hadi maneno yalivyoandikwa. Je, mwandishi wa magazeti haya ni mmoja au yanaandika kwa maelekezo kutoka upande fulani?
UtopoloMagazeti tofauti, waandishi tofauti kichwa cha habari kinachofanana hadi maneno yalivyoandikwa. Je, mwandishi wa magazeti haya ni mmoja au yanaandika kwa maelekezo kutoka upande fulani?
Badala ya Mafuriko pendekeza neno lingineMagazeti tofauti, waandishi tofauti kichwa cha habari kinachofanana hadi maneno yalivyoandikwa. Je, mwandishi wa magazeti haya ni mmoja au yanaandika kwa maelekezo kutoka upande fulani?