I'm too lazy to be a housewife

I'm too lazy to be a housewife

Nimeshapiga marufuku kuweka kibarua popote, Iwe shamba iwe nyumbani. Kibarua anakula zaidi ya nusu ya mradi, kisa ati ni mtu.
Ndo maana Japaani wana robot mpaka ya kike ya kukumalizia shida zako. We mama, endelea kutokuwajibika uone mwisho wake. Profesa kishatuhakikishia soon and very soon umeme utakuwa wa uhakika.
Nkitaka chakula, deepfreezer lipo, Micro ipo. oven ipo, kufua mashine ipo. ku do robot la ke lipo. Mtaningoja saana tu.
 
dahh zinachosha sana hasa ukutane na mwanaume mwenye mfumo dume. ukitoka kazini majukum mia kidogo yanakusubir.... bt ndo wajibu hakuna jinsi km unahitaji familia la cvyo zaa uwe cngle maza.
ndo wanaonea kumbe kisa wanajua Hamna jinsi!! poleni sana wanawake wa kibongo.
 
hahaha umenikumbusha Jana naangalia chereko na mama. bonge moja la kitchen party. kila kitu kimeletwa ukumbini. kitanda. kabati. hadi dining table wakakalia kabisa. mama akasema "hii kitchen party au house party?"

mweee tukisubiria kitchen party yangu manake ndo sipati hizo Zawadi embu nipege...

lol
hehehe siku hizi ndio hivyo unapewa kila kituu we unaenda kwa mume na begi lako tu...ndio maana ndoa dili utamu ni kitchen party....
 
Kudos to all housewives.

hivi mlipimaje pimaje hadi mkafikia huo uamuzi?

nimepima weeee pamegoma kabisa.

kazi za nyumbani zinachosha sana. utachujika fasta! kila siku atakukuta na night dress aliyokuacha nayo asubuhi.

na siamini kuwa kazi za nyumbani ni kazi ya mwanamke, SAMAHANI SAANA.
sipendiiii hizi pilika.

Nitakubali kukaa nyumbani kulea.. sio kufanya kazi. na sio permanently.

mwanamke kazi kwa mume dyu dyu tuu!
Mimi naona ubakie na hicho cheo chako cha housegirl tu. Huyo mume atakuwa bwege kweli akuletee chakula, akupige shopping ya nguo, awe anakutoa out, halafu bado akupikie na kufanya kazi za ndani??[emoji15] hata uwe na uzuri gani utafanya kazi za ndani tu. Kwa papuchi gani ulokuwa nayo
 
sasa mpaka naolewa sijui huyo Mtu ana mawazo kama yako?
siwezi kuishi na type Hiyo ya mwanaume. nitafungasha mwenyewe kabla ya kuambiwa.

KAZI ZA NYUMBANI SI KAZI YA MWANANKE. Ni kazi za waishio nyumbani na waajiriwa wa hizo kazi
Dada wa kazi wanasumbua ckuiz hela unaweza kiwa nayo na ukamkosa mtu reliable
 
Nimeshapiga marufuku kuweka kibarua popote, Iwe shamba iwe nyumbani. Kibarua anakula zaidi ya nusu ya mradi, kisa ati ni mtu.
Ndo maana Japaani wana robot mpaka ya kike ya kukumalizia shida zako. We mama, endelea kutokuwajibika uone mwisho wake. Profesa kishatuhakikishia soon and very soon umeme utakuwa wa uhakika.
Nkitaka chakula, deepfreezer lipo, Micro ipo. oven ipo, kufua mashine ipo. ku do robot la ke lipo. Mtaningoja saana tu.
I just had to laugh at this.
 
we have machines and we have a housegirl.

kupika na usafi ni kazi...sizitaki kazi hizi. I'll cook when I'm in the mood.
Shouger taftapo mzungu kabisaaaa
Kuna rafk angu mmoja mzungu huwa anamuendesha vilevile, ila wana ahueni coz wako more liberal afu don care wa vitu vidogo dogo
 
Kila siku nikiamka lazima yatokee mazingira ya mimi kuendelea kumpa heshima mama angu,,, Yule mama ni komando,,,,, mwenye furaha telee, na uzee uliotukuka,,, kama aliwai kijuta basi ni Siri yake tena ya pekee
Mama zetu ni mashujaa,God bless u mama mana dah
 
Kudos to all housewives.

hivi mlipimaje pimaje hadi mkafikia huo uamuzi?

nimepima weeee pamegoma kabisa.

kazi za nyumbani zinachosha sana. utachujika fasta! kila siku atakukuta na night dress aliyokuacha nayo asubuhi.

na siamini kuwa kazi za nyumbani ni kazi ya mwanamke, SAMAHANI SAANA.
sipendiiii hizi pilika.

Nitakubali kukaa nyumbani kulea.. sio kufanya kazi. na sio permanently.

mwanamke kazi kwa mume dyu dyu tuu!
Huwa najiliza chanzo cha wanaume zenu kuamishia mahaba kwa beki 3 nini leo nimegundua
 
I just had to laugh at this.


housegirl;
Yu just lough your head off but am dead serious. Staki ujinga wa kuoa mke asiyejua wajibu wake. Unaajiri hg anakuwa ndio robot ya home? It is a shame to yu women.
Unatoka ulikotoka anakupokea hg, anakuandalia maji ya kuoga, anakufulia, anakuandalia nguo ya kutoka, ndiye anaamua mle nini leo, ndiye anafua mashuka mliopigia katerero, yaani kila kona ukienda unagongana naye. Hata kama ni kipofu utaacha kuona chuchu ya saa sita? Mnapoteza utu wenyu hivi hivi ninyi wanawake wavivu. Ati nisimlambe hg, kwani nimemzaa miye?
 
sina mpango wa kumfunda mwanamke yeyote yule. na mengi niliyofundishwa ndo kama hivyo nimekayakataa.

utamudi wetu HAUNIVUTII. upotee tu.
halafu unaongelea tamaduni wakati zama zimebsdilika hizi...

Mbona unaongea kwa kuropoka kama upo kilabuni umepiga pombe ya mnazi ngapi, ongea ueleweke,hivi mbona unajitengenezea maswali na kujijibu mwenyewe,

Kwa mitazamo hiyo unawezaje wewe kumfunda mtu wewe kama sio kuwapoteza wenzako?

Watu wa type yako ni wa kuwaogopa kitabia kama ukoma.hapa jf unaandika tu kujifurahisha na siku zipite ila huna uhalisia na maisha yako unayo ishi sasa usiwapotoshe wengine

wanaume kuchepuka na mpaka ndoa kuvunjika ama uchumba sio kurogwa ni kwasababu wamekutana na mwanamke wa disaini yako wenye tabia za kifedhuri kama zako
 
ndomana unahitaji mwanaume anayepiga kazi za nyumbani..
Mhhhh shoga yupi huyoo,hawa wa kiafrika??my dear ukikua ukawa mwanamke, I mean MWANAMKE utaelewa kazi za nyumbani ni sehemu ya maisha yako japo usizidiwe weka msaidizi kukusaidia tu Ila lile ni jukumu lako,sawa kazi hupendi,watoto atalea nani?nao dada??omba sana Mungu mdogo wangu,OMBA SANA,binadamu tunapanga ila Mungu nae ana yake, kuwa mwanamke humble jikubali,kazi za home mbona ni kujipanga,unaweza taka maisha flani je can u afford? Can ur partner afford?utu uzima ni kuweza kumudu hali zote za maisha pia,siku dada yupo poa,siku hayupo poa pia maisha yanaendelea
Ndo upatage mume anaishi na nduguze na hataki dada na unafanya kazi sijui posta Hahaha haloo itakucostiiii,..bt usiwe rigid mami manage kuishi maisha ya aina zote
 
Kuna sehemu nmesoma ulibaki na baba home ukaishia zako hostel,jiulize ndo mke wa mtu na watoto na kazi ya ofisi unayo tena very demanding, dada wa kazi kakutoroka,utawaacha ukalale gesti auu??tafakari chukua hatua mdogo wangu,maisha mazuri kila mtu anapenda ila yatupasa kujua kumudu tukiwa na ya shida pia,ts part of life
 
Ila kazi za ndani zinachosha........

Unaweza jikuta hujala au kunywa chai kimasihara masihara
 
Back
Top Bottom