Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 40,614
- 69,625
We naye huijui tz, siku hizi hakuna sheria wala katiba.Ingekuwa mambo ni rahisi hivyo Tanzania ingekuwa kila mtu ashakuwa mbunge..
1.Ubunge viti maalumu ni matokeo ya Kura za urais na sio kupewa kama unavyosema
2.KUB lazima awe mbunge wa kuchaguliwa sio wa kuteuliwa
3.Hakuna wa kumzuia yeyote Tanzania kujiunga na chama chochote cha siasa, hakuzuiwa Edward Lowassa wala Fedrick Sumaye... Iweje leo muwe na uchungu na FAM...
Siasa ni game of numbers.... Mkishindwa kushawish ili kupata numbers mauvimu hayakwepeki ..
Aliewadanganya siasa za yeda yeda zitaipeleka CDM mbele ndio matokeo yake haya.