chai ya rangi
JF-Expert Member
- Mar 7, 2026
- 1,038
- 3,083
konyagi inawezaje kuwa chakula na imeandikwa kinywaji safiPombe kwetu kitamaduni ni kinywaji kitakatifu , achana na hayo mavijana ya sasa yanakunywa pombe chafu mpaka wanaota funza😅
Waganga uchagani kwa sasa wapo mmoja mmoja kibosho na rombo na ni majambazi tu😅 waganga wangi wanakula kwenye migongo ya vilaza tu