I'm too lazy to be a housewife

I'm too lazy to be a housewife

Kuna sehemu nmesoma ulibaki na baba home ukaishia zako hostel,jiulize ndo mke wa mtu na watoto na kazi ya ofisi unayo tena very demanding, dada wa kazi kakutoroka,utawaacha ukalale gesti auu??tafakari chukua hatua mdogo wangu,maisha mazuri kila mtu anapenda ila yatupasa kujua kumudu tukiwa na ya shida pia,ts part of life
Uelewa wake wa maisha ni mdogo sana
 
Mhhhh shoga yupi huyoo,hawa wa kiafrika??my dear ukikua ukawa mwanamke, I mean MWANAMKE utaelewa kazi za nyumbani ni sehemu ya maisha yako japo usizidiwe weka msaidizi kukusaidia tu Ila lile ni jukumu lako,sawa kazi hupendi,watoto atalea nani?nao dada??omba sana Mungu mdogo wangu,OMBA SANA,binadamu tunapanga ila Mungu nae ana yake, kuwa mwanamke humble jikubali,kazi za home mbona ni kujipanga,unaweza taka maisha flani je can u afford? Can ur partner afford?utu uzima ni kuweza kumudu hali zote za maisha pia,siku dada yupo poa,siku hayupo poa pia maisha yanaendelea
Ndo upatage mume anaishi na nduguze na hataki dada na unafanya kazi sijui posta Hahaha haloo itakucostiiii,..bt usiwe rigid mami manage kuishi maisha ya aina zote
Aisehhhhhhh yani wewe ni wa ukweli, yani umegonga point mpaka nikakuwazia ni namna gani MUNGU amekubariki UTASHI , nika imagine SHEMEJI YANGU anavyofurahia kukupata LAKINI ONLY IF uliyoyasema unayafanya na kuyaishi, ki ukweli Mungu akusimamie ni faraja sana kuona mwanamke anaye jitambua kama wewe,ntakupa ZAWADI kwa kweli,ila uyaishi uliyosema....NDOA ni tamu sana ila watu hawajui THAMANI ya ndoa na ndiyo maana waropokaji wa hivi hawakosekani kwa kuwa Ndoa imewashinda kwasababu ya vijimambo kama hivi..
 
Mhhhh shoga yupi huyoo,hawa wa kiafrika??my dear ukikua ukawa mwanamke, I mean MWANAMKE utaelewa kazi za nyumbani ni sehemu ya maisha yako japo usizidiwe weka msaidizi kukusaidia tu Ila lile ni jukumu lako,sawa kazi hupendi,watoto atalea nani?nao dada??omba sana Mungu mdogo wangu,OMBA SANA,binadamu tunapanga ila Mungu nae ana yake, kuwa mwanamke humble jikubali,kazi za home mbona ni kujipanga,unaweza taka maisha flani je can u afford? Can ur partner afford?utu uzima ni kuweza kumudu hali zote za maisha pia,siku dada yupo poa,siku hayupo poa pia maisha yanaendelea
Ndo upatage mume anaishi na nduguze na hataki dada na unafanya kazi sijui posta Hahaha haloo itakucostiiii,..bt usiwe rigid mami manage kuishi maisha ya aina zote
Kumbe uko vizuri.
 
mimi nakubali kabisa kwa mwanamke anaenda kazini asubuhi
hata kufuta vumbi ni kazi kubwa kwake
uchovu na mafoleni na kadhalika

ninachopinga mimi ni ulazima wa ma housegirl na ma house boy

nyumba ikiwa na watu kidogo hata ulazima wa kuisafisha daily unapungua

so mimi nasema tubadili lifestyle tu
Unasaidiaga kazi za nyumbani?
 
Kuna sehemu nmesoma ulibaki na baba home ukaishia zako hostel,jiulize ndo mke wa mtu na watoto na kazi ya ofisi unayo tena very demanding, dada wa kazi kakutoroka,utawaacha ukalale gesti auu??tafakari chukua hatua mdogo wangu,maisha mazuri kila mtu anapenda ila yatupasa kujua kumudu tukiwa na ya shida pia,ts part of life
LadyRed upo vizuri yani upo vizuri subiri zawadi mamii kwa heshima, na inaonyesha wazi kabisa wewe ni mwanamke wa aina gani, narudia tena YOUR HUSBAND IS THE LUCKEST MAN IN THE WORLD BUT ONLY IF UNAYAISHI UNAYO YAANDIKA, umekamilika mamii, Wewe ni mwanamke unayejitambua, na ni mwanamke makini.... Kwa mfano tu ni Wanawake wangapi ni WAHESHIMIWA serikalini bado wanatimiza wajibu wao pande zote mbili... serikalini na pia kwenye familia yani shughuli za kifamilia tena bila dharau, bila kujidai wala nyodo sembuse huyu mkaa nyumbani ana piga kelele hapa....
 
Aisehhhhhhh yani wewe ni wa ukweli, yani umegonga point mpaka nikakuwazia ni namna gani MUNGU amekubariki UTASHI , nika imagine SHEMEJI YANGU anavyofurahia kukupata LAKINI ONLY IF uliyoyasema unayafanya na kuyaishi, ki ukweli Mungu akusimamie ni faraja sana kuona mwanamke anaye jitambua kama wewe,ntakupa ZAWADI kwa kweli,ila uyaishi uliyosema....NDOA ni tamu sana ila watu hawajui THAMANI ya ndoa ndo maana waropokaji na ndoa ni wengi imewashinda kwasababu ya vijimambo kama hivi..
Ameeen,Napokea hizi baraka Mungu anijalie,najitahidi nnapoweza am not perfect, am trying everyday,to be the kind of woman kumanage maisha ya hali tofauti tofauti
 
LadyRed upo vizuri yani upo vizuri subiri zawadi mamii kwa heshima, na inaonyesha wazi kabisa wewe ni mwanamke wa aina gani, narudia tena YOUR HUSBAND IS THE LUCKEST MAN IN THE WORLD BUT ONLY IF UNAYAISHI UNAYO YAANDIKA, umekamilika mamii, Wewe ni mwanamke unayejitambua, na ni mwanamke makini.... Kwa mfano tu ni Wanawake wangapi ni WAHESHIMIWA serikalini bado wanatimiza wajibu wao pande zote mbili... serikalini na pia kwenye familia yani shughuli za kifamilia bila dharau, bila kujidai wala nyodo sembuse huyu mkaa nyumbani ana piga kelele hapa....
Ameeen,ahsantee, huyu baba hopefully anaelewa he's lucky, ila ndo vile huku Jf story nyingi sana,but am learning everday
Na mdogo wangu housegirl siku akitoka home hapo ataelewa..Afrika hii mama na madigrii kibao unaweka pembeni ukiwa home,
 
What I have learned that , its always easy to say I don't do this and I don't do that .. Why? Because hatuko ndoani yet and no kids yet .. Wait and see kitachotokea ukiwa na hivyo vitu ndoa na kids.. Trust me uta handle automatic without being force .. Never say never .. I have seen this happened to many people .. Waliokuwa hawajui kupika na kuchange diaper za kids before . Na kusema never , never kwa kila kitu.. Mbona now wana discpline na wanafanya zaidi .. Why? Because they had realized that not all men are married for the sex only ... I do understand kazi za home zinachosha but unapokuwa na mume by using wisdom to talk to him I'm sure can help a little bit .. Na kukawa na wepesi fulani.. Men are like babies when you treat them with honey they will be honey but you treat them with sour ,they will be sour too... We, women have many treaties techniques to make our husbands play a role in the house .. Example, binafsi nikishaona Leo sina moody ya kufanya chochote home trust me nitaanza kumtongoza my jamaa kwa extra miles mmpaka aingie line , ni bora anione mmjinga but I will get what I need or want. ( huu ni mfano nilishawahi kuutumia many times, years ago jamaa alizoea and it worked very well na alifanyaga almost everything in the house.. ).... Thanks..
 
Ameeen,ahsantee, huyu baba hopefully anaelewa he's lucky, ila ndo vile huku Jf story nyingi sana,but am learning everday
Na mdogo wangu housegirl siku akitoka home hapo ataelewa..Afrika hii mama na madigrii kibao unaweka pembeni ukiwa home,
Very true dear.. .. Degree and sex are not marriage .. Thanks ..
 
Ameeen,ahsantee, huyu baba hopefully anaelewa he's lucky, ila ndo vile huku Jf story nyingi sana,but am learning everday
Na mdogo wangu housegirl siku akitoka home hapo ataelewa..Afrika hii mama na madigrii kibao unaweka pembeni ukiwa home,
Appreciate that, heshima kwa mwanamke mwenye utashi wa aina yako
 
Ameeen,Napokea hizi baraka Mungu anijalie,najitahidi nnapoweza am not perfect, am trying everyday,to be the kind of woman kumanage maisha ya hali tofauti tofauti
Toa shaka kwa style hii, you are brave enough na Mungu atakusogeza to your desire.....
 
Wanawake wa siku hizi mna uvivu hadi basi
kufua kuna mashine siku hizi
kupasha moto chakula kuna microwave
kuosha vyombo kuna mashine pia na housegirls..
kupika ni gesi au umeme
kupiga deki hamuinami mnatumia mop


lakini mna complain kuliko mama zenu ambao wao hata kupasha chakula walilazimika
kuwasha moto upya achilia mbali kutwanga mahindi kwa kinu
Hivyo vyote pia vinahitaji kusafishwa , haahhaaaa... We can't run away from them, we just have to deal with it.. Hahaaaa,. Microwave needs to be clean .. Haahhaa., Thanks...
 
H
Mwanamke ni zaidi ya kazi chumbani na dyu dyu.

Mwanamke ni mama na mlezi Wa familia. Mshauri, msaidizi na n.k

Acha kujiendekeza plus uvivuu.
LA sivyo utaishia kuolewa na kuachika.
Aahaaahaaaaa... Thanks..
 
Back
Top Bottom