Ilikuwaje ukaenda kwa 'mtaalamu'?

Ilikuwaje ukaenda kwa 'mtaalamu'?

Duuh kwahyo chale yoyote mzee...?

Mana kuna manzi nilimuona ana chale kama tatu hvi mgongoni sema anasema kuna kipindi alikuwa anaumwaga sana... Ila kuhusu kwenda sangoma alikataa
😀😀😀 kuna chale za ukoo kwa ajili ya mila na desturi na kuna chale za wataalam.. Sasa wengi husingizia ni chale za ukoo
Unakuta mtu ana chale chini ya tako...!🥺😩🙆🏿‍♂
 
Epuka kabisa kuchanjwa, hiyo ni mihuri ya kiroho.. Kuna vitu na mimea ya asili ukivitumia huhitaji chale hata moja
Mfano ukifanikiwa kupata mafuta ya simba , ukaogea chumvi kisha ukajipaka kwa siku 7 mfululizo bila kujitia najisi yoyote umeula
duh, mimi naweza pata mafuta ya simba nigejua mapema
 
Epuka kabisa kuchanjwa, hiyo ni mihuri ya kiroho.. Kuna vitu na mimea ya asili ukivitumia huhitaji chale hata moja
Mfano ukifanikiwa kupata mafuta ya simba , ukaogea chumvi kisha ukajipaka kwa siku 7 mfululizo bila kujitia najisi yoyote umeula
Mafuta ya simba mi ninayo yanafanyaje kazi
 
Habari zenu wana MMU naimani mko poa mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku.

Kwenye maisha kuna mambo mengi yanatokea unaeza ukawa umezaliwa kwene mazingira mazuri, umekuzwa kidini pasi na kujihusisha na ulozi lakini kadri unavyoendelea kuishi watu wanaku-shape kutokana na tabia zao, husda na chuki, unajikuta umeingia huko.

Kitambo sikuwahi kuwaza mambo kama haya kwa upande chanya lakini kadri ninavyokua na ninayokutana nayo, taratibu naanza kuwaelewa watu kwanini wanaenda kwa wataalamu.

Wapo wanaoenda kutafuta, wapo wanaoenda kujilinda lakini pia wapo wanaoenda kuangalia tu ramani za miili yao zimekaaje maana kuna watu hawahitaji sababu ya kukufanyia ubaya.

Wewe ilikuwaje ukaenda kwa mtaalamu? Na ulivyokuwa mwanzo na baada ya kwenda huko mambo yana tofauti gani? Kama una uwezo kwa kushare contact za wataalamu, pia tusaidiane.

Itoshe kusema, hawa wataalamu wamekuwa na msaada mkubwa sana kwa watu tofauti tofauti lakini wachache sana wanakiri na kuthamini uwepo wao.
Kuna watu wanaenda kwa watalaamu kwa ajili ya kuwahiribia watu walio fanikiwa zaidi Yao au kwa ajili ya Kuwaua kabisa. Mfano kuna kijiji kinaitwa " ULYANGA" kipo kwenye mpaka wa mikoa ya Lindi na Morogoro, kuna mtaalamu wanawake wa Zanzibar na mjini Dar es salaam wanamtumia Sana kupora Waume za watu kichawi. Ni mganga ambassador anaua kabisa yani jina lako likipelekwa kushtakiwa kwake kama Leo basi kesho umezikwa ndugu yangu. Halafu kibaya zaidi ni kwamba uganga/uchawi wake anafanya bure yani mpaka ufanikiwe ndio unatoa shukurani ndio maana kilingeni kwake kuna mtiti wa watu ( washirikina) wanaenda kuroga watu.. Nilienda kufanya utafiti kuhusu uganga na uchawi.. Kwa washirikina wakubwa Tz wanapajua kwake kuna bundi wengi sana wa nafanya movements za kwenda na kurudi kama kituo cha ndege Airport. Akiruka bundi mmoja, hapo jua kuna mtu mmoja anaenda kufanya huko. Wakiruka bundi wawili basi jua ni watu wawili wanaenda kufa huko( probably mke na mume), kikiruka kikundi cha bundi basi jua kuna gari zima linaenda kudondoshwa huko kichawi ba watu wote wanaenda kufa.. .
 

Attachments

  • 37ccd1ea2f1b5ef1e53b15f7f599fab5.jpg
    37ccd1ea2f1b5ef1e53b15f7f599fab5.jpg
    71.6 KB · Views: 23
Habari zenu wana MMU naimani mko poa mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku.

Kwenye maisha kuna mambo mengi yanatokea unaeza ukawa umezaliwa kwene mazingira mazuri, umekuzwa kidini pasi na kujihusisha na ulozi lakini kadri unavyoendelea kuishi watu wanaku-shape kutokana na tabia zao, husda na chuki, unajikuta umeingia huko.

Kitambo sikuwahi kuwaza mambo kama haya kwa upande chanya lakini kadri ninavyokua na ninayokutana nayo, taratibu naanza kuwaelewa watu kwanini wanaenda kwa wataalamu.

Wapo wanaoenda kutafuta, wapo wanaoenda kujilinda lakini pia wapo wanaoenda kuangalia tu ramani za miili yao zimekaaje maana kuna watu hawahitaji sababu ya kukufanyia ubaya.

Wewe ilikuwaje ukaenda kwa mtaalamu? Na ulivyokuwa mwanzo na baada ya kwenda huko mambo yana tofauti gani? Kama una uwezo kwa kushare contact za wataalamu, pia tusaidiane.

Itoshe kusema, hawa wataalamu wamekuwa na msaada mkubwa sana kwa watu tofauti tofauti lakini wachache sana wanakiri na kuthamini uwepo wao.
Faida gani au msaada gani umeuona kwao na wakati huna experience nao??
 
Epuka kabisa kuchanjwa, hiyo ni mihuri ya kiroho.. Kuna vitu na mimea ya asili ukivitumia huhitaji chale hata moja
Mfano ukifanikiwa kupata mafuta ya simba , ukaogea chumvi kisha ukajipaka kwa siku 7 mfululizo bila kujitia najisi yoyote umeula
Mafuta ya simba yanapatikana wapi mkuu? Na yanasaidia nini?
 
Asilimia chache sana ya waafrika ambao hawajachanjwa. Watu wanachale tangu utotoni unakuja kuziona ukubwani. Unauliza unaambiwa ni dawa ulikua unaumwa. Kumbe mihuri moto
Sina Chale
Mm n mganga na mm n msaidizi wa kiroho wa kikristo
 
Asante nmekumbuka kipindi nakua familia yetu iliandamwa sana na ulozi ikabidi mzee ashughulikie hili swala, akaitwa mtaalamu akaja akafanya yake akachanja wote ila mi nilikimbia kiukweli hua sipendwi kuchanjwa toka mdogo, na majanga yananiandama mimi sana tofauti na wenzangu
Njoo inbox nikusaidie
 
Mambo yali kwama nkaenda bhana mtaalamu aka nifokea kwa nini nme msahau babu kizaa mama wakati yeye ana nikumbuka ,ivyo inabidi niongee nae ili mambi yangu yanyooke adi leo sielewei. Babu ali fariki kabla sija zaliwa na kwel sijawahi kuliona ata kaburi lake. Mshana Jr
 
Tuliojikuta na chale ukubwani inatustress sana tukijcheki kwa Muumba tumejishkiza tu hatuna connection nae kiivyo. Wazee wa afrika wametuingiza kwenye vitu zao sana hizi gps.
Unaweza futa kiroho njoo inbox.
Pia nunua scar removal bei inaanza 70k. Maduka mbalimbali yapo uondoe kovu
 
Hivi kaka mkubwa samahani,, kwani kila mtu anayepitia magumu kuna namna kitu kimefanyika? Mimi nikajua ni nature tu inatokea mtu hana mbele wala nyuma ila hajarogwa wala nini! Sasa mleta mada anahisi changamoto anazopitia zimeletwa na mtu/watu si ndio? Kwahivyo anataka kuaguliwa na waganga! Kwani haiwezekani tu mtu kuwa kapuku bila kuhisi kafungwa asifanikiwe?
Kuna2.
Unaweza kuwa sawa na nature na uchawi na nature inatumika inapindisha
 
Epuka kabisa kuchanjwa, hiyo ni mihuri ya kiroho.. Kuna vitu na mimea ya asili ukivitumia huhitaji chale hata moja
Mfano ukifanikiwa kupata mafuta ya simba , ukaogea chumvi kisha ukajipaka kwa siku 7 mfululizo bila kujitia najisi yoyote umeula
Lazima ujipake siku Saba, je ukijipaka siku 8?
 
Back
Top Bottom