Imeisha hiyo: Kakiri mwenyewe mbele ya vyombo vya habari kuwa ameua Watanganyika kwa kudhamiria

Imeisha hiyo: Kakiri mwenyewe mbele ya vyombo vya habari kuwa ameua Watanganyika kwa kudhamiria

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Wale wa ICC

Kazi imeshaisha.

Mungu si Athumani. Amekiri mwenyewe, tena mbele ya vyombo vya habari na camera kuwa aliua Watanganyika kwa kudhamiria.

Anajisifia kabisa kuwaua Watanganyika wenzetu. Leo amejibu swali mubashara kabisa kuwa yeye ndo alitoa amri za watu kuuawa.

Tukamalize kazi ICC bila kusahau Desemba 9.
 
Amesema nguvu zilizotumika ziliendana na Hali ilivyo kuwa

Na anahoji hao walio watuma walitaka nguvu Gani itumike?

Na anasema WAMEFANYA VILE KAMA WENGINE AMBAVYO HUWA WANAFANYA HUKO KWINGINEKO DUNIANI.
Imeisha hii. Hatimaye ICC hawahitaji tena kutumia nguvu kufanya upelelezi.

Mtu kajilengesha mwenyeweeee. Tena mbele ya Camera.
 
Back
Top Bottom