Lengo hapa hakuna aliekuwa na haja ya kuthibitisha uwepo wa mungu.
Wrong.
Mimi nina haja ya kuthibitishiwa kwamba mungu yupo, ili watu wanaposema "mungu hivi, mungu vile" nijue wanaongelea kitu chenye uthibitisho na si hadithi za kiimani tu.
Kama unasema hakuna aliyekuwa na haja ya kuthibitisha uwepo wa mungu napata mashaka kwamba unasoma ninachoandika.
Mtu huthibitisha pale penye utata na hakuna kati yetu (isipokuwa wewe) ambaye anahitaji uthibitisho.
Sasa unajua kwamba nataka huo uthibitisho, kwa nini unasema hakuna mtu anayetaka uthibitisho huo?
Unaelewa unachoandika mwenyewe?
Sasa wewe ulioko nje ya uzio na unataka tukubaliane nawe basi fanya kazi ya kuthibitisha kinyume na hakika tuliyonayo.
First of all, unajuaje nani yupo ndani ya uzio na nani yupo nje ya uzio? Uzio wa nini? Wa ujinga?
Second of all, one cannot prove a negative. Those wh say something is there have the burden of proving that it is there.The one who questions that assertion need only ask for proof.
Third, I do not necessarily want people to agree with me. I just want a rigorous examination that is logical and comprehensive. If the idea of the existence of a godhead wins the argument on the logical merit, I am prepared to accept that. In fact I will be relieved. Because all the problems of this world will rest on god's shoulder, not mans. I think subconsciously people want to believe in a god because they are lazy and are not ready to accept responsibility. If god created the universe and he is all powerful, then the big picture things could be slated to god for a solution, we could just go down and pray and god will make it toasty.
People who do not believe in the existence of a god have to do more work, planning etc. There is no god to pray to, you gotta do the work yourself.
This is part of the reason why countries with a high inclination for religiosity are backwards in education and economy. Too much dependence on god. Watu watakufa migodini huko, kifusi kimeanguka, rais badala ya kuangalia masuala ya quality/ process control, anaishia kusema "ni kazi ya mungu". Tunaishi ki kudra kudra. In fact tuna msemo wa Kiswahili kabisa unasema "Jitihada haishindi kudra". Kwamba wewe jitahidi unavyotaka lakini kama hujapata kudra hufiki popote. Ndiyo mentality ya kidini dini hii inayotufanya tuwe masikini mpaka kesho.
Wewe unakadhania thibitisha thibitisha, nani athibitishe kitu kisicho na mjadala, sasa wewe kwa akili zako unatakiwa ututowe ujingani kwa kutuonyesha kuwa hayo tunayoyaamini si kweli.
Nikuonyeshe mara ngapi? Nimetoa objection due to logical inconsistencies in the nature of your god and the observable universe. Sijapata majibu. Tatizo hata nikikuonyesha utaelewa ninachoandika?
Umekuwa ukipoteza muda kwa kumtaka kila mmoja athibitishe na hakuna hata kati yetu tulilijali hilo, sasa aidha huna cha kufanya hata unangangania jambo ambalo lishaonyesha kuwa hutolipata au una tatizo la kutofahamu ishara, kwani ni wazi hakuna anaejali kutowa uthibitisho wakati kati yetu hatuna wasiwasi na mtizamo wetu.
Sasa kati yangu mimi ambaye sina cha kufanya na wewe unayemjibu mtu ambaye hana cha kufanya nani afadhali?
Kuna watu wanafuatilia mjadala na kujifunza hapa.
Na ukisema hakuna anayejali kutoa uthibitisho unathibitisha kwamba hujui kusoma, kwani watu wanajaribu.
Tatizo hawawezi kuthibitisha. Kama usivyoweza wewe.
Kubali tu, siwezi kuthibitisha, huyu mungu wetu ni wa kuungaunga kuliko mungu wa maboksi. Hathibitishiki.