Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,135
- 9,628
- Thread starter
- #21
Mbowe ametanguliza Bata šHahahaa. ......yaani mpaka nacheka
Mbowe ametanguliza Bata šHahahaa. ......yaani mpaka nacheka
Kwa hali hii ni halali kukimbia uchaguzi.
August mbali, mnamoa airtime za nini huyo zilipendwaTetesi hizi zilikuwepo toka kipindi cha nyuma, Sasa ni dhahiri Freeman Mbowe atahamia CHAUMMA mwezi August.
CCM walikuwa wanaumiza sana kichwa kumpata mgombea mwenye ushawishi atakaegombea na Samia, Ili kuizuga jamii ya kimataifa kuwa Kuna uchaguzi wa ushindani mwaka huu.
Mbowe amefikia makubaliano na CCM kama ifuatavyo.
1. Atajiunga na CHAUMA na ndo atakuwa mgombea urais.
2. Atapewa Hela ya kampeini ya kuzunguka na helicopter, pamoja na wasanii Ili kuvuta nyomi la watu, Ili jamii ya kimataifa ijue Kuna ushindani
3. Atapewa majimbo 10 ya ubunge na 25 ya viti maalumu.
4. Katika hayo majimbo kumi baadhi watakuwa Wana CCM ambao watakatwa, na kuhama chama Kama zuga lakini watashinda ubunge kupitia CHAUMA.
5. Mbowe atateuliwa kuwa mbunge na Samia, na kuwa KUB, kiongozi wa upinzani bungeni.
6. Mahakama iwafungie viongozi wote wa Chadema, mpaka ngazi ya kata Ili Wasimpige spana Mbowe, kupitia press conference.
Maoni Yangu.
Mbowe Hana ushawishi Tena, alishindwa vibaya sana na Mkunja Ngumi Tundu Lissu.
Mbowe kuwa kwenye ballot haitawafanya watu waende -kupiga kura.
CCM mnajidanganya saaaana, huwezi kutafuta legitimacy ya uchaguzi kupitia CHAUMA.
Ukisikia Tetesi mmm, 25% realTetesi hizi zilikuwepo toka kipindi cha nyuma, Sasa ni dhahiri Freeman Mbowe atahamia CHAUMMA mwezi August.
CCM walikuwa wanaumiza sana kichwa kumpata mgombea mwenye ushawishi atakaegombea na Samia, Ili kuizuga jamii ya kimataifa kuwa Kuna uchaguzi wa ushindani mwaka huu.
Mbowe amefikia makubaliano na CCM kama ifuatavyo.
1. Atajiunga na CHAUMA na ndo atakuwa mgombea urais.
2. Atapewa Hela ya kampeini ya kuzunguka na helicopter, pamoja na wasanii Ili kuvuta nyomi la watu, Ili jamii ya kimataifa ijue Kuna ushindani
3. Atapewa majimbo 10 ya ubunge na 25 ya viti maalumu.
4. Katika hayo majimbo kumi baadhi watakuwa Wana CCM ambao watakatwa, na kuhama chama Kama zuga lakini watashinda ubunge kupitia CHAUMA.
5. Mbowe atateuliwa kuwa mbunge na Samia, na kuwa KUB, kiongozi wa upinzani bungeni.
6. Mahakama iwafungie viongozi wote wa Chadema, mpaka ngazi ya kata Ili Wasimpige spana Mbowe, kupitia press conference.
Maoni Yangu.
Mbowe Hana ushawishi Tena, alishindwa vibaya sana na Mkunja Ngumi Tundu Lissu.
Mbowe kuwa kwenye ballot haitawafanya watu waende -kupiga kura.
CCM mnajidanganya saaaana, huwezi kutafuta legitimacy ya uchaguzi kupitia CHAUMA.
Ushindi wa 51.5/% vs 48.3 ndiyo kushindwa vibaya!?
Aisee!
Nimeamini thamani ya mtu siyo kuwa na pesa,bali unaitumikia vipi jamii yako iliyokukabidhi imani yao hasa katika nyakati ngumuTetesi hizi zilikuwepo toka kipindi cha nyuma, Sasa ni dhahiri Freeman Mbowe atahamia CHAUMMA mwezi August.
CCM walikuwa wanaumiza sana kichwa kumpata mgombea mwenye ushawishi atakaegombea na Samia, Ili kuizuga jamii ya kimataifa kuwa Kuna uchaguzi wa ushindani mwaka huu.
Mbowe amefikia makubaliano na CCM kama ifuatavyo.
1. Atajiunga na CHAUMA na ndo atakuwa mgombea urais.
2. Atapewa Hela ya kampeini ya kuzunguka na helicopter, pamoja na wasanii Ili kuvuta nyomi la watu, Ili jamii ya kimataifa ijue Kuna ushindani
3. Atapewa majimbo 10 ya ubunge na 25 ya viti maalumu.
4. Katika hayo majimbo kumi baadhi watakuwa Wana CCM ambao watakatwa, na kuhama chama Kama zuga lakini watashinda ubunge kupitia CHAUMA.
5. Mbowe atateuliwa kuwa mbunge na Samia, na kuwa KUB, kiongozi wa upinzani bungeni.
6. Mahakama iwafungie viongozi wote wa Chadema, mpaka ngazi ya kata Ili Wasimpige spana Mbowe, kupitia press conference.
Maoni Yangu.
Mbowe Hana ushawishi Tena, alishindwa vibaya sana na Mkunja Ngumi Tundu Lissu.
Mbowe kuwa kwenye ballot haitawafanya watu waende -kupiga kura.
CCM mnajidanganya saaaana, huwezi kutafuta legitimacy ya uchaguzi kupitia CHAUMA.
Ametumika Sana kujiunga na chauma kajidhalilisha sanaTetesi hizi zilikuwepo toka kipindi cha nyuma, Sasa ni dhahiri Freeman Mbowe atahamia CHAUMMA mwezi August.
CCM walikuwa wanaumiza sana kichwa kumpata mgombea mwenye ushawishi atakaegombea na Samia, Ili kuizuga jamii ya kimataifa kuwa Kuna uchaguzi wa ushindani mwaka huu.
Mbowe amefikia makubaliano na CCM kama ifuatavyo.
1. Atajiunga na CHAUMA na ndo atakuwa mgombea urais.
2. Atapewa Hela ya kampeini ya kuzunguka na helicopter, pamoja na wasanii Ili kuvuta nyomi la watu, Ili jamii ya kimataifa ijue Kuna ushindani
3. Atapewa majimbo 10 ya ubunge na 25 ya viti maalumu.
4. Katika hayo majimbo kumi baadhi watakuwa Wana CCM ambao watakatwa, na kuhama chama Kama zuga lakini watashinda ubunge kupitia CHAUMA.
5. Mbowe atateuliwa kuwa mbunge na Samia, na kuwa KUB, kiongozi wa upinzani bungeni.
6. Mahakama iwafungie viongozi wote wa Chadema, mpaka ngazi ya kata Ili Wasimpige spana Mbowe, kupitia press conference.
Maoni Yangu.
Mbowe Hana ushawishi Tena, alishindwa vibaya sana na Mkunja Ngumi Tundu Lissu.
Mbowe kuwa kwenye ballot haitawafanya watu waende -kupiga kura.
CCM mnajidanganya saaaana, huwezi kutafuta legitimacy ya uchaguzi kupitia CHAUMA.
Chauma deadliestItapendeza sana.Akaongeze nguvu.Chaumma kinakuwa kwa kasi ya ajabu