Nimependa ukomavu wako, keep it up!!!Haya asante kwa maoni yako
Kiukweli ni kwamba kazi za nyumbani ni nyingi sana. Kwa mtazamo wangu mimi, wife kuwa nyumbani si maana kwamba afanyekazi zote za nyumbani yeye mwenyewe la isipokuwa kuhakikisha kuwa kazi za nyumabani zinazofanywa na kina dada na kina kaka zinafanyika kwa ufanisi, na yeye kuchukua jukumu zima la kulea watoto kwakuwa na muda mwingi wa kuwafundisha na kuwaelekeza ukiwemo kuwalekeza watoto wa kike jinsi njema ya kuishi na mume kwa wema na heshima hasa kwa bint aliyefikia hatua hiyo kiumri. Kazi za nyumbani ni nzito sana huwa na waona wa dada wanavyochakarika toka waamnke hadi wanaingia kitandani na ndo maana si compromise mshahara na matakwa ya madada, i real take care of them because they take care of my family, to me they are very important people in my family daily life.Nimependa ukomavu wako, keep it up!!!
Ni mtu mmoja pasipo shaka .nimegundua mwandiko wao na pia comments zinatoa jina moja .Wewe na loveissweet ni mtu mmoja??kavile umemjibia haswa alichokisema kuhusu kuolewa na msukuma mkokoteni...correct me if am wrong... Maandish hayadanganyi...