loose Nut
JF-Expert Member
- Dec 6, 2025
- 2,201
- 4,959
Tajiri mdogo mwenye pesa nyingi Chief godlove kapata mpinzani.
Mpinzani huyo moonster Billionare anakuja kasi sana kwenye mitandao ya kijamii kwa kuanika na kuweka hadharani pesa na utajiri wake.
Anajiita mtoto mdogo mwenye mafanikio na anaweka wazi anamuabudu shetani na alikubali kuishi kwenye masharti awe billionea.
Anawahamasisha wanaume na wanawake wawe wanalala na kuamka na pesa, siyo unalala na mawazo ya kulipa madeni na kuamka na mawazo ya kulipa madeni.
Bilionea huyo kijana analisanamu lake la shetani ambalo analiamini na anaweka wazi anamuabudu shetani na kufuata masharti na ndio yamemfanya bilionea.
"Wewe si unayaogopa masharti? Ni bora ukaishi kwa masharti ukaishi maisha mazuri maisha ya kifahari maisha ya kumiliki dollar, mimi sina njaa angalia huu mjengo wangu wa mabilioni".
Je ndio mwanzo wa mwisho wa Chiefgodlove kwenye social media.
King Kong III
adriz de mbusii
Mpinzani huyo moonster Billionare anakuja kasi sana kwenye mitandao ya kijamii kwa kuanika na kuweka hadharani pesa na utajiri wake.
Anajiita mtoto mdogo mwenye mafanikio na anaweka wazi anamuabudu shetani na alikubali kuishi kwenye masharti awe billionea.
Anawahamasisha wanaume na wanawake wawe wanalala na kuamka na pesa, siyo unalala na mawazo ya kulipa madeni na kuamka na mawazo ya kulipa madeni.
Bilionea huyo kijana analisanamu lake la shetani ambalo analiamini na anaweka wazi anamuabudu shetani na kufuata masharti na ndio yamemfanya bilionea.
"Wewe si unayaogopa masharti? Ni bora ukaishi kwa masharti ukaishi maisha mazuri maisha ya kifahari maisha ya kumiliki dollar, mimi sina njaa angalia huu mjengo wangu wa mabilioni".
Je ndio mwanzo wa mwisho wa Chiefgodlove kwenye social media.
King Kong III
adriz de mbusii