maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,120
- 4,850
- Thread starter
- #21
ni Mara chache kuskia mwanaume anafanya hivi, ila hongera kuna Muda mambo hayapo kama yanavoonekanaNilimuwah wife kabla hajanipiga kinyamazongo nikaenda kumpiga mimi
ni Mara chache kuskia mwanaume anafanya hivi, ila hongera kuna Muda mambo hayapo kama yanavoonekanaNilimuwah wife kabla hajanipiga kinyamazongo nikaenda kumpiga mimi
ngoja aje tujifunzePapaaa mukuubwaaa huyu hapa mganga wa jf,
Wachaga wengi wasasa na wao wamekuwa wajinga wajinga tu , mara pesa za majini , mara misukule , uchagani miaka hiyo , hakuna mganga hata mmoja unauza kahawa yako KNCU unaona pesa yako, walio kuwa na imani hizi waliwafuata waganga kilindi Tanga.Jikague vizuri kwanza tena jikague vizuri wewe wachaga. Walitangulia sana
Tuliojikuta na chale ukubwani inatustress sana tukijcheki kwa Muumba tumejishkiza tu hatuna connection nae kiivyo. Wazee wa afrika wametuingiza kwenye vitu zao sana hizi gps.Tafsiri ya chale kiroho inategemea sana imani, utamaduni, na mazingira ambamo chale hizo zimefanywa. Katika mtazamo wa kiroho, chale huonekana kama alama ya agano, wakfu, au mawasiliano kati ya ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho.
tafsiri kuu za kiroho:1. Alama ya Agano na WakfuKiroho, chale huchukuliwa kama "muhuri." Unapochajwa chale, unakuwa umewekwa wakfu (dedicated) kwa roho fulani, iwe ni roho za mababu, majini, au nguvu nyingine za giza. Damu inayotoka wakati wa kuchanjwa hutumika kama kiungo cha kuunganisha mtu na ulimwengu wa roho.
Epuka kabisa kuchanjwa, hiyo ni mihuri ya kiroho.. Kuna vitu na mimea ya asili ukivitumia huhitaji chale hata moja
Mfano ukifanikiwa kupata mafuta ya simba , ukaogea chumvi kisha ukajipaka kwa siku 7 mfululizo bila kujitia najisi yoyote umeula
wese la simba ni dawa ya mambo mengi sanaWese la simba? Masiala hayo !!
Chale zina mengi sana..Asante nmekumbuka kipindi nakua familia yetu iliandamwa sana na ulozi ikabidi mzee ashughulikie hili swala, akaitwa mtaalamu akaja akafanya yake akachanja wote ila mi nilikimbia kiukweli hua sipendwi kuchanjwa toka mdogo, na majanga yananiandama mimi sana tofauti na wenzangu
Hapa ndio unajifanya unakoleza hoja sio, ila swala la kuwapa watoto wadogoo pombe ni kawaida tu 🤣🤣🤣🤣.Wachaga wengi wasasa na wao wamekuwa wajinga wajinga tu , mara pesa za majini , mara misukule , uchagani miaka hiyo , hakuna mganga hata mmoja unauza kahawa yako KNCU unaona pesa yako, walio kuwa na imani hizi waliwafuata waganga kilindi Tanga.
Hivi kaka mkubwa samahani,, kwani kila mtu anayepitia magumu kuna namna kitu kimefanyika? Mimi nikajua ni nature tu inatokea mtu hana mbele wala nyuma ila hajarogwa wala nini! Sasa mleta mada anahisi changamoto anazopitia zimeletwa na mtu/watu si ndio? Kwahivyo anataka kuaguliwa na waganga! Kwani haiwezekani tu mtu kuwa kapuku bila kuhisi kafungwa asifanikiwe?Tafsiri ya chale kiroho inategemea sana imani, utamaduni, na mazingira ambamo chale hizo zimefanywa. Katika mtazamo wa kiroho, chale huonekana kama alama ya agano, wakfu, au mawasiliano kati ya ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho.
tafsiri kuu za kiroho:1. Alama ya Agano na WakfuKiroho, chale huchukuliwa kama "muhuri." Unapochajwa chale, unakuwa umewekwa wakfu (dedicated) kwa roho fulani, iwe ni roho za mababu, majini, au nguvu nyingine za giza. Damu inayotoka wakati wa kuchanjwa hutumika kama kiungo cha kuunganisha mtu na ulimwengu wa roho.
Pombe kwetu kitamaduni ni kinywaji kitakatifu , achana na hayo mavijana ya sasa yanakunywa pombe chafu mpaka wanaota funza😅Hapa ndio unajifanya unakoleza hoja sio, ila swala la kuwapa watoto wadogoo pombe ni kawaida tu 🤣🤣🤣🤣.
Halipatikani kwa urahisi kihivyo na bei yake si kula mtu anaimudu na si kila simba anafaaWese la simba? Masiala hayo !!
Asante sana kuna watu wengi wanakubali kuchanjwa pasipo kujua maana yake, binafsi ningezijua dawa za asili ningejisaidia bila haya madamu na maagano kuna kipindi niliwahi kupata mafuta ya simba lakini sikuwahi kujua uzito wakeTafsiri ya chale kiroho inategemea sana imani, utamaduni, na mazingira ambamo chale hizo zimefanywa. Katika mtazamo wa kiroho, chale huonekana kama alama ya agano, wakfu, au mawasiliano kati ya ulimwengu wa mwili na ulimwengu wa roho.
tafsiri kuu za kiroho:1. Alama ya Agano na WakfuKiroho, chale huchukuliwa kama "muhuri." Unapochajwa chale, unakuwa umewekwa wakfu (dedicated) kwa roho fulani, iwe ni roho za mababu, majini, au nguvu nyingine za giza. Damu inayotoka wakati wa kuchanjwa hutumika kama kiungo cha kuunganisha mtu na ulimwengu wa roho.
Ukiona hivyo jua fani imeingiliwa.. Makanjanja wapo kila kona.. Walozi wa Facebook😂Wachaga wengi wasasa na wao wamekuwa wajinga wajinga tu , mara pesa za majini , mara misukule , uchagani miaka hiyo , hakuna mganga hata mmoja unauza kahawa yako KNCU unaona pesa yako, walio kuwa na imani hizi waliwafuata waganga kilindi Tanga.
Hivi kaka mkubwa samahani,, kwani kila mtu anayepitia magumu kuna namna kitu kimefanyika? Mimi nikajua ni nature tu inatokea mtu hana mbele wala nyuma ila hajarogwa wala nini! Sasa mleta mada anahisi changamoto anazopitia zimeletwa na mtu/watu si ndio? Kwahivyo anataka kuaguliwa na waganga! Kwani haiwezekani tu mtu kuwa kapuku bila kuhisi kafungwa asifanikiwe?
Napendaga unavyotumia akili zako zote na za akiba kutetea Pombe wewe ni hazina kubwa ya TBL na TDL na wenzao.,🤣🤣Pombe kwetu kitamaduni ni kinywaji kitakatifu , achana na hayo mavijana ya sasa yanakunywa pombe chafu mpaka wanaota funza😅
Waganga uchagani kwa sasa wapo mmoja mmoja kibosho na rombo na ni majambazi tu😅 waganga wangi wanakula kwenye migongo ya vilaza tu
Naomba niweke link za mada mbili zenye ufafanuzi wa kutoshaHivi kaka mkubwa samahani,, kwani kila mtu anayepitia magumu kuna namna kitu kimefanyika? Mimi nikajua ni nature tu inatokea mtu hana mbele wala nyuma ila hajarogwa wala nini! Sasa mleta mada anahisi changamoto anazopitia zimeletwa na mtu/watu si ndio? Kwahivyo anataka kuaguliwa na waganga! Kwani haiwezekani tu mtu kuwa kapuku bila kuhisi kafungwa asifanikiwe?
Bwashee, hakuna kitu ni utapeli tu, labda waganga wanaweza kukutengeneza kisaikolojia tu nakukurudishia ujasiri kwa hilo nakubali 😅Ukiona hivyo jua fani imeingiliwa.. Makanjanja wapo kila kona.. Walozi wa Facebook😂
Kuna familia zina laana ya asili | Page 31 | JamiiForums Kuna familia zina laana ya asiliHivi kaka mkubwa samahani,, kwani kila mtu anayepitia magumu kuna namna kitu kimefanyika? Mimi nikajua ni nature tu inatokea mtu hana mbele wala nyuma ila hajarogwa wala nini! Sasa mleta mada anahisi changamoto anazopitia zimeletwa na mtu/watu si ndio? Kwahivyo anataka kuaguliwa na waganga! Kwani haiwezekani tu mtu kuwa kapuku bila kuhisi kafungwa asifanikiwe?
Basi nadhani Mimi nilikuwa mganga by default.. Maana niliyoyafahamu na kuyafanya wengi walikuwa hayawawezi kisha nikaamua kuondoka huko kwa hiari ya moyoBwashee, hakuna kitu ni utapeli tu, labda waganga wanaweza kukutengeneza kisaikolojia tu nakukurudishia ujasiri kwa hilo nakubali 😅