I'm too lazy to be a housewife

I'm too lazy to be a housewife

Ni kazi za nani mkuu?
Ni kazi za wote wanaoishi hapo, me and ke.

Unajua zamani wanawake walifanya kazi za nyumbani maana walikua ma goal keepers.... Walikua hawajishughulishi na kazi za nje za kutafuta kipato, hawakusoma sana zaidi ya kufuta ujinga hadi class 7 kwa waliojaaliwa kwenda shule. Hawakufanya kazi za kuajiriwa... Hawakuwa busy kuingiza kipato katika familia. So kwavile walikaa tu home ilipelekea wao kuwa ndio wanaofanya home chores....

ZAMA ZIMEBADILIKA!

Now wanawake wanafanya kazi, za kuajiriwa na kujiajiri. Wapo busy wanasaka noti kama wanaume tu na wengine zaidi ya waume zao. That make both of then EVEN, right? So wote wanachoka na wote wanatoka asubuhi na kurudi jioni from work...... Wote wanawajibika na shughuli za nyumbani.

Now the only difference is mume anatia mimba na mke anazaa. Thats all.....
 
I thank God he totaly understands me...house chores zinachosha si utani ntafanya kwa moods atleast weekends ila sio kila siku,ukiolewa na mbongo hayo mambo utafanya tu.......
wanaona rahisi kweli kusema "nyie wavivu tu". hapo Mara ya mwisho kushika kitambaa afute vumbi hata hajawahi.

yani hata kama unafanya kazi ataona hufanyi lolote kama hujafanya kazi ya nyumbani.

me siwezi.
 
Maji ya dawasco machafu... Mashine zinaharibika haribika bana. Halafu kama ulikua unaishi kwenye uhalisia kipindi cha Jk, hakuna tofauti yoyote kabisa na sasa. [emoji136]
Yaani maisha yamebaki kwenye uhalisia uleule.

Pia **** watu tuna dream home.... Kazi zote za home hamuwezi kufanya wawili tu na baba watoto ukizingatia mna mtoto. Kuna bistani ya matunda na mbogamboga nani anahudumia? Muende kazini, kazi za home and everything..... Saa zingine mnasafiri inakuaje hapo.

Hata uwe na ma robot home.. It depend mnafanya kazi gani amd your daily time table. Maana mtakosa hata mtu wa kuhudumia ng'ombe na kuku hapo nyumbani heheee.... [emoji86]. Nyumba ina mifugo bustani, na mengineyo. You need to hire maids


Labda hujawahi pata headache ya ma housegirl
kuna ma house girl washirikina
kuna waongo wambea wachonganishi
kuna malaya wanaoleta wanaume ndani

waliopitia headache za mahouse girl wanajua

kuishhi kwa uhalisia ni pamoja na kujua faida na hasara
wewe na mkeo mna kazi...
bustani haihitaji 24 hours..kibarua wa weekend anatosha
ngo'mbe waeke shambani na watu wa shambani wakae nao huko huko

kama unazungumzia maisha yenye stress kidogo...basi huhitaji kuwa na housegirl na houseboy
na ngo'mbe nyumbani
bado kuna ndugu ...ambao huwezi kuwakwepa
unaweza kukuta nyumba umejaza watu hata watoto wako kushika remote control tu shida
bado kuna ma houseboy wengi wana tabia za ku sex na watoto wa wenye nyumba
ushahidi upo humu humu JF wadada wame confess....

maisha ya sasa Houseboy sioni umuhimu wake hasa kuishi nae ndani
ngo'mbe wakae shamba....house girl labda mke awe mjamzito
machines are better
 
Wanawake wa siku hizi mna uvivu hadi basi
kufua kuna mashine siku hizi
kupasha moto chakula kuna microwave
kuosha vyombo kuna mashine pia na housegirls..
kupika ni gesi au umeme
kupiga deki hamuinami mnatumia mop


lakini mna complain kuliko mama zenu ambao wao hata kupasha chakula walilazimika
kuwasha moto upya achilia mbali kutwanga mahindi kwa kinu
mambo yamebadilika,kitu nisichopenda kufanyiwa hapo ni kupikiwa tu ntapika mwenyewe...ila vingine am sorry vitafanywa kwa usaidizi...hata watoto kulea nayo ni kazi lakini najua ina wasaidizi pia....ukiendekeza hizi kazi unakongoroka ndio yale unaonekana mzee kuliko mme[emoji119]
 
we have machines and we have a housegirl.

kupika na usafi ni kazi...sizitaki kazi hizi. I'll cook when I'm in the mood.

Kupika ni hobby sio kazi
wanawake wanaopenda kupika hawana shida

wewe sema kupika sio hobby kwako

dawa ni kupunguza watu majumbani
watu mkiwa kidogo hata kupika hutaona tabu....

ukiwa na familia ya watu 8 na kuendelea kupika ni kazi

kiafrica tunapenda sana kuishi na watu tele majumbani ..shida inaanzia hapo
 
wanaona rahisi kweli kusema "nyie wavivu tu". hapo Mara ya mwisho kushika kitambaa afute vumbi hata hajawahi.

yani hata kama unafanya kazi ataona hufanyi lolote kama hujafanya kazi ya nyumbani.

me siwezi.
kuna wanaume wako very okei na hio hali mi sikutegemea...anyway labda ntabadilika nikipata vibaby vyangu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
hio kuitwa mvivu ni kawaida uzoee tu ndio wanaume wa kiafrika hao
 
umenikumbusha kuwa unataka dyu dyu, ukiolewa na mzanzibari anakusaidia kwenda sokoni(marikit)..lakini ndio utalipa na papuchi.......................kaa vizuri mkwaja waja lol
 
Kupika ni hobby sio kazi
wanawake wanaopenda kupika hawana shida

wewe sema kupika sio hobby kwako

dawa ni kupunguza watu majumbani
watu mkiwa kidogo hata kupika hutaona tabu....

ukiwa na familia ya watu 8 na kuendelea kupika ni kazi

kiafrica tunapenda sana kuishi na watu tele majumbani ..shida inaanzia hapo
Naunga mkono.... Kwakweli binafsi ni hobby yangu hii kupika. I love cookinggggg
 
dawa ni kupunguza watu majumbani
watu mkiwa kidogo hata kupika hutaona tabu....

ukiwa na familia ya watu 8 na kuendelea kupika ni kazi

kiafrica tunapenda sana kuishi na watu tele majumbani ..shida inaanzia hapo
funny because kuna kipindi nilibaki na baba peke yake nyumbani nikaona nateseka kweli nikaishia zangu hostel.

KUPIKA KAZI HATA KUPIKIA WATU WAWILI. unless ndo ndo wale wanapikia waume zao wali na supu ya nyama haijaungwa.

kweli sio hobby yangu.
 
Kudos to all housewives.

hivi mlipimaje pimaje hadi mkafikia huo uamuzi?

nimepima weeee pamegoma kabisa.

kazi za nyumbani zinachosha sana. utachujika fasta! kila siku atakukuta na night dress aliyokuacha nayo asubuhi.

na siamini kuwa kazi za nyumbani ni kazi ya mwanamke, SAMAHANI SAANA.
sipendiiii hizi pilika.

Nitakubali kukaa nyumbani kulea.. sio kufanya kazi. na sio permanently.

mwanamke kazi kwa mume dyu dyu tuu!
wanaona rahisi kweli kusema "nyie wavivu tu". hapo Mara ya mwisho kushika kitambaa afute vumbi hata hajawahi.

yani hata kama unafanya kazi ataona hufanyi lolote kama hujafanya kazi ya nyumbani.

me siwezi.
Suppose unakuwa housewife kwahio hutaki kufanya chochote hutakuwa bored? Kama unaenda kazini inaeleweka ukirudi utakuwa umechoka au muda umeenda. Sasa wewe ni house wife siku nzima utakuwa unafanya nini?
 
mambo yamebadilika,kitu nisichopenda kufanyiwa hapo ni kupikiwa tu ntapika mwenyewe...ila vingine am sorry vitafanywa kwa usaidizi...hata watoto kulea nayo ni kazi lakini najua ina wasaidizi pia....ukiendekeza hizi kazi unakongoroka ndio yale unaonekana mzee kuliko mme[emoji119]

mazeeka hamfanyi mazoezi na kula vibaya
kazi pia ni mazoezi
na kuishi maisha ya stress
nyumba watu tele bado kuna ng'ombe....houseboy akiondoka tu unawaza nani atakata majani

tupunguze watu majumbani
kuanzia punguza house boy na housegirl
ngo'mbe peleka shamba....
ndugu wasio na kazi timua...
ukiwa wewe na mumeo hata usipopika atakula kongoro bar bila shida
wattoto hata kukaanga chips wanalala...

sasa nyumba ina bibi.babu.houseboy ,housegirl.shemeji
shangazi kaja kufuatilia vipimo muhimbili...
hapo kupika tu headache
 
Wanawake wa dar!!

BTW, wanaume wanaoweza kuvumilia ujinga huu sizani kama mtawapata, kwa ushauri tu MKAWACHONGE KWA FUNDI SEREMALA
Wamesema wataolewa na wazungu, wabongo wanajua hakuna wa kulea hio kitu
 
kuna wanaume wako very okei na hio hali mi sikutegemea...anyway labda ntabadilika nikipata vibaby vyangu[emoji3] [emoji3] [emoji3]
hio kuitwa mvivu ni kawaida uzoee tu ndio wanaume wa kiafrika hao


mimi nakubali kabisa kwa mwanamke anaenda kazini asubuhi
hata kufuta vumbi ni kazi kubwa kwake
uchovu na mafoleni na kadhalika

ninachopinga mimi ni ulazima wa ma housegirl na ma house boy

nyumba ikiwa na watu kidogo hata ulazima wa kuisafisha daily unapungua

so mimi nasema tubadili lifestyle tu
 
Wanawake wa dar!!

BTW, wanaume wanaoweza kuvumilia ujinga huu sizani kama mtawapata, kwa ushauri tu MKAWACHONGE KWA FUNDI SEREMALA
dunia kuuubwa. wanaume kibaaao. wala Hamna haja ya kuchonga
 
funny because kuna kipindi nilibaki na baba peke yake nyumbani nikaona nateseka kweli nikaishia zangu hostel.

KUPIKA KAZI HATA KUPIKIA WATU WAWILI. unless ndo ndo wale wanapikia waume zao wali na supu ya nyama haijaungwa.

kweli sio hobby yangu.
Kwahio sasa hivi una hg wangapi? Au unakula take aways na kufua kwa dobi?
 
Back
Top Bottom