Mkuu,,nilihofia kupata matatizo zaidi,,Sema wanaangalia watu wa kuwafanyia ujinga huo. Mm ningemfanya akome huo mchezo.
Sijajuwa mkuu,ila kilichonifanya nipate hofu ni ule wingi wa wanawake wenzie,,na wote wakisema ndy huyu,,Kwani angekupeleka wapi kama ungekomaa?!
Aisee inabidi mkuu, na ukifika unalipiza kuanzia mkwanja wako uliopita na huo utakaompatia[emoji23]Mimi nitamtafuta tu mkuu,,ni kama nimelipia kwanza huduma kabla sijatumia,,
Ila kanidhalilisha sn
Kama mke anakuamini frsh atakutetea Sana na wewe unatakiwa ujifanye kuchukia Sana Lile swala uwe stressed wa kudhalilika ili badala ya kukulaumu wajikute wanakutuliza[emoji23]Bado ngumu sana kuamini ,,aisee!! Kuna wadada wanajuwa kuigiza..
Sasa sijuwi kakimbiwa kweli..au ni mbinu tu,,bado sijapata majibu
Sikuwa na muda huo mkuu,,nimevutwa shati,,huku akilia nipe changu,,Ungekomaa tu ili akupeleke popote pale, na mkeo angeitwa ili atoe ushahidi ulipo lala,
Ila kama hukulala nyumbani hata kama amekufananisha na malipo uliyotoa ni sawa
Ooh sawaBaba mkwe kaniacha sehemu,, yeye kavunja safari ameelekea nyumbani,,
Soma uzi vzr mkuu.
Mkuu sio uzembe mkuu,,mazingira Yale ningepata mazito mwisho wa siku,,Mkuu ni wewe ulileta uzi kuwa baba mkwe wako Hana ustaarabu akiwa anapiga mswaki?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani unatoa hela kizembe namna hiyo duh!!
Ili nimpate vzr,,namwambiya tusahau yote Yale,,ila mwenzio nime fall kweli,,Aisee inabidi mkuu, na ukifika unalipiza kuanzia mkwanja wako uliopita na huo utakaompatia[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee unajua kunivunja mbavu lol, afu ndo ukute angekua amesha msema ba mkwe na tabia yake ya kupiga mswaki,Pole sana hizo ni mbinu za wizi tu,
kuhusu ba mkwe atasema kila kitu Kama wewe ulivyokuja kumsema humu asivyo mstaarabu wakati wa kupiga mswaki,