Imeniuma sana kulipia huduma sijatumia

Imeniuma sana kulipia huduma sijatumia

Habari wakuu,
Leo nimepata aibu ya mwaka baharia,,baada ya mwanamke nisiyemfahamu kunifananisha na mwanaume aliyemgegeda usiku kucha na kumkimbia bila kumlipia.

Nipo maeneo fulani ,,nikitafakari baada ya vuta ni kuvute iliyotokea muda mchache uliopita.,,huyu msichana kanivurugia ratiba zng zote za leo.anasema jana usiku nimemlewesha ,,nikalala nae ,,usiku kucha halafu nikamkimbia bila kumlipa

Nimetoka zangu home,,tena nikiongozana na baba mkwe wangu,, ,,sasa ktk pitapita zetu nikielekea kituoni,,nikapita mahali fulani karibu na bar ambapo usiku wadada hufanya shughuli zao za kudanga

Ghafla nikavutwa shati na mmoja wa wale dada ambaye simjuwi,,,akilalamika nimelala nae guest na kumkimbia bila kumpa pesa tulizokubaliana,,Mimi nikashangaa sana

Huyo dada simfahamu na wala sijawahi kumuona ktk maisha yangu.,tena walikuwa wawili ,,mmoja akisema "ndy huyu huyu yule kaka uliyekuwanaye Jana,, hakuna cha bure ,,toa pesa..

Mimi nikabaki na mshangao,,hata baba mkwe pia akabaki anashangaa ,Mimi nimetokea nyumbani na wala sikuwahi kulala nje,,hata siku moja,,na sina mambo ya kushinda bar kuhangaika na wadada wa usiku.kwani nina mke wangu na family yangu,na wala sio mnywaji..lakini bado haikutosha kupata kueleweka na yule mwanamke..

Yule msichana akasema ananidai 25,000 niliyomuahidi kumpa,,,basi watu walijaa wengi na wengine wakisema wanaume wa mjini ndy zetu kukimbia bila kulipa wanawake..,

"Wewe jamaa mpe chake yaishe,,,' walisikika watu wakipayuka kwa nguvu..

Kama mmefanya makubaliano,,mpe chake..

Wengine walinisihi nitoe tu chochote yaishe bila kufikishana mbele,,,itakuwa ni matatizo zaidi kwangu

Kundi kubwa lililopo pale liliamini Mimi nimekimbia guest bila kulipa,,tena yule Dada akasema umenifanya kila sehemu,,umeniumiza sana na nimevumilia,,umevizia nimelala umekimbia,,nipe changu,,tena huku analia.,,kwa uchungu..
Utaniua leo nipe changu..Mimi sikuachii.

Kila nikijitetea kwamba huyo mwanaume sio Mimi,,bado sikueleweka,, ndy kwanza yule Dada ananijazia watu..

Duu...aisee!!!
Pale sikuwa na pesa cash ilibidi nifanye muamala wa kwenye simu ghafla nimlipe yule dada

Hapa ninapokwambiya yule mzee,,baba mkwe wangu, kaomba tuvunje safari karudi nyumbani,, sijuwi ataeleza nn huko kwa mke wngu..

Huyo Dada poa Simjuwi na wala sijawahi kukutana nae ktk maisha yangu,,ila nitamtafuta ili nimfumuwe kikweli kweli..imeniuma sana ,,kulipia huduma sijatumia,,na kunidhalilisha mbele ya mkwe wangu..

Sasa pengine ni kweli kakimbiwa au ni mbinu zake sijuwi..

Ila yamenikuta leo wakuu..
Kweli mjini pazito.

Hii ni chai
 
Inaonesha maeneo hayo hakuna wateja kabisa.

Ni chimbo lipi hilo mkuu muhuni nitembe kussurport biashara
 
Habari wakuu,
Leo nimepata aibu ya mwaka baharia,,baada ya mwanamke nisiyemfahamu kunifananisha na mwanaume aliyemgegeda usiku kucha na kumkimbia bila kumlipia.

Nipo maeneo fulani ,,nikitafakari baada ya vuta ni kuvute iliyotokea muda mchache uliopita.,,huyu msichana kanivurugia ratiba zng zote za leo.anasema jana usiku nimemlewesha ,,nikalala nae ,,usiku kucha halafu nikamkimbia bila kumlipa

Nimetoka zangu home,,tena nikiongozana na baba mkwe wangu,, ,,sasa ktk pitapita zetu nikielekea kituoni,,nikapita mahali fulani karibu na bar ambapo usiku wadada hufanya shughuli zao za kudanga

Ghafla nikavutwa shati na mmoja wa wale dada ambaye simjuwi,,,akilalamika nimelala nae guest na kumkimbia bila kumpa pesa tulizokubaliana,,Mimi nikashangaa sana

Huyo dada simfahamu na wala sijawahi kumuona ktk maisha yangu.,tena walikuwa wawili ,,mmoja akisema "ndy huyu huyu yule kaka uliyekuwanaye Jana,, hakuna cha bure ,,toa pesa..

Mimi nikabaki na mshangao,,hata baba mkwe pia akabaki anashangaa ,Mimi nimetokea nyumbani na wala sikuwahi kulala nje,,hata siku moja,,na sina mambo ya kushinda bar kuhangaika na wadada wa usiku.kwani nina mke wangu na family yangu,na wala sio mnywaji..lakini bado haikutosha kupata kueleweka na yule mwanamke..

Yule msichana akasema ananidai 25,000 niliyomuahidi kumpa,,,basi watu walijaa wengi na wengine wakisema wanaume wa mjini ndy zetu kukimbia bila kulipa wanawake..,

"Wewe jamaa mpe chake yaishe,,,' walisikika watu wakipayuka kwa nguvu..

Kama mmefanya makubaliano,,mpe chake..

Wengine walinisihi nitoe tu chochote yaishe bila kufikishana mbele,,,itakuwa ni matatizo zaidi kwangu

Kundi kubwa lililopo pale liliamini Mimi nimekimbia guest bila kulipa,,tena yule Dada akasema umenifanya kila sehemu,,umeniumiza sana na nimevumilia,,umevizia nimelala umekimbia,,nipe changu,,tena huku analia.,,kwa uchungu..
Utaniua leo nipe changu..Mimi sikuachii.

Kila nikijitetea kwamba huyo mwanaume sio Mimi,,bado sikueleweka,, ndy kwanza yule Dada ananijazia watu..

Duu...aisee!!!
Pale sikuwa na pesa cash ilibidi nifanye muamala wa kwenye simu ghafla nimlipe yule dada

Hapa ninapokwambiya yule mzee,,baba mkwe wangu, kaomba tuvunje safari karudi nyumbani,, sijuwi ataeleza nn huko kwa mke wngu..

Huyo Dada poa Simjuwi na wala sijawahi kukutana nae ktk maisha yangu,,ila nitamtafuta ili nimfumuwe kikweli kweli..imeniuma sana ,,kulipia huduma sijatumia,,na kunidhalilisha mbele ya mkwe wangu..

Sasa pengine ni kweli kakimbiwa au ni mbinu zake sijuwi..

Ila yamenikuta leo wakuu..
Kweli mjini pazito.
Kama hamtaki kutongoza watafanye zaidi ya kuwalazimisha?
 
Umeingizwa
Habari wakuu,
Leo nimepata aibu ya mwaka baharia,,baada ya mwanamke nisiyemfahamu kunifananisha na mwanaume aliyemgegeda usiku kucha na kumkimbia bila kumlipia.

Nipo maeneo fulani ,,nikitafakari baada ya vuta ni kuvute iliyotokea muda mchache uliopita.,,huyu msichana kanivurugia ratiba zng zote za leo.anasema jana usiku nimemlewesha ,,nikalala nae ,,usiku kucha halafu nikamkimbia bila kumlipa

Nimetoka zangu home,,tena nikiongozana na baba mkwe wangu,, ,,sasa ktk pitapita zetu nikielekea kituoni,,nikapita mahali fulani karibu na bar ambapo usiku wadada hufanya shughuli zao za kudanga

Ghafla nikavutwa shati na mmoja wa wale dada ambaye simjuwi,,,akilalamika nimelala nae guest na kumkimbia bila kumpa pesa tulizokubaliana,,Mimi nikashangaa sana

Huyo dada simfahamu na wala sijawahi kumuona ktk maisha yangu.,tena walikuwa wawili ,,mmoja akisema "ndy huyu huyu yule kaka uliyekuwanaye Jana,, hakuna cha bure ,,toa pesa..

Mimi nikabaki na mshangao,,hata baba mkwe pia akabaki anashangaa ,Mimi nimetokea nyumbani na wala sikuwahi kulala nje,,hata siku moja,,na sina mambo ya kushinda bar kuhangaika na wadada wa usiku.kwani nina mke wangu na family yangu,na wala sio mnywaji..lakini bado haikutosha kupata kueleweka na yule mwanamke..

Yule msichana akasema ananidai 25,000 niliyomuahidi kumpa,,,basi watu walijaa wengi na wengine wakisema wanaume wa mjini ndy zetu kukimbia bila kulipa wanawake..,

"Wewe jamaa mpe chake yaishe,,,' walisikika watu wakipayuka kwa nguvu..

Kama mmefanya makubaliano,,mpe chake..

Wengine walinisihi nitoe tu chochote yaishe bila kufikishana mbele,,,itakuwa ni matatizo zaidi kwangu

Kundi kubwa lililopo pale liliamini Mimi nimekimbia guest bila kulipa,,tena yule Dada akasema umenifanya kila sehemu,,umeniumiza sana na nimevumilia,,umevizia nimelala umekimbia,,nipe changu,,tena huku analia.,,kwa uchungu..
Utaniua leo nipe changu..Mimi sikuachii.

Kila nikijitetea kwamba huyo mwanaume sio Mimi,,bado sikueleweka,, ndy kwanza yule Dada ananijazia watu..

Duu...aisee!!!
Pale sikuwa na pesa cash ilibidi nifanye muamala wa kwenye simu ghafla nimlipe yule dada

Hapa ninapokwambiya yule mzee,,baba mkwe wangu, kaomba tuvunje safari karudi nyumbani,, sijuwi ataeleza nn huko kwa mke wngu..

Huyo Dada poa Simjuwi na wala sijawahi kukutana nae ktk maisha yangu,,ila nitamtafuta ili nimfumuwe kikweli kweli..imeniuma sana ,,kulipia huduma sijatumia,,na kunidhalilisha mbele ya mkwe wangu..

Sasa pengine ni kweli kakimbiwa au ni mbinu zake sijuwi..

Ila yamenikuta leo wakuu..
Kweli mjini pazito.
Umeingizwa mjini
 
Pole sana. Hao viumbe wanaofanya hio biashara nawachukia hua nikiwaona nasikia kinyaa sana, mwanaume mwenzangu pambana ununue gari usiwe unapita pita kwa miguu sehem za ajabu ajabu kama hizo tena na baba mkwe.
 
Nunua na kitafunio hapo ulipo dogo ushibe.

Binadamu sasa hv wastaarabu sana huyu sijui kapita mitaa gani maana bodaboda wapo kila kona ya mji na wengi ni wastaraabu sana haiwezekani mtu afanyiwe uhuni huu mbele za watu , sijui labda nikikundi cha wahuni tandale huko labda mida ya usiku wa manane. Ila jamaa huyo alishaleta uzi akimsema vibaya baba mkwe pia. Hii huenda chai
 
Habari wakuu,
Leo nimepata aibu ya mwaka baharia,,baada ya mwanamke nisiyemfahamu kunifananisha na mwanaume aliyemgegeda usiku kucha na kumkimbia bila kumlipia.

Nipo maeneo fulani ,,nikitafakari baada ya vuta ni kuvute iliyotokea muda mchache uliopita.,,huyu msichana kanivurugia ratiba zng zote za leo.anasema jana usiku nimemlewesha ,,nikalala nae ,,usiku kucha halafu nikamkimbia bila kumlipa

Nimetoka zangu home,,tena nikiongozana na baba mkwe wangu,, ,,sasa ktk pitapita zetu nikielekea kituoni,,nikapita mahali fulani karibu na bar ambapo usiku wadada hufanya shughuli zao za kudanga

Ghafla nikavutwa shati na mmoja wa wale dada ambaye simjuwi,,,akilalamika nimelala nae guest na kumkimbia bila kumpa pesa tulizokubaliana,,Mimi nikashangaa sana

Huyo dada simfahamu na wala sijawahi kumuona ktk maisha yangu.,tena walikuwa wawili ,,mmoja akisema "ndy huyu huyu yule kaka uliyekuwanaye Jana,, hakuna cha bure ,,toa pesa..

Mimi nikabaki na mshangao,,hata baba mkwe pia akabaki anashangaa ,Mimi nimetokea nyumbani na wala sikuwahi kulala nje,,hata siku moja,,na sina mambo ya kushinda bar kuhangaika na wadada wa usiku.kwani nina mke wangu na family yangu,na wala sio mnywaji..lakini bado haikutosha kupata kueleweka na yule mwanamke..

Yule msichana akasema ananidai 25,000 niliyomuahidi kumpa,,,basi watu walijaa wengi na wengine wakisema wanaume wa mjini ndy zetu kukimbia bila kulipa wanawake..,

"Wewe jamaa mpe chake yaishe,,,' walisikika watu wakipayuka kwa nguvu..

Kama mmefanya makubaliano,,mpe chake..

Wengine walinisihi nitoe tu chochote yaishe bila kufikishana mbele,,,itakuwa ni matatizo zaidi kwangu

Kundi kubwa lililopo pale liliamini Mimi nimekimbia guest bila kulipa,,tena yule Dada akasema umenifanya kila sehemu,,umeniumiza sana na nimevumilia,,umevizia nimelala umekimbia,,nipe changu,,tena huku analia.,,kwa uchungu..
Utaniua leo nipe changu..Mimi sikuachii.

Kila nikijitetea kwamba huyo mwanaume sio Mimi,,bado sikueleweka,, ndy kwanza yule Dada ananijazia watu..

Duu...aisee!!!
Pale sikuwa na pesa cash ilibidi nifanye muamala wa kwenye simu ghafla nimlipe yule dada

Hapa ninapokwambiya yule mzee,,baba mkwe wangu, kaomba tuvunje safari karudi nyumbani,, sijuwi ataeleza nn huko kwa mke wngu..

Huyo Dada poa Simjuwi na wala sijawahi kukutana nae ktk maisha yangu,,ila nitamtafuta ili nimfumuwe kikweli kweli..imeniuma sana ,,kulipia huduma sijatumia,,na kunidhalilisha mbele ya mkwe wangu..

Sasa pengine ni kweli kakimbiwa au ni mbinu zake sijuwi..

Ila yamenikuta leo wakuu..
Kweli mjini pazito.
KOSA kubwa ulilofanya ni kulipa hao malaya pesa ya bure. Kama kweli ulilala nyumbani kwako na mkeo ni shahidi basi angeitwa kuja kuthibitisha. Vinginevyo huna akili ww
 
Mkuu ungepata gharama kubwa kuliko hyo..
Wale watu wote wanamsapoti ,,
Ilibidi nikubali yaishe tu mkuu
Ungeita polisi, Bora hiyo hela nihonge polisi kuliko kumpa huyo mwizi Malaya. Mke wako angekutetea kuwa ulilala nyumbani.
 
Habari wakuu,
Leo nimepata aibu ya mwaka baharia,,baada ya mwanamke nisiyemfahamu kunifananisha na mwanaume aliyemgegeda usiku kucha na kumkimbia bila kumlipia.

Nipo maeneo fulani ,,nikitafakari baada ya vuta ni kuvute iliyotokea muda mchache uliopita.,,huyu msichana kanivurugia ratiba zng zote za leo.anasema jana usiku nimemlewesha ,,nikalala nae ,,usiku kucha halafu nikamkimbia bila kumlipa

Nimetoka zangu home,,tena nikiongozana na baba mkwe wangu,, ,,sasa ktk pitapita zetu nikielekea kituoni,,nikapita mahali fulani karibu na bar ambapo usiku wadada hufanya shughuli zao za kudanga

Ghafla nikavutwa shati na mmoja wa wale dada ambaye simjuwi,,,akilalamika nimelala nae guest na kumkimbia bila kumpa pesa tulizokubaliana,,Mimi nikashangaa sana

Huyo dada simfahamu na wala sijawahi kumuona ktk maisha yangu.,tena walikuwa wawili ,,mmoja akisema "ndy huyu huyu yule kaka uliyekuwanaye Jana,, hakuna cha bure ,,toa pesa..

Mimi nikabaki na mshangao,,hata baba mkwe pia akabaki anashangaa ,Mimi nimetokea nyumbani na wala sikuwahi kulala nje,,hata siku moja,,na sina mambo ya kushinda bar kuhangaika na wadada wa usiku.kwani nina mke wangu na family yangu,na wala sio mnywaji..lakini bado haikutosha kupata kueleweka na yule mwanamke..

Yule msichana akasema ananidai 25,000 niliyomuahidi kumpa,,,basi watu walijaa wengi na wengine wakisema wanaume wa mjini ndy zetu kukimbia bila kulipa wanawake..,

"Wewe jamaa mpe chake yaishe,,,' walisikika watu wakipayuka kwa nguvu..

Kama mmefanya makubaliano,,mpe chake..

Wengine walinisihi nitoe tu chochote yaishe bila kufikishana mbele,,,itakuwa ni matatizo zaidi kwangu

Kundi kubwa lililopo pale liliamini Mimi nimekimbia guest bila kulipa,,tena yule Dada akasema umenifanya kila sehemu,,umeniumiza sana na nimevumilia,,umevizia nimelala umekimbia,,nipe changu,,tena huku analia.,,kwa uchungu..
Utaniua leo nipe changu..Mimi sikuachii.

Kila nikijitetea kwamba huyo mwanaume sio Mimi,,bado sikueleweka,, ndy kwanza yule Dada ananijazia watu..

Duu...aisee!!!
Pale sikuwa na pesa cash ilibidi nifanye muamala wa kwenye simu ghafla nimlipe yule dada

Hapa ninapokwambiya yule mzee,,baba mkwe wangu, kaomba tuvunje safari karudi nyumbani,, sijuwi ataeleza nn huko kwa mke wngu..

Huyo Dada poa Simjuwi na wala sijawahi kukutana nae ktk maisha yangu,,ila nitamtafuta ili nimfumuwe kikweli kweli..imeniuma sana ,,kulipia huduma sijatumia,,na kunidhalilisha mbele ya mkwe wangu..

Sasa pengine ni kweli kakimbiwa au ni mbinu zake sijuwi..

Ila yamenikuta leo wakuu..
Kweli mjini pazito.
Kwanza ww ni mjinga sana pili wewe ni muongo na hii ni chai tu.sisi tumawajua madada poa ,kamwe hawezi kulala na ww bila kumlipa kwanza wako makini sana, na hii ni stori tu umeleta hapa ili ujiftesh your mind.Acha uongo mwanaume wa dar.Mimi mwanaume wa mkoani nakwaambia hata polisi tungefikisha cwezi kukubali ujinga wa kiwango Kama hiki.nimemaliza
 
Pole sana. Hao viumbe wanaofanya hio biashara nawachukia hua nikiwaona nasikia kinyaa sana, mwanaume mwenzangu pambana ununue gari usiwe unapita pita kwa miguu sehem za ajabu ajabu kama hizo tena na baba mkwe.
Sawa mkuu,,,
 
Kwanza ww ni mjinga sana pili wewe ni muongo na hii ni chai tu.sisi tumawajua madada poa ,kamwe hawezi kulala na ww bila kumlipa kwanza wako makini sana, na hii ni stori tu umeleta hapa ili ujiftesh your mind.Acha uongo mwanaume wa dar.Mimi mwanaume wa mkoani nakwaambia hata polisi tungefikisha cwezi kukubali ujinga wa kiwango Kama hiki.nimemaliza

Umeonaa ehh? Hii chai ila story nzuri
 
Binadamu sasa hv wastaarabu sana huyu sijui kapita mitaa gani maana bodaboda wapo kila kona ya mji na wengi ni wastaraabu sana haiwezekani mtu afanyiwe uhuni huu mbele za watu , sijui labda nikikundi cha wahuni tandale huko labda mida ya usiku wa manane. Ila jamaa huyo alishaleta uzi akimsema vibaya baba mkwe pia. Hii huenda chai
Mkuu,,siku zote likimfika mwenzako jambo lolote,,basi wako watakaohoji kwamba ilikuwaje,,Mara mzembe,Mara muongo,,
Lakini mm nidanganye kwa faida ya nani?
Pia lazima ujuwe kwamba kuna aina nyingi sana za utapeli na wizi pia,,
Especially kwa hawa dada zetu.
Sasa kama unaona ni chai basi nakusisitiza nunuwa vitumbua unywee chai,,
Ila siku utakutana na hilo ,,usije ukaona ni geni kwako..
Mimi mkuu nimesafiri,,na nasafiri ,,nishakuwa sehemu nyingi zenye wizi wa kila aina,,ila hii ya hyu Dada ni ngeni kwangu..
Na kigezo cha Boda Boda kuwepo,,kwani Boda Boda wao wanashughulika na usafiri au kujuwa chanzo cha ugomvi wa watu?
Hata kama Boda Boda wapo wakati Mimi nimeshikwa shati ,,wao ulitaka wampige yule Dada au nipigwe mm?
Hii ni marejesho ya yaliyonikuta mm,sasa kama huniamini? sawa? Ila naamini kama ni wizi basi watapigwa wengi,,labda iwe yule dada alinifananisha kweli..
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom