Image of virgin Mary grows on tree

Image of virgin Mary grows on tree

Yaani huu ndio upeo wa hoja zako? Siamini kuwa binaadamu hungangania kitu hata kama kimechuja.
Pengine hukujijua kuwa uthibitisho wa kuwepo kwa mungu ni uwepo wako wewe? Usishangae na wala usilazimishe vitu wakati wewe mwenyewe umeumbwa katika mambo ambayo huwezi kuyagusa. Uthibitisho wa kuwepo kwa mungu ni uwepo wa wewe na kama unabisha basi thibitisha kuwa picha fulani au video fulani inaonyesha kuwa wewe huwezi kuwa kithibitisho cha kuwepo mungu.
Ninachokwambia mimi ni kuwa Mungu kakuumba nawe kataa na uniambie wewe umeteremkaje sijui wapi?

Uwepo wangu unathibitishaje kuwepo kwa mungu, twende point moja baada ya nyingine.

Uwepo wangu unathibitishaje kuwepo kwa mungu?

Ukisema hivi bila kunionyesha ni vipi wewe ndiye unayelazimisha.

Nithibitishie kwamba mungu kaniumba, kwa mifano isiyokiukika.
 
Nimemtukana vipi mungu wakati yeye mwenyewe kaumba viumbe, halafu hakufurahishwa kawafutilia mbali?

Huyu mungu ana tofauti gani na mtoto anayejifunza kuandika, akaona hakupatia muandiko, akafuta aanze upya?

Umeanidka halafu bada ya hapo tu umeandika tena

Wewe mwenyewe hujui kama unaenda au unarudi! Unajichanganya changanya tu. No wonder unaamini mungu ambaye huwezi kumthibitisha.

Subiri ishara...
 
Linki gani zaidi ya wewe Kiranga, kwani si wewe ninaekuzungumzia na umeshindwa kuonyesha hiyo planning na hard working uliosema ndio msingi wa binaadamu.
Sasa ninakwambia kuwa yuko alie kuleta wewe Kiranga na akakupa na akili ukashindwa kuzitumia vizuri na kuanza kumkejeli.
Sasa ni zamu yako thibitisha kuwa hakuna kitu kama hicho bali wewe ni wewe na hard working na plani zako tu!

Hao anaosema wameendelea na hawaamini Mungu ni wapi? Huu ndio uzushi huu. Leta evidence hapa.

Ulaya, America na Arabuni kote wanaamini Mungu tena wako serious kuliko Africa.

Wengine Mungu ni sehemu ya katiba zao na nchi zao zinaongozwa kiimani kiasi cha kuwaadhibu wasiotii Mungu mfano Saudi, UAE, Poland. US wameweka mpaka kwenye dollar notes zao "In God We Trust".

Then unakuja hapa kupotosha watu kuwa kuna nchi zimeendelea na haziamini Mungu? Unaweza kutaja nchi hata moja ambayo watu wake hawaamini uwepo wa Mungu na hawaabudu chochote kwa imani kuwa kinauwezo juu ya binadam?
 
Yaani huu ndio upeo wa hoja zako? Siamini kuwa binaadamu hungangania kitu hata kama kimechuja.
Pengine hukujijua kuwa uthibitisho wa kuwepo kwa mungu ni uwepo wako wewe? Usishangae na wala usilazimishe vitu wakati wewe mwenyewe umeumbwa katika mambo ambayo huwezi kuyagusa. Uthibitisho wa kuwepo kwa mungu ni uwepo wa wewe na kama unabisha basi thibitisha kuwa picha fulani au video fulani inaonyesha kuwa wewe huwezi kuwa kithibitisho cha kuwepo mungu.
Ninachokwambia mimi ni kuwa Mungu kakuumba nawe kataa na uniambie wewe umeteremkaje sijui wapi?

KIRANGA alisema hajui alikotoka. Yani amejikuta yupo tu hahah.
 
HOLY MARY MOTHER OF GOD, PRAY FOR US SINNERS, NOW AND IN THE HOUR OF OUR DEATH AMEN!! luv u to death MOTHER MARY!
 
Hao anaosema wameendelea na hawaamini Mungu ni wapi? Huu ndio uzushi huu. Leta evidence hapa.

Ulaya, America na Arabuni kote wanaamini Mungu tena wako serious kuliko Africa.

Wengine Mungu ni sehemu ya katiba zao na nchi zao zinaongozwa kiimani kiasi cha kuwaadhibu wasiotii Mungu mfano Saudi, UAE, Poland. US wameweka mpaka kwenye dollar notes zao "In God We Trust".

Then unakuja hapa kupotosha watu kuwa kuna nchi zimeendelea na haziamini Mungu? Unaweza kutaja nchi hata moja ambayo watu wake hawaamini uwepo wa Mungu na hawaabudu chochote kwa imani kuwa kinauwezo juu ya binadam?

Northern Europe, especially Scandinavian countries have a lower religiosity and higher quality of life

But I wouldn't expect you to know anything about that.

You actually have the audacity of mentioning "Saudi", a primitive country that does not even allow its women to drive, as an advanced nation.

Just goes to show how shallow your understanding is.
 
Because the doctrine of the Assumption of Mary is not found in the Bible, We Roman Catholics call Sacred Traditions that is equal in authority to the Bible.

"Finally the Immaculate Virgin, preserved free from all stain of original sin, when the course of her earthly life was finished, was taken up body and soul into heavenly glory, and exalted by the Lord as Queen over all things, so that she might be the more fully conformed to her Son, the Lord of lords and conqueror of sin and death." The Assumption of the Blessed Virgin is a singular participation in her Son's Resurrection and an anticipation of the resurrection of other Christians.

This is a Roman Catholic dogma,


The Blessed Virgin Mary Bodily Assumption which surely no faculty of the human mind could know by its own natural powers, as far as the heavenly glorification of the virginal body of the loving Mother of God is concerned, is a truth that has been revealed by God.

So i think its difficult to understand if you have not affirmed yourself the to the Roman Catholic teachings/doctrines.
 
Because the doctrine of the Assumption of Mary is not found in the Bible, We Roman Catholics call Sacred Traditions that is equal in authority to the Bible.

"Finally the Immaculate Virgin, preserved free from all stain of original sin, when the course of her earthly life was finished, was taken up body and soul into heavenly glory, and exalted by the Lord as Queen over all things, so that she might be the more fully conformed to her Son, the Lord of lords and conqueror of sin and death." The Assumption of the Blessed Virgin is a singular participation in her Son's Resurrection and an anticipation of the resurrection of other Christians.

This is a Roman Catholic dogma,


The Blessed Virgin Mary Bodily Assumption which surely no faculty of the human mind could know by its own natural powers, as far as the heavenly glorification of the virginal body of the loving Mother of God is concerned, is a truth that has been revealed by God.

So i think its difficult to understand if you have not affirmed yourself the to the Roman Catholic teachings/doctrines.

The bible itself is full of contradictions, so to me, even the bible is not an authority.
 
HOLY MARY MOTHER OF GOD, PRAY FOR US SINNERS, NOW AND IN THE HOUR OF OUR DEATH AMEN!! luv u to death MOTHER MARY!

How can a god have a mother?

Doesn't that contradict the claim to the uncaused cause aspect of the said godhead?
 
He among you is the wisest who, like Socrates, knows that his wisdom is really worth nothing at all. That the wisest of you men is he who like Socrates has learned that with respect to wisdom, he is truly worthless.
 
The only thing that is not limited is your ignorance.

He among you is the wisest who, like Socrates, knows that his wisdom is really worth nothing at all. That the wisest of you men is he who like Socrates has learned that with respect to wisdom, he is truly worthless.
 
how can a god have a mother?

Doesn't that contradict the claim to the uncaused cause aspect of the said godhead?
just think and judge what is underneath ur clothes! Leave my religion and my sweet mother MARY mother of GOD aloneeeeeeee! If u dont like it, go hug a transfoma! Loooool!
 
Northern Europe, especially Scandinavian countries have a lower religiosity and higher quality of life

But I wouldn't expect you to know anything about that.

You actually have the audacity of mentioning "Saudi", a primitive country that does not even allow its women to drive, as an advanced nation.

Just goes to show how shallow your understanding is.

What about the United States or the UAE? Are they poor? Do they believe God exists? Not poor and the believe. So being poor has ni connection with believing in God.

Does it concern you if Saudi Women are not allowed to drive? Is that your business in the first place?

You are just losing direction and of all the people in here you seem to be the only satanic messenger trying to convince people the stupidity that occupies a larger part of your brain.

You wouldn't expect me to know about Europe? Is this not proving how stupid you are, expecting and concluding of someone you never met?

No matter how low religious those countries you know they may be, the bottom line is that they believe GOD exists and this is the discussion here.

You even know they believe and still wasting time and trying to confuse people here? You have been lost because you don't know where you came from and for that matter there's no way you could know where you are going.
 
The bible itself is full of contradictions, so to me, even the bible is not an authority.

So you do read the bible? What are you looking for in the book composed of knowledge about what you do not believe in? Is not a character of someone stupid?

Are you not guilty of pretending?
 
HOLY MARY MOTHER OF GOD, PRAY FOR US SINNERS, NOW AND IN THE HOUR OF OUR DEATH AMEN!! luv u to death MOTHER MARY!

The concept that makes Mary (formerly Virgin Mary) a mother of God needs great minds of believers to understand. For a stupid thinker, it means Jesus never existed until when Mary gave birth to HIM. Very wrong. Jesus existed before any creature. Before anything. It's correct to call Mary a mother of God because Jesus came to earth through her womb.
 
Uwepo wangu unathibitishaje kuwepo kwa mungu, twende point moja baada ya nyingine.

Uwepo wangu unathibitishaje kuwepo kwa mungu?
Naam,na mpaka sasa ni mmoja tu alieclaim kuwa amekuumba. Kanusha hilo.

Ukisema hivi bila kunionyesha ni vipi wewe ndiye unayelazimisha.

Soma vitabu vitakatifu vitakupa maelezo zaidi.

Nithibitishie kwamba mungu kaniumba, kwa mifano isiyokiukika.

​Ameweka utaratibu ambao hauna mbadala katika kuja kwako duniani, kuja kwako duniani hakutofautiani na binaadamu mwengine yeyote isipokuwa mara moja tu toka kuumbwa dunia.
 
Hao anaosema wameendelea na hawaamini Mungu ni wapi? Huu ndio uzushi huu. Leta evidence hapa.

Ulaya, America na Arabuni kote wanaamini Mungu tena wako serious kuliko Africa.

Wengine Mungu ni sehemu ya katiba zao na nchi zao zinaongozwa kiimani kiasi cha kuwaadhibu wasiotii Mungu mfano Saudi, UAE, Poland. US wameweka mpaka kwenye dollar notes zao "In God We Trust".

Then unakuja hapa kupotosha watu kuwa kuna nchi zimeendelea na haziamini Mungu? Unaweza kutaja nchi hata moja ambayo watu wake hawaamini uwepo wa Mungu na hawaabudu chochote kwa imani kuwa kinauwezo juu ya binadam?
dotnet, vipi yakhe unanivamia tu, nilifikiri tuko upande mmoja au Kiranga kakuvuruga?
Huyo saizi yangu na unamuona anaanza kunikimbia.
 
Back
Top Bottom