Uchaguzi 2020 Ilikuwaje Deo Mwanyika wa ACACIA aliyehukumiwa kwa Uhujumu Uchumi achaguliwe na CCM kugombea Ubunge Njombe Mjini?

Weka hiyo list
20200824_091617.jpg
 
Meko hajawahi kujielewa alikuja na lugumi,mpka leo kamshindwa kaamua kunyuti...huyo deo ni jinga tu utajiri wote huo ukasubirie posho za bungeni

Usimuite mjinga labda kama hujui umuhimu wa karata ya siasa katika nchi hii. Unadhani, kwa mfano, joka lenye makengeza au Riz 1 wako bungeni kusubiri posho? Unakulaje mabilioni ya ACACIA kwa amani usipokuwa na nembo ya watawala?
 
Back
Top Bottom