Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
self defense hiyo mzee.Ni kujitafutia matatizo zaidi Mkuu
self defense hiyo mzee.Ni kujitafutia matatizo zaidi Mkuu
Mkuu,,police hakuna jambo Dogo,,Hao matapeli biashara imekuwa ngum ssa wamebadilisha mbinu Ila na ww muoga sna unatoaje hela kizembe hvyo mngeenda police Hapo watu washaamin kwel ulimkimbia police huko mnaomba kibali Cha hospital mnaenda kufanya vipimo na kwamba atakae shinda kesi analipwa fidia huu ujinga wakat mwingne usiufanye Tena ushajijengea picha mbaya kwa baba mkwe Ila Kama ndo mume Wang ndo kafanyiwa hvyo alafu ukute huo ucku anaosema bidada nlikuwa nae hom ohooo hyo hela ingekuwa ya mwisho kudhulum Bora kuomba usaidiwe kuliko kumthalilisha mtu hv[emoji3525][emoji3525]
Sijuwi ingekuwaje mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee unajua kunivunja mbavu lol, afu ndo ukute angekua amesha msema ba mkwe na tabia yake ya kupiga mswaki,
wallah leo ndo angejua km kachumbali n mboga au kiungo cha wali lol
Yaan leo ungeeleza vizuri, hahahahSijuwi ingekuwaje mkuu
Ila ungemtishia kdgo aiseeMkuu,,police hakuna jambo Dogo,,
Hayo yote ya vipimo,,mara kupata dhamana ,,kwa police yote yanataka pesa,, maana nitapelekwa kama mshitakiwa.
Nimeona nijiongeze tu mkuu,,kumaliza tatizo.
Wahenga Wanasema kwa shujaa kunakwenda kilio kwa mjinga kunakwenda kicheko,,
Bado roho inauma sn kuhusu pesa zangu..
Mimi nitamsomea kesi hii huyo mwanamke siku nikiwa nishamaliza jambo langu.,
Hyo pesa sitoiacha bure ....
Wanadamu akili zetu ni fupi mno[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee unajua kunivunja mbavu lol, afu ndo ukute angekua amesha msema ba mkwe na tabia yake ya kupiga mswaki,
wallah leo ndo angejua km kachumbali n mboga au kiungo cha wali lol
Unashangaa nini, kuwa 'mwanaume'Duu...
Kumla ni kujidhalilisha wewe mwenyewe, unaweza kurevenge pasipo kumuingilia kimwili, kumbuka anajiuza hivyo ukimla hutampunguzia kitu, heri umtafutie mtu akuwakilisheIli nimpate vzr,,namwambiya tusahau yote Yale,,ila mwenzio nime fall kweli,,
Plz..tuyajenge,,
Lazima nimfumuwe...nitatumia mbinu zote za kibaharia,,ikiwemo kukosea Tigo pesa,,lakini lazima nimle..
Haina hata wiki 2 tangu amsengenye ba mkwe wake, isitoshe ulikuwa mjadala mpana hivyo naukumbuka vizuriAsee unakumbukumbu, hujasahau issue ya mswaki🤣🤣🤣🤣
Usisahau kutuletea mrejesho mkuu!![emoji23]Ili nimpate vzr,,namwambiya tusahau yote Yale,,ila mwenzio nime fall kweli,,
Plz..tuyajenge,,
Lazima nimfumuwe...nitatumia mbinu zote za kibaharia,,ikiwemo kukosea Tigo pesa,,lakini lazima nimle..
HaswaaaahWanadamu akili zetu ni fupi mno
Bado sijafika huko home,,, sijuwi nini kimezungumzwa na baba mkwe,,maana kavunja safari ili awahi kurudi nyumbani,,nitawapa marejesho mkuu,,Yaan leo ungeeleza vizuri, hahahah