Imeniuma sana kulipia huduma sijatumia

Aisee Kumbe Ni huyu, niiliisoma ile mada yake nilicheka Sana ila sikumkariri.
I'll nahisi huyu jamaa anatunywesha chai tuu. Hakuna Cha baba mkwe kukoroma chooni Wala kushikwa ugoni na changudoa!

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu,,dunia Ina mengi ,kama hujawahi kukutana nayo shukuru MUNGU ,
Usije ukasema jambo hilo halipo
 
poleeeeh, na kuanzia leo ataongeza sifa ktk upigaji wa mswaki, na uwe mpolee tyuuuh
Duu!! Ha ha ha mkuu,,
Sijagusia tena suala lile,,nimelikalia kimya,,
Sasa leo ingekuwaje kama ningelisema lile la mswaki na likamkwaza.
 
Unapitaje bar kwa machangudoa
Ukiwa na ba mkwe wako???

Sku nyingine pita mbali na bar
Mkuu usilolijuwa sawa na usiku wa Giza,,
Sikuhisi kama kutatokea chochote mimi kupita pale..
 
Nimeshatoa ushauri wangu mkodie watu wafanye revenge ila sio wewe kumgegeda

Mzee atakutetea usiogope
Sasa mkuu,,,nitapataje haki yangu?
Yaani nikubali kupigwa?
Mbaya zaidi angeweza kuhatarisha hata ndoa yangu..
Sijuwi yule Mzee alipofika huko home kaongea nn?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom