Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Mjomba!Nasemaje waacheni watu wafe kwa amani.Maandamano yasiwe chanzo cha kusimamisha any natural creation.Death is natural.
Hata tukijamba sasa itakuwa tunataka kuwatoa kwenye reli.
You right, because only few people can think beyond the circle. Watu wengine wana upeo mkubwa wa kushuku na kulitazana jambo kwa upanda wake.

Agnes amekufa hili ni jambo dhahiri lakini amekufaje ni jambo mtambuka, kwani vifo vyote huwa na sababu. Kufa ni natural lakini hakuna natural death, all death must have cause.

Acha tusuburi na tuone, kwani muda na daktari mujarabu.
 
Inawezekana!!!
IMG-20180422-WA0000.jpg
 
Mjomba!Nasemaje waacheni watu wafe kwa amani.Maandamano yasiwe chanzo cha kusimamisha any natural creation.Death is natural.
Hata tukijamba sasa itakuwa tunataka kuwatoa kwenye reli.
Sijawahi kuona argument ya kijinga Kama hii ya kwako.
 
You are something Special Brother,,,,


The World of Intellegence is of Powerful Mind,,,



Hongera kwa notification hii
 
Mimba iwe imetoka yenyewe, imetolewa hospitalini au vichochoroni risk ya kupoteza maisha iko palepale, kinachotofautiana ni kiwango tu. Respiratory Distress Syndrome (RDS) layman ataiita ni pumu yaani bronchoasthma, kitu ambacho si kweli.
Kwahiyo Dr. unasemaje kuhusu hii issue?
 
Kuna kitu kinaendelea lakini bado hakijawa wazi sana. Ngoja mshtuko wa habari za kifo utulie... Kuna mengi yatajitokeza.

Wiki iliyopita kuna binti aliuawa gesti Chalinze... ALINYONGWA.... Lakini muda mchache kabla ya mauaji kufanyika alipigiwa simu na ndugu yake wakati wauaji wakiwa tayari chumbani kwake... Akiwasiliana kilugha na huyo ndugu yake alimwambia kuna wanawake wanne wamemvamia chumbani lakini watatu anawafahamu.

Baada ya hapo simu zake hazikupatikana tena! Maiti yake iligundulika siku ya pili. Katika kufuatilia undani wake ikaonekana alikuwa kwenye mtandao wa biashara ya madawa ya kulevya. Na kulikuwa na tatizo kati yake na hao wauaji wake.

Hii ilitokana na mawasiliano yaliyofumwa kwenye simu yake
Mchana wa siku aliyouliwa kulikuwa na majibizano kwa njia ya maandishi
Yeye aliandika kuwa kwakuwa wao wamemwaga mboga basi yeye atatoboa sufuria kabisa naye akajibiwa kuwa hatasubiri afanye hivyo watamfuata huko huko juu.

Baada ya mazishi kaka yake mmoja akapigiwa simu kupewa pole na kuambiwa kila kilichotokea pale msibani mpaka kuzika. (Kwahiyo wauaji walikuwepo msibani) kisha akaambiwa kuwa MALIPO NI HAPA HAPA DUNIANI.

Baada ya kama siku tatu za mauti yake binti mwingine akakutwa kauliwa kwa kuchomwa visu mwili mzima (alikuja Kutambuliwa kama mmojawapo aliyeshiriki mauaji ya kwanza), na mwingine naye akaponea chupuchupu akiwa keshakula visu vya kutosha na sasa hajulikani alipo.

Scenario nzima inaonesha ni mauaji ya visasi kati ya makundi mawili na kuna kitu kikubwa kinafichwa!!!!

Ni vigumu kwasasa kulink kifo cha Agnes na hayo mauaji mengine lakini tayari kuna watu wameshaanza kutuhumiwa.

Agnes Masogange amekuja kuwa maarufu zaidi baada ya kuja kuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya. Tuhuma dhidi ya madawa ya kulevya zilipelekea akamatwe na kufunguliwa kesi.

Ni juzi tu hapa mwezi uliopita alikutwa na hatia na kuhukumiwa kulipa faini au kifungo. Alinusurika kifungo kwa kulipa faini iliyolalamikiwa na wengi
Mabush lawyer wengi walisema kuwa kesi kama ile kama huna watu wazito nyuma yako unaondoka na maji.

Kwanini kifo chake kimeacha mashaka!?
Mitandao ya hizi biashara haramu., haipatani kabisa na kitu kinaitwa polisi... Kwa baadhi ya nchi watuhumiwa hufuatwa na kuuliwa huko huko jela au mahabusu.

Masogange akiwa tayari kwenye spotlight ya polisi... Nini ingekuwa future yake!? Kumbuka ni vigumu tena kumtumia kwenye hiyo biashara.. Tayari ana file.. Hivyo keshakuwa ndege mweupe!

Lakini je anafahamu mangapi!? Je hawezi kuropoka?
Je, ni nani aliyekuwa tayari kugharamia maisha yake ya anasa wakati sasa hawezi tena kuzalisha!?
Risk ni zipi akiachwa hai?
Risk ni zipi akinyamazishwa!!?

Je, baada ya kesi kwisha alikuwa na madai kwa washirika wake kibiashara!?
Kifo hupangwa na Mungu kwa wale waamini. Lakini nyuma yake kuna sababu za kifo. Naamini siku moja ukweli utajulikana.

RIP ⚰ Agnes!
Kinje na mkuu wa mkoa?
 
Mtu wangu wa karibu ambae anamjua marehem vzr kaniambia kaugua ugonjwa wa PJC(pneumocystis jirovecii pneumonia)ambayo inawapata watu walio na kinga dhaifu mwilini na inaua within 78hrs inategemea na Cd4 zipo ngap
 
Mm naona Agness amekufa kama watu wengine wa kawaida ....tukizungumzia kuhusu kuuza madawa ..mm naona wengi wanauza tena sana.

Kwaiyo kuuza madawa nimoja ya harakat za kimaisha Japo sio Rasmi.

Tuache watu waishi maisha wanayoyataka ...kwani kama kifo kipo tu uwez kukikwepa . As If utumii madawa na kuuza.


Mshana Jr umeeleweka lkn sio sawa kumdis Late Agnes
Nitakuwa sielewi maana ya neno kudiss!
 
Mkuu Mshana Jr tukiachana na hizo habari za ngada kuna jamaa anaitwa Avicii alikuwa ni mwanamuziki Dj maarufu kutoka huko Sweden.

Huyu jamaa pia amefariki jana huko Muscat Oman, yani amefariki tarehe moja na Masogange ila cha kushangaza pia wamezaliwa tarehe moja pia,,

Unaliongeleaje hili?
Siyo jambo la ajabu. Ni kwa vile vifo vyote vimetangazwa na tarehe yao ya kuzaliwa. Kila siku hapa duniani HAPAKOSEKANI watu wanaofariki. Na katika hao wanaofariki ukitafuta waliozaliwa tarehe moja pia utapata. Kwa mujibu wa statistic ni kuwa inakisiwa duniani kila siku ya Mungu kuna watoto 360,000 wanazaliwa. Na kila siku pia kuna watu 150,000 wanafariki. Sasa ukichunguza wale wanaofariki i.e. 150,000 utakuta uwezekeno wa wawili au zaidi kuwa walizaliwa siku moja ni mkubwa kabisa. Kumbuka mwaka una siku 360 tu.
 
pengine alipewa ile hukumu kwa makubaliano fulani ya kufichua mtandao wa madawa..mimi pia bado nina mashaka kama kifo chake ni cha kawaida!
You’re right, hata TID awe makini!
 
Haya basi,Kufa ni lazima.
Its the most certain thing a human being can be sure of.Alafu alilazwa siku nyingi.Amefariki kwa Typhoid.Just a natural death.Sidhani kama alikuwa na madhara tena kwenye biashara ile.Alidrop akaanza kujisogeza karibu na ibada.She was targeted alipokamatwa south.So hakuwa mtu sahihi tena kumpa kazi.
bado mdogo ndugu yangu unahitaji muda kujifunza habari za mjini!
watuumiwa huwa wanatembea na X or Y axis wale wanaojua hesabu wanaelewa siku zote wanaapproch to zero they never touch the line
 
mkuu sijasema nimedhini nadhani umesoma hadi mwisho lakini hukunielewa nimesema kuwa nimeuona uzuri wake nadhani uzuri huo hata wewe kama una macho mazuri unaweza kuuona na nimekili kabisa kuwa nilikuwa nipo kwenye process za kuandaa barua ili ipelekwe kwa wazazi wake ili kuwa mchumba wa marehemu na ndio maana nikasema nahudhunika Agnes kaondoka sijapata hata salamu yake mkuu
 
Mkuu, katoa mimba kijinga aka bleed mfululizo kapelekwa hospital baada ya kuanguka kwa kuishiwa damu. Kalala pale kisela hadi akavuta.Kuna siku ikikataa ndo kwaheri na ndicho kilichomkuta masogange.
Yani kweli na ujanja wote kaja kutoa mimba kijinga hivi!!!
Inasikitisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom