mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,478
- 21,708
- Thread starter
- #61
Hivi hujawahi kuona hata machinga anayeuza vyombo anazushiwa anadaiwa na wahuni?Nimekosa cha kuandika, japokuwa kuna makosa pande zote. Mbinu hiyo si salama hata ushirikiane na nani ili mradi tu unayemtuhumu akili yake iwe sawa
Tena wanasema alikimbia na elfu kumi,,alipaswa arudishe change akatoweka nayo?
Na vijana wakamzunguka wakamchukulia kila kitu?
Mkuu mwenzio likimfika jambo,,mwingine ataongea kila aina ya sentence lakini likimfika yeye ndy atajuwa kumbe lisemwalo lipo..