Ili uchumi ukue, tukubali Rais aongezewe muda hata miaka 20 Ili amalizie miradi yake yote

Arovera

JF-Expert Member
Nov 19, 2013
10,965
28,457
Hapa leo tuelewane, maana hata kwenye kupinga hua tunakua pamoja.

Tunahitaji Rais Akae Miaka 20 ili tuweze kupiga hatua ya kweli.

Miradi yenyewe ni kumalizia miundomsingi na miundombinu yote kama reli ya kisasa SGR, Miradi mikubwa ya barabara inayoendelea nchi nzima, Bwawa hilo kubwa la kuzalisha umeme.

Akikaa na Akatulia Akamaliza kila kitu Alichoanzisha Basi nchi itakua imefika mbali na tutaziacha nchi nyingi za Afrika kimaendeleo.

Wasi Wasi wangu akiingia Rais mwingine ataharibu trend ya Miradi na tutajikuta kila alichoanzisha Rais Magufuli kinasimama na tutaishia hapo hivo tumuunge mkono akae Miaka hiyo 20 ili amalize kila kitu ndio astafu hapo itakua safi tu.
 
Mkapa alianza uwanja wa taifa kamalizia jk, jk kaanza daraja la kigamboni kamalizia JPM.
Hivyo hiyo miradi mingine watamalizia wengine
Hapana trend ya miradi itaharibika lazima aongezewe muda ili tupate maendeleo endelevu.
 
Naona kijana umetumwa wewe, miaka mitatu tu hii kazi imeshamshinda hiyo miaka 20 mpe wewe na mama yako
Tutapigana aongoze miaka 20 ili uchumi upae mara dufu mambo ya kubadili sera kila wakati hatutaki kabisa.
 
Mimi nilifikiri ungetetea tupate katiba mpya kumbe unamtetea mtu? Vp hata akiwa ni wa maisha kwa katiba hii hii unategemea atakaengia atafanya nn??
Katiba sio muhimu kwa sasa maana maono ya kiongozi ndio muhimu sana kwa taifa naomba tuungane tupaze sauti hili likamilike ili Mheshimiwa Rais amalizie miradi yake yote miaka ishirini itakua ni tiba ya uchumi wetu.
 
miaka mi 2 ya mwanzoni alikuwa akizindua miradi ya watangulizi wake na tumemsifu kweli hata ile maktaba ya ud n juhudi za jk.

yeye kashaweka msingi, miaka mi 5 apumzike maana anasema mwenyewe ilo kazi ni ngumu na anajuta kuitamani bas akae pembeni 2020
 
miaka mi 2 ya mwanzoni alikuwa akizindua miradi ya watangulizi wake na tumemsifu kweli hata ile maktaba ya ud n juhudi za jk.

yeye kashaweka msingi, miaka mi 5 apumzike maana anasema mwenyewe ilo kazi ni ngumu na anajuta kuitamani bas akae pembeni 2020
Akae miaka 20 ili aache misingi bora ya kuchumi kwa nchi yetu.
 
Back
Top Bottom