Sawa mkuu,,dunia Ina mengi ,kama hujawahi kukutana nayo shukuru MUNGU ,Aisee Kumbe Ni huyu, niiliisoma ile mada yake nilicheka Sana ila sikumkariri.
I'll nahisi huyu jamaa anatunywesha chai tuu. Hakuna Cha baba mkwe kukoroma chooni Wala kushikwa ugoni na changudoa!
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Poleeeeeeh San lolDuu!! Ha ha ha mkuu,,
Sijagusia tena suala lile,,nimelikalia kimya,,
Sasa leo ingekuwaje kama ningelisema lile la mswaki na likamkwaza.
Samahani kwa kuku quote, sikuwahi kujua kama wewe Ni kePoleeeeeeh San lol
Sasa mkuu,,,nitapataje haki yangu?
Yaani nikubali kupigwa?
Mbaya zaidi angeweza kuhatarisha hata ndoa yangu..
Sijuwi yule Mzee alipofika huko home kaongea nn?
Aisee Kumbe Ni huyu, niiliisoma ile mada yake nilicheka Sana ila sikumkariri.
I'll nahisi huyu jamaa anatunywesha chai tuu. Hakuna Cha baba mkwe kukoroma chooni Wala kushikwa ugoni na changudoa!
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
nyie watu bhaanaMimi ningehakikisha leo baba mkwe ananijua vizuri kuwa nina uwezo wa kutembeza mitama ya maana kuliko ule wa Adam Mchomvu.
Dah njaa mbaya kweli aiseeMkuu,,nilihofia kupata matatizo zaidi,,
Maana mwanamke siku zote anaonekana kaonewa..
Japokuwa nilikataa kwamba Simjuwi,, watu wanatetea kwamba huyu sio Chizi,
Mpe chake yaishe
Mkuu ni wewe ulileta uzi kuwa baba mkwe wako Hana ustaarabu akiwa anapiga mswaki?🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani unatoa hela kizembe namna hiyo duh!!