I'm too lazy to be a housewife

I'm too lazy to be a housewife

Siyo siri wanawake wavivu wananikera mpaka basi ,hawajuhi kwamba unapowahudumia watu Wa nyumbani kwako nao wakafurahi unajichotea baraka za nguvu kutoka kwa MUNGU, mwanamke husiyetaka kuhudumia familia yako nani ahudumie,kwani hata Dada Wa kazi ni mwanamke pia ,ujionee wewe huruma yeye husimuonee .
Ki ukweli nafarijika sana kuona umejawa na busara na hekima hivi kama ladyred,loveissweet, heaven on Earth na wengine wengi humu jf wapo wana busara sana sio huyu mtafuta attention, na kama hatabadirika na kujifunza kwa michango hii basi atapata shida sana.... Hapo itokee akae na mama mkwe mbona atajuta ataipata freshi na ataona uchungu wa ndoa kwa uvivu wake,

yani mimi inanishangaza sana kwani kuhudumia familia yako ina cost kitu gani hususani watoto mume wako ehh na kuweka nyumba yako perfect hata wewe mwenyewe mwanamke binafsi unajisikia raha inakufariji inakuwaje wengine hili kwao ni karaha na kero....aombe Mungu sana asipate Mwanaume mwenye hasira na ghadhabu kwa tabia hizi kutawaka moto ndani
 
kuna wanaume wako very okei na hio hali mi sikutegemea...anyway labda ntabadilika nikipata vibaby vyangu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
hio kuitwa mvivu ni kawaida uzoee tu ndio wanaume wa kiafrika hao
jaman, jaman, jaman nimeperuz huu uzi kisingizio kikubwa wanaume wa kiafrika! so wanaume wa kizungu hawapend kufanyiwa mambo kama kufliwa na kufanya usaf wa ndan na wake zao??? ifike pahala tukubaliane nni maana ya maisha ya ndoa/unyumba na nni maana ya kuwa walezi wa familia, mtoa mada ishu yake kaiongelea kama yye hatakuwa na majukumu mengine zaid ya kutunza familia...je kama ni mfnyakaz anatoka asubuh anarud jion? na mumewe ivyo ivyo...nafas ya msaidizi wa home ipo ila nowdays ni changamo kupita maelezo, who u can trust umuachie nyumba yako aipendezeshe na kuitosheleza??? nafasi ya mama itakuwa nni ssa kama hata boxer za mumewe utampa house girl? kwa sifa wanazomwagiwa wanawake wa kiafrika kuwa wavumilivu et al, sio sawa kukimbia hayo mambo....KUSAIDIANA MUHIMU ila si kwa kutegeana au kuskip with worthless reason....
 
jaman, jaman, jaman nimeperuz huu uzi kisingizio kikubwa wanaume wa kiafrika! so wanaume wa kizungu hawapend kufanyiwa mambo kama kufliwa na kufanya usaf wa ndan na wake zao??? ifike pahala tukubaliane nni maana ya maisha ya ndoa/unyumba na nni maana ya kuwa walezi wa familia, mtoa mada ishu yake kaiongelea kama yye hatakuwa na majukumu mengine zaid ya kutunza familia...je kama ni mfnyakaz anatoka asubuh anarud jion? na mumewe ivyo ivyo...nafas ya msaidizi wa home ipo ila nowdays ni changamo kupita maelezo, who u can trust umuachie nyumba yako aipendezeshe na kuitosheleza??? nafasi ya mama itakuwa nni ssa kama hata boxer za mumewe utampa house girl? kwa sifa wanazomwagiwa wanawake wa kiafrika kuwa wavumilivu et al, sio sawa kukimbia hayo mambo....KUSAIDIANA MUHIMU ila si kwa kutegeana au kuskip with worthless reason....
Huyo uliye quote comment yake ni jipu..... Yeye kila siku ana mawazo hasi juu ya wanaume jaribu kufuatilia uzi zake alizo zianzisha... Sasa sijuwi mahusiano yake doesnt work the way she wishes basi she concludes all women they experience the same.....
 
Kwanini watu mnakuwa wagumu kuelewa??? Ningekuwa mwalimu ningetoa makonzi kwanza! Sio kwa vichwa hivi!

Nimesema SIPENDI kazi za nyumbani. Hakuna kazi inayoshinda.

Pia nimesema SIAMINI kuwa kazi za nyumbani ni za mwanamke. Kazi ni za wote.

Mwanaume asiyefanya aitwe mwanaume. Mwanamke asiyefanya aitwe mvivu. SIDANGANYIKI!
 
Watu wa type yako ni wa kuwaogopa kitabia kama ukoma.hapa jf unaandika tu kujifurahisha na siku zipite ila huna uhalisia na maisha yako unayo ishi sasa usiwapotoshe wengine

Kumbe naishije embu niambie?? WanaJF buana!

wanaume kuchepuka na mpaka ndoa kuvunjika ama uchumba sio kurogwa ni kwasababu wamekutana na mwanamke wa disaini yako wenye tabia za kifedhuri kama zako

We Naye embu nitolee stress zako! Kuna Mtu kalazimishwa aishi navyotaka? Ni lazima wote tuishi unavyotaka wewe? Livivu tu linataka kufanyiwa kazi zote na mwanamke. OVYO!

Wakina mama Theresa kutwa kukesha kanisani kumtuliza mume usijaribu kutetea ujinga hapa.

Hakuna mwanamue atakayelazimishwa kuishi na mimi! So chill
 
Kuna sehemu nmesoma ulibaki na baba home ukaishia zako hostel,jiulize ndo mke wa mtu na watoto na kazi ya ofisi unayo tena very demanding, dada wa kazi kakutoroka,utawaacha ukalale gesti auu??tafakari chukua hatua mdogo wangu,maisha mazuri kila mtu anapenda ila yatupasa kujua kumudu tukiwa na ya shida pia,ts part of life

Ndo hapo kazi ya mama na baba kutunza nyumba. I need a man who WORKS!
 
Mhhhh shoga yupi huyoo,hawa wa kiafrika??my dear ukikua ukawa mwanamke, I mean MWANAMKE utaelewa kazi za nyumbani ni sehemu ya maisha yako japo usizidiwe weka msaidizi kukusaidia tu Ila lile ni jukumu lako,sawa kazi hupendi,watoto atalea nani?nao dada??omba sana Mungu mdogo wangu,OMBA SANA,binadamu tunapanga ila Mungu nae ana yake, kuwa mwanamke humble jikubali,kazi za home mbona ni kujipanga,unaweza taka maisha flani je can u afford? Can ur partner afford?utu uzima ni kuweza kumudu hali zote za maisha pia,siku dada yupo poa,siku hayupo poa pia maisha yanaendelea
Ndo upatage mume anaishi na nduguze na hataki dada na unafanya kazi sijui posta Hahaha haloo itakucostiiii,..bt usiwe rigid mami manage kuishi maisha ya aina zote
Excuse me, kwanza hutokuwa wa kunifundisha kuwa mwanamke. You're not any more of a woman than I am.

wako wanaume wanaokubaliana na wewe na wako wanaokubaliana na Uhuru naotaka. Bahati nzuri/mbaya tuko kwenye forum ambayo wengi watakubaliana na wewe.

.Hiyo picha uliyotengeneza hapo haiendani na nilichosema.

Housegirl ni wa kunipa luxury life otherwise Hakuna kazi inayonishinda na nimesema siamini kuwa kazi za nyumbani ni za mwanamke! Hizo enzi zimeisha!

Pia nimesema pamoja na kuwa na Dada bado jukumu la kutunza nyumba lipo! Madada sio marobot.

Pia jukumu la kulea ni la wote. Mwanaume asiyejua kulea mwenyewe simtaki.

Na nimesema nitakaa nyumbani kulea sasa hayo mambo ya kutojua kufunga diapers sijui yanakujaje!

Huyo mume uliyemtolea mfano ilikuwaje hadi akawa mume wangu?? Washika tamaduni HAWANIVUTII!
 
.. Kwa mfano tu ni Wanawake wangapi ni WAHESHIMIWA serikalini bado wanatimiza wajibu wao pande zote mbili... serikalini na pia kwenye familia yani shughuli za kifamilia tena
Mbona mwanamke ana wajibu pande mbili lakini mwanaume hana??

Lakini hamna shida. Ni kuchagua tu mwanaume anayejua kuwa nyakati zimebadilika na division of labor ya Leo ni tofauti. Mwanaume kupiga kazi za nyumbani bwana.


bila kujidai wala nyodo sembuse huyu mkaa nyumbani ana piga kelele hapa....
kimekuuma nini we we janaume!!! manake toka huko mwanzo unanipa attacks tu. kuna mwanamke kakuacha kisa kasoma thread yangu. get a life.
 
Sijaoa, ila kati ya vitu Navyotaka kuja kumshangaza mke wangu ni kumsaidia kazi za nyumbani. Nina taste ya vyakula fulani na Napenda mazingira ya home kwangu yawe ya kiwango fulani,mambo ambayo napenda kumuonyesha wife kwa vitendo!
Naomba uniwowe
 
Ameeen,ahsantee, huyu baba hopefully anaelewa he's lucky, ila ndo vile huku Jf story nyingi sana,but am learning everday
Na mdogo wangu housegirl siku akitoka home hapo ataelewa..Afrika hii mama na madigrii kibao unaweka pembeni ukiwa home,

Kazi hazinishindiiii lakini sizipendiiii. Tusilazimishanee! Mbona wanaume hawa wanagoma kulazimishwa kufanya kazi za nyumbani! Mivivu tu mfyuu.

and where did you get the idea that mimi ni mdogo wako? manake kwenye threads nyingine naambiwa ni 50yr old single woman.
 
.. Men are like babies when you treat them with honey they will be honey but you treat them with sour ,they will be sour too... .
I'm like a baby too..I want to be taken care of. Nipikiwe. Nifuliwe. Nitengenezwe nywele. Aaawww such men exist dear.

AND I CAN TURN SOUR TOO, especially if he changes and becomes like the men on this thread.
 
Yes we can say that hobby but hata kama mume ajue kupika ,kusafisha na kadhalika still atabaki kuwa Mume tuu the father of the house... He will never do all these forever. Kuna ndugu yangu mmoja alivyokuwa lazy ,naye alikuwa akisema kama huu Uzi unavyosema .. Alikuwa akiwaza kuja kuolewa na Rich people ( ili aekewe house maids ) or not to get married at all.. I have never thought if she will ever get married.. Maana she was too picked kwa wachumba na dharau too much dharau, ( because of her beauty, na kujisifia kabisa kwa kusema sisi kwetu ni wazuri. ). Yaani alinikera sana ... Guess what happened? Baada ya kuchezea umri... Chezeya kuolewa hahaaahaa.. Aliishia na Army guy now she does everything in the house.. I still don't believe it till now.. Hahaaahhaaa.. Ukumbuke bidada ilipokuwaga zamu yake ya to do house work ... She used to pay me money for cooked , cleaned, laundry for her turns .. I honestly still don't believe she ended up married an Army guy haahaaa.. I'm like what , acha Mungu aitwe Mungu... Haki.. Hatujafa na wala hatujauumbika.. So huu Uzi reminded me many scenarios and one of them ni huyu my blood relative .. Never say never... Thanks..

So kama ni father of the house asiyefanye?

PRAISE HADES kuna wanaume huko duniani wanajua ni wajibu wao so wala si shida. Kama anaona anapungukiwa uanaume wake akifanya kazi, uwezekano ni mkubwa hata urafiki naye sina.

Halafu haya mambo ya rich guy sijui yanaingiaje, me Siko huko
 
Umesema vema. Tabia mbaya saana kuendekeza uvivu. Maaana huu ni Uvivu live plus matokeo ya malezi nahisi ni haya malezi ya dady na mamii (malezi ya wapi sijuui ila kama ni haya ya kitanzania hayawezii toa product ya aina hii....
Lenyewe halifanyi kazi nyumbani halafu linaita wenzie wavivu!

au unafanyaga niombe msamaha fasta...
 
Kazi za nyumbani afu unaamka sa mbili?? Lazma zikushinde,amka sa 11 sometimes afu uone km by sa 1 una kazi
I want to enjoy life! Msinipe mawazo ya kimasikini!

naamkaga mapema excited to read a book. not do housework.
 
Ni kweli kazi za nyumban zinachosha hlf haziishi lakini ni fahari kwa mwanamke kumpikia chakula kizuri mume wake ili apate nguvu ya kugegeda.

Kweli kabisa.

Pia ni fahari ya mwanaume kumpikia mwanamke ampendaye ili we na mood ya mgegedo.
 
Back
Top Bottom