Image of virgin Mary grows on tree

Are you offended?
Mbona hivyo ndivyo inavyoonyesha kwani kiumbe nimeumbwa na Mungu nawe Dudesha hukuumbwa wala huna chanzo wala purpose. Unafikiri kweli tutafika pahala tukubaliane?

Kabla ya kuandika sana kuhusu mungu thibitisha yupo.

You do not posses the requisite intelligence to offend me, don't flatter yourself.
 
Kwa mi hadi nimeupenda huu mdahallo tena nimefarijika sana na tena natoa ombi la tuwe na ukurasa wa kidini ili tujue na tuwe na uhakika wa ipi dini ya kweli maana kila mtu anavuta upande wake asanteni na kama pana kosa basi naomba msamaha
 
Kabla ya kuandika sana kuhusu mungu thibitisha yupo.

You do not posses the requisite intelligence to offend me, don't flatter yourself.
No sir I humbly follow you, whom I am to deserve flattery before you who elevates himself above the Go?
 
There is where I was taking you! Viumbe maana yake ni nini?

Viumbe ni vitu vilivyoumbika, si lazima viwe vimeumbwa na mungu.

Tushaona hata nguvu za asili zinavyoumba natural features.

Ukitaka kusema binadamu kaumbwa na mungu ni lazima uonyeshe vipi.

Sema jingine.
 
View attachment 202992
Some believe the appearance of the Virgin Mary is a sign of divine intervention.

The mysterious image of what many are calling a perfect likeness to the Virgin Mary can be seen on the side of tree located at the intersection between 3rd Street and Bridge Road in Polk City, Iowa. A Nov. 14 report by KCCI 8 News explains that the shape in the tree is about 6 feet tall. It has residents asking what it really means.

While many claim it is the likeness of the Virgin Mary, others say it looks like Jesus. Still others claim to see the image of Mother Mary holding baby Jesus in her arms. There are, of course, skeptics who claim the image on the tree is only an illusion. They claim people only see what they want to see.

According to a KEYE TV report, some are so taken with the image that they have begun to place flowers at the feet of what they believe is the image of Virgin Mary. In fact, some claim that this is a case of divine intervention. They believe that the image is a message from God.

Scientists and skeptics might claim the image is nothing more than a case of pareidolia where the human mind strives to make sense out of chaotic images and perceives them as something they are not. This typically means seeing human faces or human forms where none exists. Many believe that pareidolia causes religious people to see religious symbolism, such as Jesus and Mary, when they do not really exist.

Source: examiner.com


Hawa wakatoliki hawaishi vituko kuna ile version ya ukatoliki wa kiarabu sijui unaitwa uislamu wenyewe umekuja na kituko cha sanamu ya dhahabu imeruka kwenda mbinguni huko jedda saudia kahtaan

 
Last edited by a moderator:
Huu uzi unaelekea kusikojulikana.

Ninaamini Mungu anaishi na ndiye muweza wa yote.

Naamini kuwa Mungu wangu yuko katika nafsi tatu - Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Na hizi ni nafsi tatu, Mungu mmoja.

Naamini kuwa Yesu ndiye Mungu wangu na ndiye mwenye mamlaka Mbinguni na duniani. Tena ndiye anayeokoa hata leo.

Naamini NENO la huyu Mungu wangu, Yesu Kristo linalosema;

"Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli"

Na kwamba;

"Mungu hachunguziki"

Na kwamba;

"Niliyowafunulia ninyi ni ya kwenu ninyi na watoto wenu"

Na kwamba;

"Mpumbavu amesema moyoni hakuna Mungu"

Na kwamba;

"Kwa Bwana Yesu kila goti litapigwa"

Na kwamba;

"Lisilowezekana kwa wanadam, kwa Mungu linawezekana"

Hivyo basi;

Ikiwa mtu haamini kuwa Mungu anaishi na ili aamini kuwa anaishi anataka kuthibitishiwa kama aulizavyo KIRANGA, mimi nasema hili kwa imani yangu kwa huyu Mungu wangu haliwezekani maana "hachunguziki".

Na ikiwa ili KIRANGA au yeyote asiyeamini kuwa Mungu yupo ataamini kwa kutaka kuthibitishiwa basi hilo halitatokea.

Na kwa mantiki hiyo, ni heri kufunga mjadala huu kwa kuacha asiyeamini uwepo wa Mungu aendelee kutoamini na aebdelee kumdhihaki Mungu ambaye mimi naamini yupo.

Na ikiwa anamdhihaki Mungu ninayemwamini kwa vile "hachunguziki", basi sio ajabu akiamuni kuwa mimi ninayemuamini huyo Mungu ambaye yeye hamuamini, kuwa mimi ni mjinga. Aendelee kuamini hivyomaana uthibitisho anaoutaka ili aamini hataupata maana hili linawnda kinyume na maana halisi ya imani kwa Mkristo - kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo (yasiyoonekana au yasiyothibitishika).

Kwa sababu hiyo;

Haipo sababu ya kuendelea kupoteza muda kwa kuulizana maswali ambayo kwa hakika majibu yake imiwa sharti ni kuthibitisha Mungu yupo, hayatapatikana.

Hii ina maana;

Anayeamini moyoni mwake kuwa yuko sahihi basi afurahie kuwa ni mshindi au muelewa kuliko yule anayeamini vinginevyo.

Mimi najua;

Mungu ninayemwamini hachunguziki. Na hakuna anayelazimishwa kuamini uwepo wa Mungu. Ni hiari. Hivyo ikiwa asiyeamini uwepo wa Mungu kwa sababu tunaoamini hatumthibitishii hilo na akaona tunaoamini ni wajinga yeye ndiye mwerevu, je hili linapunguza nini? Na aendelee kuamini hivyo. Haidhuru. Yeye ni mshindi.

Lakini, nasema tena;

Haiwezekani kuthibitisha uwepo wa Mungu kwa namna ya kibinadam wanaotumia milango mitano ya faham kutambua. Kumtambua Mungu kunahusisha imani na imani haithibitishiki maana ni hakika ya mambo yasiyoonekana.

Kuna sababu ya kuendelea kuulizana Mungu yupo au hayupo? Mimi nasema hakuna sababu. Ila anayeona kuna sababu na aendelee, ila nina hakika uzi huu unaelekea kusikojulikana.

Dotnet.
 
Kwa maneno, una maana?

Exactly my sentiments.

Look, if you do not know the basics of Non-Euclidean Geometry, you can hardly front to discuss the spatial Kaluza-Klein manifestation of Minkowski like wave functions exhibiting string theory prone Calabi-Yau wormhole saddles.
 
Exactly my sentiments.

Look, if you do not know the basics of Non-Euclidean Geometry, you can hardly front to discuss the spatial Kaluza-Klein manifestation of Minkowski like wave functions exhibiting string theory prone Calabi-Yau wormhole saddles.

Nilikwambia kuwa mimi nimeumbwa na mungu hayo makashannsiki na utiriri mwengine unaujuwa wewe ambaye hukuumbwa bali umejiumba.
Kwa maana hiyo mimi nami nina misamiati yangu ambayo wewe huitaki!
Hebu niambie nikukueleza sentensi ifuatayo ambayo sisi tunaoamini Mungu utaikubali kuwa ni uthibitisho wa kuwepo kwa Mungu?
Consupius hole ass theory overflasbergat sympossiusis man tethering crust superiority tundus super human.

Naamini logically theory hiyo hapo juu inakidhi haja ulioitaka.
 
Nilikwambia kuwa mimi nimeumbwa na mungu hayo makashannsiki na utiriri mwengine unaujuwa wewe ambaye hukuumbwa bali umejiumba.
Kwa maana hiyo mimi nami nina misamiati yangu ambayo wewe huitaki!
Hebu niambie nikukueleza sentensi ifuatayo ambayo sisi tunaoamini Mungu utaikubali kuwa ni uthibitisho wa kuwepo kwa Mungu?
Consupius hole ass theory overflasbergat sympossiusis man tethering crust superiority tundus super human.

Naamini logically theory hiyo hapo juu inakidhi haja ulioitaka.

Just as I thought.
 
Huu uzi unaelekea kusikojulikana.

Ninaamini Mungu anaishi na ndiye muweza wa yote.

Naamini kuwa Mungu wangu yuko katika nafsi tatu - Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Na hizi ni nafsi tatu, Mungu mmoja.

Naamini kuwa Yesu ndiye Mungu wangu na ndiye mwenye mamlaka Mbinguni na duniani. Tena ndiye anayeokoa hata leo.

Naamini NENO la huyu Mungu wangu, Yesu Kristo linalosema;

"Mungu ni Roho nao wamwabuduo imewapasa kumwabudu katika roho na kweli"

Na kwamba;

"Mungu hachunguziki"

Na kwamba;

"Niliyowafunulia ninyi ni ya kwenu ninyi na watoto wenu"

Na kwamba;

"Mpumbavu amesema moyoni hakuna Mungu"

Na kwamba;

"Kwa Bwana Yesu kila goti litapigwa"

Na kwamba;

"Lisilowezekana kwa wanadam, kwa Mungu linawezekana"

Hivyo basi;

Ikiwa mtu haamini kuwa Mungu anaishi na ili aamini kuwa anaishi anataka kuthibitishiwa kama aulizavyo KIRANGA, mimi nasema hili kwa imani yangu kwa huyu Mungu wangu haliwezekani maana "hachunguziki".

Na ikiwa ili KIRANGA au yeyote asiyeamini kuwa Mungu yupo ataamini kwa kutaka kuthibitishiwa basi hilo halitatokea.

Na kwa mantiki hiyo, ni heri kufunga mjadala huu kwa kuacha asiyeamini uwepo wa Mungu aendelee kutoamini na aebdelee kumdhihaki Mungu ambaye mimi naamini yupo.

Na ikiwa anamdhihaki Mungu ninayemwamini kwa vile "hachunguziki", basi sio ajabu akiamuni kuwa mimi ninayemuamini huyo Mungu ambaye yeye hamuamini, kuwa mimi ni mjinga. Aendelee kuamini hivyomaana uthibitisho anaoutaka ili aamini hataupata maana hili linawnda kinyume na maana halisi ya imani kwa Mkristo - kuwa na hakika na mambo yatarajiwayo (yasiyoonekana au yasiyothibitishika).

Kwa sababu hiyo;

Haipo sababu ya kuendelea kupoteza muda kwa kuulizana maswali ambayo kwa hakika majibu yake imiwa sharti ni kuthibitisha Mungu yupo, hayatapatikana.

Hii ina maana;

Anayeamini moyoni mwake kuwa yuko sahihi basi afurahie kuwa ni mshindi au muelewa kuliko yule anayeamini vinginevyo.

Mimi najua;

Mungu ninayemwamini hachunguziki. Na hakuna anayelazimishwa kuamini uwepo wa Mungu. Ni hiari. Hivyo ikiwa asiyeamini uwepo wa Mungu kwa sababu tunaoamini hatumthibitishii hilo na akaona tunaoamini ni wajinga yeye ndiye mwerevu, je hili linapunguza nini? Na aendelee kuamini hivyo. Haidhuru. Yeye ni mshindi.

Lakini, nasema tena;

Haiwezekani kuthibitisha uwepo wa Mungu kwa namna ya kibinadam wanaotumia milango mitano ya faham kutambua. Kumtambua Mungu kunahusisha imani na imani haithibitishiki maana ni hakika ya mambo yasiyoonekana.

Kuna sababu ya kuendelea kuulizana Mungu yupo au hayupo? Mimi nasema hakuna sababu. Ila anayeona kuna sababu na aendelee, ila nina hakika uzi huu unaelekea kusikojulikana.

Dotnet.

Unaruhususiwa kuamini lolote.

Lakini je, unajua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom