Iliwezekanaje safina ya Nuhu kubeba aina 7.7 million za wanyama?

Kisayansi...haiwezekani....
Inawezekana bana. Amewazingua tu. Hao wanyama milioni 7 kawatoa wapi?

Ila kwa MUNGU Hata vilivyobebwa ni vidogo...ingeweza kubeba inavyotaka MUNGU..sio mtu...nenda kasome story ya LWANDA MAGERE..jinsi alivyoweka lita 3000 kwenye kibuyu cha kubeba mkononi....shida yetu technologia yetu ipo low sana
Mungu anaweza kufanya chochote beyond laws of nature. Ila kwa hili jamaa kaokota swali feki mtandaoni kalirusha huku akijua wengi hawako informed!
 
Ni yale yale ya wana wa Israel kutembea kwa miaka 40 distance ya mwez mmoja
Kwani cha ajabu ni kipi?
Kwani ukiamua kutembea hapa na Moro kwa mwaka mzima ukiwa na V80 unashindwa?
Si unatoka hapa unaenda Bagamoyo unakaa wiki, unarudi mpaka msoga unakaa mwezi unaenda chalinze unakaa mwezi ..... mwisho wa mwaka unafika Morogoro!

Tatizo critics wengi wa Biblia hawaijui. So huwa mnakosoa ambacho hamkijui. No wonder mnafanya mistakes za kitoto kama hizi!
 
Inawezekana bana. Amewazingua tu. Hao wanyama milioni 7 kawatoa wapi?


Mungu anaweza kufanya chochote beyond laws of nature. Ila kwa hili jamaa kaokota swali feki mtandaoni kalirusha huku akijua wengi hawako informed!
 
Kawateka kirahisi kweli! Hakuna mahali Safina ilipaswa kubeba "species" zote za duniani. Mfano Mbwa pekee wana "species" nyingi sana ambazo ni variation ya Mbwa. Kwa hiyo Nuhu alipaswa kuruhusu Mbwa wawili tu na sio kila "species". Kwa hiyo suala la kubeba wanyama milioni 7+ ni swali la kupotosha.

Kwa aina za wanyama waliopaswa kuingia kwenye Safina, kwa muda ambao Safina ilikuwa inaelea, nafasi ilitosha na pengine kubakia.

So kawapiga na swali feki, mnademka nalo :)
Haya ndugu
 
Mkuu kama alichukua species moja ya paka.......na kuendana na miaka ambayo dunia imeumbwa(according to biblical ages) dunia haina miaka zaidi ya 7000.....
Sasa ndani ya miaka 7k paka mmoja anaweza ku evolve kuwa tiger,cheetah,simba,chui,wild cat na paka wengine wote?

Pia mabara yalitengana miaka mingi sana 3m plus ago....kwahiyo hao wanyama alio wasave miaka elfu sita ya juzi waliwezaje kuspread across the globe?.....hakuna njia yakuweza kutoka africa kwenda america au australia unajua hilo?
Mimi nadhani safina haikuwa boti bali ikuwa ship kubwa kabisa yenye uwezo wa kutunza dna za viumbe....baada ya gharika wakawarudisha viumbe kutoka kwenye dna walizotunza.........lakini hili gharika sio la juzi ni miaka mingi sana kabla mabara hayajatengana
 
Kwanini itokee kwa Yona tu, isitokee kwa mwingine tena? Je hazina ya matendo makuu imefilisika?
Sababu imewekwa wazi kwenye andiko husika kalisome na kama una nia ya kuelewa utaelewa. Mbona hata watoto wa primary huwa wanasoma na kulielewa? Unless of course lengonlako lisiwe kuelewa!
 
Soma kwa ufahamu. Hakuna mahali Biblia imesema Nuhu achukue kila "species". Kwanza hata hiyo categorization ya species ni recent and never existed back then. What's so hard to understand?

Read what the Bible says and then criticize if you wish what the Bible ACTUALLY SAYS not your strawman version of it. Go read again that verse and if you find anything to do with SPECIES then there is something to discuss. Otherwise the whole premise is a lie and smear just to make the Bible look stupid. Only gullibles get caught by such juvenile fallacious argument
 
Soma kwa ufahamu. Hakuna mahali Biblia imesema Nuhu achukue kila "species". Kwanza hata hiyo categorization ya species ni recent and never existed back then. What's so hard to understand?

Read what the Bible says and then criticize if you wish what the Bible ACTUALLY SAYS not your strawman version of it. Go read again that verse and if you find anything to do with SPECIES then there is something to discuss. Otherwise the whole premise is a lie and smear just to make the Bible look stupid. Only gullibles get caught by such juvenile fallacious argument
Aiseee kumbe uki argue kwa chingereza mada inakuwa tamu kihivyo. Bwana mie nina pepa yangu hapa ebu nipe contacts zako uje ukague chingereza cha pepa yangu nisije nikawa nachapi chapi.inaonekana u have a facility with words
 
Ni wapi uliambiwa Samaki wamepewa kazi ya kumeza nka kutapika watu kwa siku tatu kila wakati?
Kwanini itokee kwa Yona tu, isitokee kwa
Aiseee kumbe uki argue kwa chingereza mada inakuwa tamu kihivyo. Bwana mie nina pepa yangu hapa ebu nipe contacts zako uje ukague chingereza cha pepa yangu nisije nikawa nachapi chapi.inaonekana u have a facility with words
 
Aiseee kumbe uki argue kwa chingereza mada inakuwa tamu kihivyo. Bwana mie nina pepa yangu hapa ebu nipe contacts zako uje ukague chingereza cha pepa yangu nisije nikawa nachapi chapi.inaonekana u have a facility with words
Hahahahaaa!
Dah :)
 
kwanza mpaka leo hajawahi jitokeza hadharani tuka mjua ndiye huyu!!!....inawezekana tunae kila siku!!! tuseme upepo yaani hewa kwa sababu ukikosa hewa ya oxygen- upepo tu unakufa!! ndiyo Mungu mwenyewe huyo si yuko kila mahali lkn haonekani!!

na upepo pia ivoivo utaujua kwa kuona miti ikiyumba yumba tuuuu! ndo Mungu huyo!! akikasirika ndo huleta dhoruba! yenye mvua kwa hiyo Mungu tunae kila saa!! ukimkosa ni kufa tu! tamka popote anakusikia!
 
Hi stori Wayahudi waliipora toka hadith ya miaka elfu tatu kabla yao ikiitwa The tales of Gilgamesh ya watu wa Mesopotamia ya kale
 
Hi stori Wayahudi waliipora toka hadith ya miaka elfu tatu kabla yao ikiitwa The tales of Gilgamesh ya watu wa Mesopotamia ya kale
Umesoma hizo ngano za Gilgamesh au ndio yale ya kuhadithiwa na Google? Ungekuwa umeisoma usingeandika huu ujinga.

Unfortunately wengi mnanakili kwenye net bila critical thinking
 
Back
Top Bottom