Google translate kawa mkombozi hahahahahaa

Google translate kawa mkombozi hahahahahaa

Sikio la muazini

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2026
Posts
249
Reaction score
469
Google translate kawa mkombozi kwa wanaoijua na kuitumia utanikuta naandika kifaransa balaa kumbe wala sikijui au mtu anaandika kiingereza kumbe wala hakiju anaandika text kiswahili anatranslate halafu anaonekana msomi kumbe hajui kitu hahahahaha

Kama unatumra google tafsiri jichekeshe hahaha:
 
Google translate kawa mkombo kwa wanaoijua na kuitumia utanikuta naandika kifaransa balaa kumbe wala sikijui au mtu anaandika kiingereza kumbe wala hakiju anaandika txt kiswahili anatranslate halafu anaonekana msomi kumbe hajui kitu hahahahaha

Kama unatumra google tafsiri jichekeshe hahaha:
Ni app au?
 
Google translate kawa mkombozi kwa wanaoijua na kuitumia utanikuta naandika kifaransa balaa kumbe wala sikijui au mtu anaandika kiingereza kumbe wala hakiju anaandika text kiswahili anatranslate halafu anaonekana msomi kumbe hajui kitu hahahahaha

Kama unatumra google tafsiri jichekeshe hahaha:
Gentleman,
hivi hiyo Summarize Thread (AI) hapo juu kidogo ya title ya bandiko lako, hua ina kazi gani?🐒
 
Google translate kawa mkombozi kwa wanaoijua na kuitumia utanikuta naandika kifaransa balaa kumbe wala sikijui au mtu anaandika kiingereza kumbe wala hakiju anaandika text kiswahili anatranslate halafu anaonekana msomi kumbe hajui kitu hahahahaha

Kama unatumra google tafsiri jichekeshe hahaha:
Kuandika lugha si sifa yenye maana sasa hivi. Nasikia China kuna course wanazifuta ikiwemo hii ya kujua malugha lugha. Ai inaenda kuubadili ulimwengu, tusipobadilika sijui itakuaje.
 
Usiiamini sana inaboronga wakati mwingine kutoka lugha ya kiswahili kwenda hizo .
Bado Google translate ina makosa yanayotakiwa kufanyiwa marekebisho..bora hata hizi AI zinajitahidi kuleta tafsiri halisi km Chat GPT, Gemini,DeepSeek na Grok...
 
Usiiamini sana inaboronga wakati mwingine kutoka lugha ya kiswahili kwenda hizo lugha nyingine za kigeni.
Hata wazungu nao wanaboronga tu wanapoongea kiswahili, muhimu kueleweka tu, lugha lenyewe la wakoni halistahili heshima ni kuliboronga tu.
 
Google translate kawa mkombozi kwa wanaoijua na kuitumia utanikuta naandika kifaransa balaa kumbe wala sikijui au mtu anaandika kiingereza kumbe wala hakiju anaandika text kiswahili anatranslate halafu anaonekana msomi kumbe hajui kitu hahahahaha

Kama unatumra google tafsiri jichekeshe hahaha:
Google trans. itakuumbua siku moja kwani inavyotafsiri kwa anayeijua lugha husika atagundua umetumia google translate -inaweza ikabadili dhana/wazo ulilokusudia liwafikie walengwa wako.
 
Back
Top Bottom