Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

Ilikuwa ni lazima Masogange afe?

mkuu huyu binti alikuwa anaishi maeneo ya makongo juu kwa hiyo hospitali ta haraka kwake ilikuwa ni mama ngoma hakufanya vibaya kwenda pale kifo chake kilisha pangwa na Mungu lazima afe kwa Pumu na ndio ikawa hivyo hata angeenda ocean road angekufa tu
Hospital ya kwanza ukitoka Makongo juu ni kwa Mama Ngoma? No please... Ni chuo kikuu... That's the nearest one
 
Ndugu yetu Mshana Jr, uwezekano wa hicho unachofikiria ni mdogo sana. Sababu kuu ya vifo vya aina hiyo kwa viumbe wa kike wenye umri kama huo asilimia zaidi ya 90% ni gynaecological, hasa ectopic pregnancies and septic abortions. This is highly supported na dalili kama hizo za kuishiwa damu na homa. Kubana pumzi ni terminal event inayoweza kusababishwa sawia na pulmonary embolism. Ugonjwa wa mtu unabaki kuwa siri kati ya mgonjwa/ marehemu na daktari wake. Wengine hawapaswi kujua isipokuwa kwa amri ya mahakama.
 
Mshahara wa dhambi ni mauti. Kuna watu wameumizwa hapa nyumbani na unga huu, ulio letwa na huyu huyu dada. Simuhuku apumzike kwa amani!
 
...... mortuary attendants, Je ni kweli huwa wanafanya mapenzi na wadada wazuri waliofariki wapelekwapo kuhifadhiwa?
Unaambiwa siku aliyofariki Masogange, hata wale waliokuwa mapumziko wakarudi kazini wakilazimisha wafanye kazi. Kama unabisha muulize Mshana Jr. Ambao zamu yao imeisha wakataka waendelee tu Na kazi Bila overtime, ikabidi vijana wa Mambosasa wapelekwe haraka wakaimarishe amani, maana hata waliostaafu walitaka wakafanye kazi kwa kujitolea
 
Unaambiwa siku aliyofariki Masogange, hata wale waliokuwa mapumziko wakarudi kazini wakilazimisha wafanye kazi. Kama unabisha muulize Mshana Jr. Ambao zamu yao imeisha wakataka waendelee tu Na kazi Bila overtime, ikabidi vijana wa Mambosasa wapelekwe haraka wakaimarishe amani, maana hata waliostaafu walitaka wakafanye kazi kwa kujitolea
😳 😀 😀 😀
 
Niliomba radhi lakini niliona kiwango cha unafiki wa binadamu.... Wale wale waliokuwa wanamsema vibaya sana ndio hao hao saivi wanajifanya wana machozi mengi na huruma nyingi sana.... Hayo hayamsaidii marehemu kufika peponi
Naam
Amali zake ndio zitakazo msaidia,Kwa wanao amini...
 
Mjomba!Nasemaje waacheni watu wafe kwa amani.Maandamano yasiwe chanzo cha kusimamisha any natural creation.Death is natural.
Hata tukijamba sasa itakuwa tunataka kuwatoa kwenye reli.
Jamani bongo kumbe bado kuna machizifresh wengi! Hivi,we bado unadhani mtu mwenye akili timamu anakubali kuandamanishwa na changudoa aliyeko nje ya nchi kweli? Kama anauchungu aje aongoze maandamano mbele kabisa, pambaf zenu.
 
Ndugu yetu Mshana Jr, uwezekano wa hicho unachofikiria ni mdogo sana. Sababu kuu ya vifo vya aina hiyo kwa viumbe wa kike wenye umri kama huo asilimia zaidi ya 90% ni gynaecological, hasa ectopic pregnancies and septic abortions. This is highly supported na dalili kama hizo za kuishiwa damu na homa. Kubana pumzi ni terminal event inayoweza kusababishwa sawia na pulmonary embolism. Ugonjwa wa mtu unabaki kuwa siri kati ya mgonjwa/ marehemu na daktari wake. Wengine hawapaswi kujua isipokuwa kwa amri ya mahakama.
k
Dr. Akili, huyu Agnes alikuwa na uwezo wa kutoa mimba hata South Africa siyo mtu wa kutoa mimba vichochoroni. Pumu yeye siyo mtoto kusema alikosa oxygen akafa ghafla hata hivyo angekwenda hospitali yoyote ya pesa angewekewa hewa na kutibiwa. Kwa nini alikwenda kwenye hospitali za vichochoroni?
 
Huyo alijiua mwenyewe kijinga kabisa baada ya kutoa mimba! Hayo mengine mbwembwe tu.
Kutoa mimba hakuuwi sana siku hizi,,,, kuna vifaa na utaalamu wa uhakika,,, mimba sio kigezo,,,,, taarifa ya madaktari ndio sahihi
 
Unaambiwa siku aliyofariki Masogange, hata wale waliokuwa mapumziko wakarudi kazini wakilazimisha wafanye kazi. Kama unabisha muulize Mshana Jr. Ambao zamu yao imeisha wakataka waendelee tu Na kazi Bila overtime, ikabidi vijana wa Mambosasa wapelekwe haraka wakaimarishe amani, maana hata waliostaafu walitaka wakafanye kazi kwa kujitolea
Bujibuji umenifanya nicheke kama mwehu!
 
Back
Top Bottom