NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
Kwa hiyo anachofanya sasa hivi unaona kama anatoa msaada?? Si angeanza zamani sasaamekuhonga wewe ushaid unao? Kama ccm ikipita 2015 bac bora huyo kuliko type ya akina cta, kinene, na wengine wabovbov kama wa zamani ya sasa.
unafikiri hawajui au hawakuona ndio hao wanataka kuwasha vigari vyao asubuhi waingie kwenye ofisi za umma waibe na wasiulizwe,Huyu ataulizaNAUNGA MKONO HOJA YA KUMREJESHA MADARAKANI MHE LOWASA!THE GUY WAS VERY CREATIVE!mradi wa maji Dar,kapigana na mkataba wa mkoloni kuchukua maji ya ziwa victoria sasa maji mpaka KAHAMA AKIWA WAZIRI WA MAJI,alifukuza city water kitu ambacho KAWAMBWA KASHINDWA KWA TRL,alianzisha njia TATU wakati wa foleni DAR.Ulinza shule za sekondari zilizojengwa kila kata mpaka makongoro mahanga anamshukuru kwani alijenga shule 38 za sekondari ukonga.LOWASA NA MAGUFULI NDIO VIONGOZI TUNAOWAHITAJI
His rating today is the lowest ever.Almost 5 years since I wrote this and now Mzee Popcorn is kubalika...
nguli,
namnadi ninayemuamini, nyie mnadai eti mtumbwi wangu unavuja, ndo maana nasema, sihitaji mpagazi.
Yes, I have said it. Ili tuendelee, tunamhitaji Edward Ngoyayi Lowassa!
Ni mchapakazi, mfuatiliaji na mkali asiye na masikhara na walioko chini yake si kuwa wanamheshimu tuu, wanaogopa kushukiwa na zali kutokana na ukali na ufuatiliaji wake.
Kila kazi aliyopewa, kaifanya kwa bidii na kwa ufanisi. Kuna tofauti kubwa sana za kiutendaji kati yake na wenzake walioshika nafasi za uongozi ambazo alizishikilia.
Naamini kwa dhati kuwa ili Tanzania iweze kuamka na kurudi katika mstari ulionyooka wa kujituma, kufanya kazi kwa bidii na maarifa bora na la zaidi kwa nidhamu ili tuendelee vyema na safari yetu ya kujijenga kiuchumi na kijamii ili kuleta maendeleo ya kweli, basi hakuna mwingine zaidi ya Lowassa!
Kama unaye wa kwako, tupe jina na umnadi, wangu miye ni Lowassa!
Lowassa is the coming president,the only solution iloyobaki
pole sana.:a s 112:mhe: Lowasa asipo teuliwa kugombea nafasi ya raisi sinto piga kura!
siku zote system ni kubwa kuliko mtu!! Hebu niambie, lowassa ataweza kuinyamazisha na kuidiscipline system mbovu ya ccm ambayo imekomaa kiasi hikii?? Hili ndio swali gumu la edward lowassa!!
Ukweli nina imani sana na Edward Lowassa, Mwenyezi Mungu akitujalia Lowassa ataifikisha nchi yetu mahala ambapo tunafikiri ni ndoto kufika japokuwa kila mmoja wetu anatamani sana tufike. Mwenyezi Mungu akulinde na uwe na maisha marefu, tuibadili ndoto kuwa kwetu, naipenda nchi yangi.
NADHANI WENYE IMANI NA UYO FISADI PIA MWIZI NI WEWE ZAIDI NA UKOO WA MZAZI WAKO WA KIKE WALOOZOEA KUISHI KWA MSAADA WA PESA ALIZOWAIBIA WATANZANIA AKIWA MADARAKANI. NA YEYOTE ANAYEMSHABIKIA FISADI UYU AMELAANIWA YEYE NA UKOO WAKE WOTE. Alamsiki na nina signoff