Imekuwaje Recho kawa Mpinzani ? tena !

Imekuwaje Recho kawa Mpinzani ? tena !

Imekuwaje Recho kawa Mpinzani ? tena !
𝙸 πš™πšŽπš›πšœπš˜πš—πšŠπš•πš•πš’ πšŠπšœπš” πš–πš’πšœπšŽπš•πš πš πš‘πš’ πšπš˜πšπš‚ πš‘πšŠπšŸπšŽ πšπšŽπšŒπš’πšπšŽπš 𝚝𝚘 πš‘πšŠπšŸπšŽ 𝚜𝚎𝚑 πš’πš— πš™πšžπš‹πš•πš’πšŒ
 
Ni Tanzania tu watu ni rahisi kudanganyika. Hakuwa anatoa info za ukweli, Anyways hana impact kubwa kwa sababu ni kama kichaa. N kama yule Yeriko Nyerere, wote dakika tatu mbele
na pia asilimia kubwa ya watz ni bendara fata upepo ni kama hatujui tunataka nini, mfano wakati recho anatoa kauli mbaya kuhusu serikali wapo walomuunga na hata saivi kama kahamia upande huo bado watu wale wale walomuunga mkono wataendelea kuwa nae,, poor us
 
Sasa mna shangaa nini? Kila mtu kuna dau akiwekewa mezani lazima asaliti umma.
Zitto alifika dau, Mbowe alifika dau, (Heche na Lissu tuwape muda, Heche tumpe miaka 10 na Lissu miaka 5) wasipofika dau tuwajengee sanamu.
Lema alifika dau, Sugu alifika dau tofauti yao hawa wamebaki ndani tu.
Mange, anaogopa tu kufa maana anajua ktk kufika dau watu wapotayari kumpa hata dunia nzima ili wamtoe roho 🀣 ila deep down kuna watu wamefika naye dau ila anaogopa tu kwasababu anajua ni mtego wa uhai wake.
Anyways hapa duniani kila mtu ana kiasi cha fedha kikiwekwa mezani atasaliti mtu au jambo fulani.
 
Sasa mna shangaa nini? Kila mtu kuna dau akiwekewa mezani lazima asaliti umma.
Zitto alifika dau, Mbowe alifika dau, (Heche na Lissu tuwape muda, Heche tumpe miaka 10 na Lissu miaka 5) wasipofika dau tuwajengee sanamu.
Lema alifika dau, Sugu alifika dau tofauti yao hawa wamebaki ndani tu.
Mange, anaogopa tu kufa maana anajua ktk kufika dau watu wapotayari kumpa hata dunia nzima ili wamtoe roho 🀣 ila deep down kuna watu wamefika naye dau ila anaogopa tu kwasababu anajua ni mtego wa uhai wake.
Anyways hapa duniani kila mtu ana kiasi cha fedha kikiwekwa mezani atasaliti mtu au jambo fulani.

Siku TAL lisu akifika DAU basi nitaacha kufatilia siasa, Hata kuwaza tuu itakua mwiko kwangu.
 
Sasa mna shangaa nini? Kila mtu kuna dau akiwekewa mezani lazima asaliti umma.
Zitto alifika dau, Mbowe alifika dau, (Heche na Lissu tuwape muda, Heche tumpe miaka 10 na Lissu miaka 5) wasipofika dau tuwajengee sanamu.
Lema alifika dau, Sugu alifika dau tofauti yao hawa wamebaki ndani tu.
Mange, anaogopa tu kufa maana anajua ktk kufika dau watu wapotayari kumpa hata dunia nzima ili wamtoe roho 🀣 ila deep down kuna watu wamefika naye dau ila anaogopa tu kwasababu anajua ni mtego wa uhai wake.
Anyways hapa duniani kila mtu ana kiasi cha fedha kikiwekwa mezani atasaliti mtu au jambo fulani.
Punguza uongo. Hujui unachoongea. Umelala kwako unaamka na kujitungia uongo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom