Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,358
Kwenye hiyo list pale chini kushoto bonyeza UPDATE.Hata sio undercover huyo jamaa majina yake tungeyaona kwenye list tulizonazo.
Kwenye hiyo list pale chini kushoto bonyeza UPDATE.Hata sio undercover huyo jamaa majina yake tungeyaona kwenye list tulizonazo.
Weka hiyo listHata sio undercover huyo jamaa majina yake tungeyaona kwenye list tulizonazo.
N kweli Mkuu..Nadhani sasa ndio wakati wa kuwaelewa watawala wetu, wanaposema 2+2=4 wana maana nyingine tofauti kabisa. Kuna mambo mengi "nyuma ya pazia"
Weka hiyo list
Hajahemuka.....yupo sahihi kabisa Deo Sanga ni Makambako na Njombe mjini ni Deo Mwanyika. Mtu mmoja simple na humble sana. Hayo mengine anajua vizuri yeye binafsi na Mungu. ...PUNGUZA MIHEMKO NA UONGO. WA NJOMBE NI DEO SANGA NA WA ACACIA NI DEO MWANYIKA.
Huna unalolijua wewe, Deo Sanga ni Makambako, na Deodatus Mwanyika ni Njombe mjini.PUNGUZA MIHEMKO NA UONGO. WA NJOMBE NI DEO SANGA NA WA ACACIA NI DEO MWANYIKA.
Una umri gani kijana? Hujawahi kumsikia Attorney General Mwanyika??Deodatus Mwanyika alikuwa Attorney General lini ?
Johnson Mwanyika na Deodatus Mwanyika ni mtu mmoja?Una umri gani kijana? Hujawahi kumsikia Attorney General Mwanyika??
Early 40sUna umri gani kijana? Hujawahi kumsikia Attorney General Mwanyika??
🤣 uko sahihi manSijawahi kuwaamini CCM! Sina sababu ya kuwaamini hata chembe
Issue mbona simple tu: ALIJISALIMISHA NA KUUNGA MKONO JUHUDI.. KWISHA!!
Meko hajawahi kujielewa alikuja na lugumi,mpka leo kamshindwa kaamua kunyuti...huyo deo ni jinga tu utajiri wote huo ukasubirie posho za bungeni
Hajawahi kuwa ambae alikuwa ni Johnson Mwanyika ambae alikuja baada ya Mzee Chenge.Deodatus Mwanyika alikuwa Attorney General lini ?
Okay. Panua uwanja wa kuelewa mambo. Pia kama huna uhakika sana wa jambo, just buy time before putting your comments in public.Early 40s
Uliza wanachuana wenyewe kwa wenyewe kule singidani ila vyama tofautiHuyo simjui boss
Nataka kukuuliza Deo Mwanyika amewahi kuwa AG ?Okay. Panua uwanja wa kuelewa mambo. Pia kama huna uhakika sana wa jambo, just buy time before putting your comments in public.