Ilikuwa mwaka 1981

Ilikuwa mwaka 1981

Hahahaaa! Zile radio nyuma zina kama "plywood" laini na ina matundu tundu halafu imeandikwa Dudu proof
Mkulima 277...
Nilikuwa nayo shule O - level.. matangazo ya mpira wa miguu, michezo, vita vya ghuba na taarifa ya habari wana walikuwa wanaizunguka redio
 
Mkulima 277...
Nilikuwa nayo shule O - level.. matangazo ya mpira wa miguu, michezo, vita vya ghuba na taarifa ya habari wana walikuwa wanaizunguka redio
Hahahaa...Ukute sasa siku ya mechi ya Simba na Yanga,watu wanaizunguka redio utafikiri wanaota moto wakati wa baridi.
 
Mkulima 277...
Nilikuwa nayo shule O - level.. matangazo ya mpira wa miguu, michezo, vita vya ghuba na taarifa ya habari wana walikuwa wanaizunguka redio
Headmaster alinunulia kila bweni tusikilize updates za vita za ghuba! Irag alivyovamia kuwait
 
Ilikuwa murua burudani. Nakumbuka nikiwa najiandaa kwenda Israel kusoma nilikesha nao kabla sijapaa. Zamani mambo yalikuwa murua sana.
 
Ilikuwa murua burudani. Nakumbuka nikiwa najiandaa kwenda Israel kusoma nilikesha nao kabla sijapaa. Zamani mambo yalikuwa murua sana.
 
Immaculata_ Bima Lee

Haloo Immaculata mama
Vipi Immaculata mama
Nakutafuta sikuoni mama
Napiga darubini sikupati mamaa
Napiga tarumbeta sikupati mamaa

Ni umbali gani ulipooo
Nipigie simu namba 26561

Hakyamungu nakupenda Immaculata natoka jandoni mama nishike mkono nipeleke mbele ya wazee

Nafanya nini nderakendr ?

Nakupendaaaa aa.................. Endelea mwenyewe

Hapo unawakuta jamaa waliotoka NGINDE Mulenga "Spoiler" gitaa la Solo, Mwanyiro "Computer" Bass Gitaa, Abdallah Gama, Rhythm Guitar wakiambatana na Shabaan Dede huku wakiwakuta wenyeji Nguli mwenyewe Jerry Nashon Dudumizi akina Roy Bashekanako, Momba "sauti ya chuma" etc

Huo ulikuwa muziki halisia wa Kitanzania na ubunifu wa hali ya juu bila kusaidiwa na Kompyuta!
Kulikuwa hamna computer, kwanza mwalimu mkuu alikuwa haruhusu kumiliki hizo magendo
 
Hiyo bendi naikumbuka miaka ya 90 mwanzoni walikuwa wanakuja kila weekend kwetu mabibo kwenye ukumbi wa chabruma inn, enzi hizo ilikuwa na waimbaji kama Shabaan Dede, Eddy Sheggy, Fresh Jumbe n.k
 
Immaculata_ Bima Lee

Haloo Immaculata mama
Vipi Immaculata mama
Nakutafuta sikuoni mama
Napiga darubini sikupati mamaa
Napiga tarumbeta sikupati mamaa

Ni umbali gani ulipooo
Nipigie simu namba 26561

Hakyamungu nakupenda Immaculata natoka jandoni mama nishike mkono nipeleke mbele ya wazee

Nafanya nini nderakendr ?

Nakupendaaaa aa.................. Endelea mwenyewe

Hapo unawakuta jamaa waliotoka NGINDE Mulenga "Spoiler" gitaa la Solo, Mwanyiro "Computer" Bass Gitaa, Abdallah Gama, Rhythm Guitar wakiambatana na Shabaan Dede huku wakiwakuta wenyeji Nguli mwenyewe Jerry Nashon Dudumizi akina Roy Bashekanako, Momba "sauti ya chuma" etc

Huo ulikuwa muziki halisia wa Kitanzania na ubunifu wa hali ya juu bila kusaidiwa na Kompyuta!
Uko vizuri mkuu hongera mno
 
Back
Top Bottom