Rais Magufuli kuvunja rekodi, Tanzania kuingia Uchumi wa Kati 2021, miaka minne kabla ya lengo la 2025

blix22

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
213
645
MAGUFULI KUVUNJA REKODI, TANZANIA KUINGIA UCHUMI WA KATI 2021, MIAKA MINNE KABLA YA LENGO LA 2025

Felician Andrew
Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro

Katika kipindi cha miaka minne pekee ya utumishi wa Rais Magufuli amefanikiwa kuifanya Tanzana kuwa miongoni mwa nchi ambazo zinakuwa kwa kasi kiuchumi barani Afrika huku katika ukanda wa Afrika Mashariki tukiwa nyuma ya Rwanda.

Kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (2019) GNI ya Tanzania imekua hadi kufikia dola 1,020 katika mwaka 2018 kulinganisha na dola 970 katika mwaka 2017 huku kiwango cha chini kilikuwa ni dola 200 mwaka 1990. Kiwango hiki kinaifanya Tanzania kukosa dola 6 tu sawa na asilimia 0.5 ili kuweza kuingia rasmi kwenye orodha ya nchi za Uchumi wa Kati duniani ambapo kiwango cha chini ni dola 1,026.

Hii inaifanya Tanzania kufikisha asilimia 99.5 kuweza kuingia kwenye kundi la nchi za Uchumi wa Kati. Hatua hii ni kubwa kulinganisha na malengo yaliyomo kwenye Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025.

Mafanikio haya ni makubwa sana kwa kipindi kifupi cha utumishi wa Rais Magufuli na serikali ya awamu ya Tano.

Kupanda kwa Tanzania katika viwango vya kimataifa kunafuatia kukua kwa pato la taifa kwa mtu mmoja kutoka Dola za kimarekani 947 mwaka 2015 na kulipandisha hadi 1,044 mwaka 2017/18 na baadae kufikia dola za kimarekani 1,090 katika mwaka wa fedha wa 2018/19 ukiwa ni ukuaji wa asilimia 4.4 kwa mwaka.

Kupanda huku kuinapa Tanzania nafasi ya kuweza kuungana na Kenya kwenye Orodha ya Mataifa ya Afrika Mashariki yaliyomo katika kundi la Uchumi wa Kati katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Tanzania ina lengo la kuingia katika uchumi wa kati mwaka 2025 lakini kwa kasi ya Magufuli hilo sasa linawezekana mwakani 2020/21 iwapo tutaongeza uzalishaji kdg tu wa ndani.

Kupaa kwa Tanzania kuelekea kwenye Orodha ya mataifa haya yenye uchumi wa kati kunatokana ukuaji wa Pato la Taifa yaani GDP ambalo mpaka sasa limeendelea kukua kwa wastani wa asilimia 7 kwa mwaka kulinganisha na asilimia 6.8 katika mwaka 2017 (Chanzo: Kitabu cha Hali ya Uchumi, 2018)

Aidha, ukuaji huu wa uchumi unatokana na uimarikaji wa sera za fedha za kiuchumi za nchi kwa muda wa miaka minne mfululizo huku viashiria vya ukuaji vikionyesha Tanzania ikiendelea kufanya vizuri.

Mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa la Tanzania kwa mujibu wa takwimu za Benki kuu ya Dunia zinaonyesha ya kuwa hadi kufikai Disemba 2018, Tanzania ilifanikiwa kuingia kwenye kundi la nchi zenye Uchumi wa Kati. Aidha, hali ya uchumi kidunia nayo imeendelea kuimarika na kupanda huku GDP ya dunia nzima ikifikia Dola za Marekani Bilioni 11,296.783 mwaka 2018 kutoka Dola za marekani bilioni 10,768.963 mwaka 2017.

Hapa ni mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa kwa mujibu wa ripoti za Benki ya Dunia kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018.
Mwaka 2015 pato la taifa kwa maana ya GDP lilikuwa dola bilioni 47.379; mwaka 2016 dola bilioni 49.774, mwaka 2017 dola bilioni 53.321 na mwaka 2018 ilipanda hadi kufikia dola bilioni 57.437.

Kwa upande mwingine, Pato la MTU mmoja limeendelea kukua mwaka hadi mwaka ambapo mwaka 2015 ilikuwa dola 947.933, mwaka 2016 dola 966.475, mwaka 2017 dola 1004.841 na mwaka 2018 ikapanda hadi kufikia dola 1050.675.
(Chanzo: GDP per capita (current US$) - Tanzania | Data)

Kwa upande mwingine takwimu za Benki ya Dunia zinaonyesha ya kuwa ukuaji wa pato la taifa linatokana na wazawa (watanzania) yaani GNI limeendelea kuimarika na kukua kwa kasi ya asilimia 3.595 katika mwaka 2017.

Kwa upande mwingine kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS,2019) kiwango cha umasikini nchini Tanzania kimpungua kutoka asilimia 28.2 mwaka 2012/13 hadi kufikia asilimia 26.4 katika mwaka 2017/18; huku umasikini wa chakula ukipoungua pia kutoka asilimia 9.7 mwaka 2012/13 hadi asilimia 8 mwaka 2017/18. Kushuka huku kwa viwango vya umasikini kunaonyesha namna ambavyo Matokeo ya ukuaji wa uchumi unawafikia watanzania waliochini.

Aidha mambo yaliyopelekea ukuaji wa uchumi wa Tanzani ambayo yanatazamiwa kuipa Tanzania nafasi kuwa miongoni mwa Orodha ya mataifa yenye uchumi wa Kati yanajikita katika misingi ya ongezeko la uzalishaji na ukuaji wa baishara na huduma nchini huku ikijumuisha mambo yafuatayo;
1. Kwa mujibu wa Ripoti ya IMF (2019) bei za soko la bidhaa na huduma zilizozalishwa nchini yaani GDP at Current Price au kwa maneno mengine Nominal GDP limeendelea kukua kuanzia mwaka 2015/16 hadi 2018/19 huku makadirio ya miaka ya mbele yakionyesha pato la taifa liataendelea kukua zaidi.

Mathalani, mnamo mwaka 2015/16 pato la taifa (Nominal GDP) lilifikia shilingi za kitanzania trilioni 101.4, mwaka 2016/17 lilikuwa ni shilingi trilioni 114 huku mwaka 2018/19 lilifika shilingi za kitanzania trilioni 139. Ripoti ya IMF (2019) inaonyesha ya kuwa kwa muda wote huu pato la taifa kwa kwa tasiri ya Nominal GDP katika mwaka 2018/19 limeongezeka kwa asilimia 37.08 ukilinganisha na pato la taif akwa kipindi kama hicho mwaka 2015/16.

Ukuaji wa ujazi wa fedha wa tafsiri pana zaidi kwa lugha ya kitaalamu *M3* umekuwa ukipanda kwa muda wa miaka mitatu ambapo Disemba 2016 ilifikia shilingi trilioni 22.9, Disemba 2017 shilingi trilioni 24.7 na Disemba 2018 shilingi trilioni 25.8 huku makadirio ya IMF yakionyesha kuwa ukuaji huu utaongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 28.5 mwisho wa mwaka 2019 ambao ni sawa na ukuaji wa asilimia 10.5

Aidha ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi unatarajiwa kuendelea kukua zaidi kutoka asilimia 4.0 Juni mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 9.1 Disemba mwaka 2019 ambalo ni sawa na ongezo la ukuaji kwa zaidi ya asilimia 127. Ukuaji huu unamaanisha hali ya Mikopo kwenye sekta binafsi imeanza kuimarika zaidi

2. Ongezeko la biashara nchini ambalo linadhihirishwa na ongezeko kubwa la kufunguliwa na kusailiwa kwa makampuni nchini toka kuingia kwa serikali ya awamu ya tano ambapo mpaka sasa jumla ya kampuni na biashara mpya 740,715 zimesajiliwa nchini.

Kati ya hizo BRELA imesajili jumla ya kampuni 30,716; huku majina ya biashara mpya 54,657 lakini pia leseni mpya za biashara zilizokwishatolewa na mamlaka za serikali za mitaa ni 655,342.

3. Uimarikaji wa Sekta ya Utalii nchini inayoendana na ongezeko kubwa la watalii. Mathalani mwaka 2018, Mapato yatokanayo na Utalii yalikuwa kwa asilimia 7.13 kulinganisha na mapato yalikusanywa katika kipindi kama hiko mwaka 2017. Ukuaji huu ni sawa na makusanyo ya Dola za marekani bilioni 2.43 huku watalii wakifikia milioni 1.49 kulinganisha na watalii milioni 1.33 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 huku mwaka 2016 watalii walikuwa milioni 1.2.
(Chanzo: Tanzania Tourism Revenues and Arrivals Up in 2018 - TanzaniaInvest)

Aidha soko kubwa la utalii kwa nchi yetu limeendela kuwa ni Nchi za Kiafrika, Ulaya na Marekani. Kazi kubwa inayoendelea kufanywa inapelekea kufungua masoko ya utalii kwenye ukanda wa bara la Asia ambao utapelekea ongezeko la watalii na makusanyo katika mwaka wa fedha wa 2019/20 hivyo kuendelea kuinua pato la Taifa.

4. Nakisi ya urari wa biashara ya bidhaa, huduma na uhamisho wa mali na nchi za nje yaani Current account deficit ulishuka kwa asilimia 3.3 na kwa mujibu wa IMF(2019) huku mwendo huu ulitokana na kuwepo kwa mazingira mazuri ya biashara nchini pamoja na kuendelea kuimarika kwa sekta ya usafirshaji wa bidhaa, huduma na mali nje ya nchi.

Kwa kipindi cha miaka mitatu akiba ya fedha za kigeni nchini imeongezeka hadi kufikia dola za kimarekani bilioni 5. Ripoti ya IMF (2019), mapato ya Tanzania yamekuwa kwa asilimia 57.5 kutoka mwaka 2015 hadi 2019 ikiwa ni kiwango kikubwa kulinganisha na takwimu kutoka kwenye taarifa za IMF kwa mataifa mengine ya Afrika Mashariki.

5. Kwa muda wa miaka minne pekee tayari jumla ya wiwanda vipya 3,500 vimefunguliwa nchi nzima huku uwekezaji mkubwa ukiendelea kufanywa na serikali kwenye miradi mikubwa mbalimbali ambayo ni chachu ya ukuaji wa uchumi ncihi.

Mwaka 2015/16 jumla ya shilingi trilioni 4.3 zilitumika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo lakini kufika mwaka 2017/18 serikali iliongeza matumizi kwenye miradi ya Maendeleo na kufikisha Matumizi ya Jumla ya shilingi 7.6 huku mwaka 2018/19 serikali ilipanua zaidi na kutumia trilioni 9.3.

Ongezeko la Matumizi ya serikali kwenye miradi ya Maendeleo yanatoa mwanga katika kuelekea kwenye ujenzi wa miundombinu bora ili kuhakikisha tunaelekea kwenye taifa lenye uchumi imara; matumizi haya yanaendana na sera za serikali kuhakikisha ya kuwa miradi ya maendeleo inatumia asilimia 40 ya bajeti.

6. Miradi mipya yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 13.8 sawa na zaidi ya shilingi za kitanzania trililioni 30 inatekelezwa ambayo imeendana na utengenezaji wa ajira zaidi ya 107,908

7. Jumla ya miradi 897 imesajiliwa kwa kipindi cha miaka minne huku miradi inayomilikiwa na watanzania wazawa ni 313 sawa na asilimia 34.9; miradi inayomilikiwa na wageni ni 377 sawa na asilimia 42 na miradi inayotekelezwa kwa ubia baina ya watanzania na wageni ni 207 ambayo ni sawa na asilimia 23.1.

8. Kuwekwa kwa rekodi mpya ya makusanyo kutokana katika wizara ya Madini kufuatia uanzishwaji wa masoko ya madini nchini. Rekodi mpya imewekwa ambapo serikali imekusanya jumla ya shilingi bilioni 311.33 ambayo ni kiwango cha juu kabisa toka uhuru wa nchi yetu. Rekodi hii inashiria kuimalika kwa sekta ya madini pamoja na urahisi wa ufanyaji wa baishara ya madini nchini kupitia mfumo wa masoko ya madini

9. Ukuaji na uimarikaji wa biashara nje ya nchi ambapo mwaka 2018, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 999.34 kwenye soko la nchi za jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika yaani SADC ulikinganisha na dola za kimarekani bilioni 877.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2017 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 13.84

10. Aidha, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 447.5 kwenye soko la jumuiya ya Afrika Mashariki katika mwaka 2018 ikiwa ni kiasi kikubwa zaidi ya kile cha dola za marekani bilioni 349.6 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 hii ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 28.

11. Ukuaji wa Pato la Taifa kwa kutumia bei ya kizio ya mwaka 2015 umeendelea kukua kwa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 6.8 mwaka 2017

12. Hadi kufikia mwezi Aprili 2019, mfumuko wa bei ulikuwa asilimia 3.2 ikilinganishwa na asilimia 3.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2018. Hii inatoa fursa kwa wafanyabishara kuendelea kuwekeza na kuwa na imani kubwa kwenye fedha wanazowekeza kwani hazitapoteza thamani kutokana na mfumuko wa bei.

13. Uwekezaji mkubwa wa uzalishaji wa umeme katika bonde la Stigler unaotarajiwa kuzalisha MegaWat 2100 pamoja na utekelezaji wa miradi mingine ya Kinyerezi I, II, III na IV utafanya gharama za umeme kushua zaidi na hivyo kupunguza kabisa gharama za uzalishaji kwenye Viwanda vyetu na mwisho bidhaa zinazozalishwa ndani kuwa na uwezo wa kushindana na zile zinazozalishwa nje na kuuzwa kwa bei nafuu zaidi.

Aidha mradi huu mkubwa wa umeme utachochea pia ukuaji wa sekta ziziso rasmi kwa kuchochea ukuaji wa biashara na ajira huku fedha zote zikiwa ni kodi za watanzania.

14. Hadi Hadi kufikia Aprili, 2019 kiasi cha shilingi trilioni 1.06 kimelipwa sawa na asilimia 75.18 ya lengo hii imekuwa chachu ya Maendeleo ya biashara kwa kuongeza fedha kwenye mzunguko na kusaidia kuimarisha biashara kwa makampuni na Taasisi mbalimbali za serikali ambazo mwisho hupelekea kuchochea ukuaji wa viashiria vingine vya uchumi (multiplier effects)

15. Kupungua kwa kiwango cha Umaskini wa mahitaji ya msingi kutoka asilimia 28.2 mwaka 2011/12 hadi asilimia 26.4 mwaka 2017/18. Kiwango cha umaskini wa chakula kimepungua kutoka asilimia 9.7 mwaka 2011/12 na kufikia asilimia 8.0 mwaka 2017/18. Kupungua huku ni dalili ya ongezeko la hali za maisha na ukuaji wa sekta mbalimbali nchini kunakotoa fursa kwa wafanyabisahra kuweza kutumia nafasi hiyo kuweza kufanikiwa zaidi.

Aidha, upimaji wa ukuaji wa Uchumi kwa pato la mtu mmoja kwa kutumia PPP unaonyesha ya kuwa Tanzania imeendela kukua kwa kipindi chote cha miaka minne huku pato la mtu mmoja likiimarika hadi kufikia Dola za Marekani 2,683.30 mwaka 2017 ambao ni ukuaji wa zaidi ya asilimia 48 kulinganisha na udumavu wa pato hilo kuanzia mwaka 1990 hadi 2016 ambalo lilikuwa ni Dola za marekani 1811.23 huku kiwango cha chini kabisa kuwahi kurekodiwa ni Dola za marekani 1361.40 mwaka 1994
(Chanzo: Tanzania GDP per capita PPP)

Juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya Awamu ya Tano zinaifanya Tanzania kupiga hatua kwa haraka na kuipa nafasi ya kuingia kwenye mataifa yenye hadhi ya Uchumi wa kati ikiwa ni miaka sita (6) kabla ya malengo yaliyoainishwa kwenye Kitabu cha Dira ya Maendeleo ya Taifa (TDV - 2025).

USHAURI NA MAONI
Kutokana na Benki ya Dunia kutumia GNI kama kipimio cha taifa moja kupanda daraja moja la uchumi kwenda jingine nchi yetu inayohaja y akuhakikisha ukuaji wa Uchumi wa Tanzania uchangiwe kwa sehemu kubwa na wazawa kwani kipimo cha GNI hujumuish amapato yatokanyo nauzalishaji uliofanywa na wazawa tu ndani na nje ya nchi.

Tayari Rais Magufuli ameanza jambo hili kwa kuwaita wafanyabaishara wazawa nchi nzima na kuzungumza nao ilikutoa mwanga wa kuweza kukuza biashara zao na kuongeza kipato cha wazawa.

TUKIKUZA GNI LAZIMA GDP ITAKUA LAKINI TUKIJIKITA KATIKA KUKUZA GDP PEKEE SIO LAZIMA GNI KUKUA

Jambo la pili ambalo linatakiwa kufanyika ni kuhakikisha tunafanya sensa ya watanzania wote wanaoishi nje ya Tanzania ili kuweza kubaini kazi zao na vipato vyao ambavyo itasaidia kuwa na taarifa sahihi ya ukuaji au ongezeko la GNI.

GNI yaani Gross National Income ni kipimo cha kipato cha Nchi husika. Hujumuisha vipato (income) ambazo wananchi/raia huingiza wakiwa ndani au nje ya Nchi. Jumla ya vipato vyao ndio huunda GNI. Zamani takwimu za dunia zilifanywa kwa kutumia GNP lakini kwa miaka ya hivi karibuni tumehamia kwenye GNI.

Tofauti iliyopo kati ya Kenya na Tanzania hata Kenya kuwa na GNI kubwa ni jitihada a serikali ya Kenya kuwasaidia wafanyabisahra wake kuweza kuwekeza kwenye nchi nyingine yaani kukuza biashara za wazawa lakini pia kuhakikisha inaweza kuwabaini wakenya wote walioko nje ya yao na kuwa na taarifa sahihi za vipato vyao. Hivyo tunayo nafasi kama nchi kuweza kujifunza na kupiga hatua kubwa zaidi ya Kenya kwani Tanzania ina rasilimali za kutosha na mazingira makubwa ya kuendelea zaidi ya Kenya.

Wizara ya Mambo ya Nje ikishirikiana na Taasisi nyingine inayo nafasi ya kuhakikisha inaratibu zoezi la kuwatambua watanzania wote walioko ne ya nchi kupitia majukwaa yao mbalimbali ili kuweza kuhamasisha watu kuwa wazlendo na kuwa tayari kushiriki hsughuli za Maendeleo zinaozuhusu nchi yao huku wakiwa huko waliko. Mwaka 2018, Benki Kuu ya Kenya ilitangaza ya kuwa fedha kutoka nje ya nchi (Remmitance) kwenda kwa ndugu na marafiki nchini Kenya zilifikia shilingi za kitanzania Trilioni 4.418 huku katika kipindi kama hicho nchini Tanzania BOT ilitangaza fedha zilizoingia kama Remittance zilikuwa ni Shilingi Trilioni 1 pekee.

Aidha, Juhudi za Rais Magufuli kufungua milango ya ajira kwa watanzania kwenda kufundisha nje ya nchi ni njia mojawapo ya serikali kuweza kupanua wigo wa GNI ambayo ndio itafanya nchi yetu kuweza kupanda zaidi kwenye Orodha ya Mataifa yenye uchumi wa Kati.
 
sasa itaingizwa na nani? je kama akija rais mwingine 2020 mwenye maoni tofauti na hayo yanayokufanya uamini 2021 tutakuwa huko ?
 
Economic growth increase but economic development decrease which leads poor living standard, cost of living increases more and more
Na ulichosema ndio ukweli halisi, kama economic growth haiwezi kuwa translated into economic development (better social services, improved purchasing power etc), basi tunacheza manyanga tu na ni hizo ni porojo za vijiweni tu.
 
mi nina tatizo kuelewa usomi wa makaratasi! kumbe sio kwenye kilimo cha matikiti tu hadi huku!
tapatalk_1559574219234.jpeg
 
*MAGUFULI KUVUNJA REKODI, TANZANIA KUINGIA UCHUMI WA KATI 2021, MIAKA MINNE KABLA YA LENGO LA 2025*

*Felician Andrew*
*Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro*
*+255 673 848428*

Katika kipindi cha miaka minne pekee ya utumishi wa Rais Magufuli amefanikiwa kuifanya Tanzana kuwa miongoni mwa nchi ambazo zinakuwa kwa kasi kiuchumi barani Afrika huku katika ukanda wa Afrika Mashariki tukiwa nyuma ya Rwanda.

Kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (2019) GNI ya Tanzania imekua hadi kufikia dola 1,020 katika mwaka 2018 kulinganisha na dola 970 katika mwaka 2017 huku kiwango cha chini kilikuwa ni dola 200 mwaka 1990. Kiwango hiki kinaifanya Tanzania kukosa dola 6 tu sawa na asilimia 0.5 ili kuweza kuingia rasmi kwenye orodha ya nchi za Uchumi wa Kati duniani ambapo kiwango cha chini ni dola 1,026.

Hii inaifanya Tanzania kufikisha asilimia 99.5 kuweza kuingia kwenye kundi la nchi za Uchumi wa Kati. Hatua hii ni kubwa kulinganisha na malengo yaliyomo kwenye Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025.

Mafanikio haya ni makubwa sana kwa kipindi kifupi cha utumishi wa Rais Magufuli na serikali ya awamu ya Tano.

Kupanda kwa Tanzania katika viwango vya kimataifa kunafuatia kukua kwa pato la taifa kwa mtu mmoja kutoka Dola za kimarekani 947 mwaka 2015 na kulipandisha hadi 1,044 mwaka 2017/18 na baadae kufikia dola za kimarekani 1,090 katika mwaka wa fedha wa 2018/19 ukiwa ni ukuaji wa asilimia 4.4 kwa mwaka.

Kupanda huku kuinapa Tanzania nafasi ya kuweza kuungana na Kenya kwenye Orodha ya Mataifa ya Afrika Mashariki yaliyomo katika kundi la Uchumi wa Kati katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Tanzania ina lengo la kuingia katika uchumi wa kati mwaka 2025 lakini kwa kasi ya Magufuli hilo sasa linawezekana mwakani 2020/21 iwapo tutaongeza uzalishaji kdg tu wa ndani.

Kupaa kwa Tanzania kuelekea kwenye Orodha ya mataifa haya yenye uchumi wa kati kunatokana ukuaji wa Pato la Taifa yaani GDP ambalo mpaka sasa limeendelea kukua kwa wastani wa asilimia 7 kwa mwaka kulinganisha na asilimia 6.8 katika mwaka 2017 (Chanzo: Kitabu cha Hali ya Uchumi, 2018)

Aidha, ukuaji huu wa uchumi unatokana na uimarikaji wa sera za fedha za kiuchumi za nchi kwa muda wa miaka minne mfululizo huku viashiria vya ukuaji vikionyesha Tanzania ikiendelea kufanya vizuri.

Mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa la Tanzania kwa mujibu wa takwimu za Benki kuu ya Dunia zinaonyesha ya kuwa hadi kufikai Disemba 2018, Tanzania ilifanikiwa kuingia kwenye kundi la nchi zenye Uchumi wa Kati. Aidha, hali ya uchumi kidunia nayo imeendelea kuimarika na kupanda huku GDP ya dunia nzima ikifikia Dola za Marekani Bilioni 11,296.783 mwaka 2018 kutoka Dola za marekani bilioni 10,768.963 mwaka 2017.

Hapa ni mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa kwa mujibu wa ripoti za Benki ya Dunia kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018.
Mwaka 2015 pato la taifa kwa maana ya GDP lilikuwa dola bilioni 47.379; mwaka 2016 dola bilioni 49.774, mwaka 2017 dola bilioni 53.321 na mwaka 2018 ilipanda hadi kufikia dola bilioni 57.437.

Kwa upande mwingine, Pato la MTU mmoja limeendelea kukua mwaka hadi mwaka ambapo mwaka 2015 ilikuwa dola 947.933, mwaka 2016 dola 966.475, mwaka 2017 dola 1004.841 na mwaka 2018 ikapanda hadi kufikia dola 1050.675.
(Chanzo: GDP per capita (current US$) - Tanzania | Data)

Kwa upande mwingine takwimu za Benki ya Dunia zinaonyesha ya kuwa ukuaji wa pato la taifa linatokana na wazawa (watanzania) yaani GNI limeendelea kuimarika na kukua kwa kasi ya asilimia 3.595 katika mwaka 2017.

Kwa upande mwingine kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS,2019) kiwango cha umasikini nchini Tanzania kimpungua kutoka asilimia 28.2 mwaka 2012/13 hadi kufikia asilimia 26.4 katika mwaka 2017/18; huku umasikini wa chakula ukipoungua pia kutoka asilimia 9.7 mwaka 2012/13 hadi asilimia 8 mwaka 2017/18. Kushuka huku kwa viwango vya umasikini kunaonyesha namna ambavyo Matokeo ya ukuaji wa uchumi unawafikia watanzania waliochini.

Aidha mambo yaliyopelekea ukuaji wa uchumi wa Tanzani ambayo yanatazamiwa kuipa Tanzania nafasi kuwa miongoni mwa Orodha ya mataifa yenye uchumi wa Kati yanajikita katika misingi ya ongezeko la uzalishaji na ukuaji wa baishara na huduma nchini huku ikijumuisha mambo yafuatayo;
1. Kwa mujibu wa Ripoti ya IMF (2019) bei za soko la bidhaa na huduma zilizozalishwa nchini yaani GDP at Current Price au kwa maneno mengine Nominal GDP limeendelea kukua kuanzia mwaka 2015/16 hadi 2018/19 huku makadirio ya miaka ya mbele yakionyesha pato la taifa liataendelea kukua zaidi.

Mathalani, mnamo mwaka 2015/16 pato la taifa (Nominal GDP) lilifikia shilingi za kitanzania trilioni 101.4, mwaka 2016/17 lilikuwa ni shilingi trilioni 114 huku mwaka 2018/19 lilifika shilingi za kitanzania trilioni 139. Ripoti ya IMF (2019) inaonyesha ya kuwa kwa muda wote huu pato la taifa kwa kwa tasiri ya Nominal GDP katika mwaka 2018/19 limeongezeka kwa asilimia 37.08 ukilinganisha na pato la taif akwa kipindi kama hicho mwaka 2015/16.

Ukuaji wa ujazi wa fedha wa tafsiri pana zaidi kwa lugha ya kitaalamu *M3* umekuwa ukipanda kwa muda wa miaka mitatu ambapo Disemba 2016 ilifikia shilingi trilioni 22.9, Disemba 2017 shilingi trilioni 24.7 na Disemba 2018 shilingi trilioni 25.8 huku makadirio ya IMF yakionyesha kuwa ukuaji huu utaongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 28.5 mwisho wa mwaka 2019 ambao ni sawa na ukuaji wa asilimia 10.5

Aidha ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi unatarajiwa kuendelea kukua zaidi kutoka asilimia 4.0 Juni mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 9.1 Disemba mwaka 2019 ambalo ni sawa na ongezo la ukuaji kwa zaidi ya asilimia 127. Ukuaji huu unamaanisha hali ya Mikopo kwenye sekta binafsi imeanza kuimarika zaidi

2. Ongezeko la biashara nchini ambalo linadhihirishwa na ongezeko kubwa la kufunguliwa na kusailiwa kwa makampuni nchini toka kuingia kwa serikali ya awamu ya tano ambapo mpaka sasa jumla ya kampuni na biashara mpya 740,715 zimesajiliwa nchini.

Kati ya hizo BRELA imesajili jumla ya kampuni 30,716; huku majina ya biashara mpya 54,657 lakini pia leseni mpya za biashara zilizokwishatolewa na mamlaka za serikali za mitaa ni 655,342.

3. Uimarikaji wa Sekta ya Utalii nchini inayoendana na ongezeko kubwa la watalii. Mathalani mwaka 2018, Mapato yatokanayo na Utalii yalikuwa kwa asilimia 7.13 kulinganisha na mapato yalikusanywa katika kipindi kama hiko mwaka 2017. Ukuaji huu ni sawa na makusanyo ya Dola za marekani bilioni 2.43 huku watalii wakifikia milioni 1.49 kulinganisha na watalii milioni 1.33 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 huku mwaka 2016 watalii walikuwa milioni 1.2.
(Chanzo: Tanzania Tourism Revenues and Arrivals Up in 2018 - TanzaniaInvest)

Aidha soko kubwa la utalii kwa nchi yetu limeendela kuwa ni Nchi za Kiafrika, Ulaya na Marekani. Kazi kubwa inayoendelea kufanywa inapelekea kufungua masoko ya utalii kwenye ukanda wa bara la Asia ambao utapelekea ongezeko la watalii na makusanyo katika mwaka wa fedha wa 2019/20 hivyo kuendelea kuinua pato la Taifa.

4. Nakisi ya urari wa biashara ya bidhaa, huduma na uhamisho wa mali na nchi za nje yaani Current account deficit ulishuka kwa asilimia 3.3 na kwa mujibu wa IMF(2019) huku mwendo huu ulitokana na kuwepo kwa mazingira mazuri ya biashara nchini pamoja na kuendelea kuimarika kwa sekta ya usafirshaji wa bidhaa, huduma na mali nje ya nchi.

Kwa kipindi cha miaka mitatu akiba ya fedha za kigeni nchini imeongezeka hadi kufikia dola za kimarekani bilioni 5. Ripoti ya IMF (2019), mapato ya Tanzania yamekuwa kwa asilimia 57.5 kutoka mwaka 2015 hadi 2019 ikiwa ni kiwango kikubwa kulinganisha na takwimu kutoka kwenye taarifa za IMF kwa mataifa mengine ya Afrika Mashariki.

5. Kwa muda wa miaka minne pekee tayari jumla ya wiwanda vipya 3,500 vimefunguliwa nchi nzima huku uwekezaji mkubwa ukiendelea kufanywa na serikali kwenye miradi mikubwa mbalimbali ambayo ni chachu ya ukuaji wa uchumi ncihi.

Mwaka 2015/16 jumla ya shilingi trilioni 4.3 zilitumika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo lakini kufika mwaka 2017/18 serikali iliongeza matumizi kwenye miradi ya Maendeleo na kufikisha Matumizi ya Jumla ya shilingi 7.6 huku mwaka 2018/19 serikali ilipanua zaidi na kutumia trilioni 9.3.

Ongezeko la Matumizi ya serikali kwenye miradi ya Maendeleo yanatoa mwanga katika kuelekea kwenye ujenzi wa miundombinu bora ili kuhakikisha tunaelekea kwenye taifa lenye uchumi imara; matumizi haya yanaendana na sera za serikali kuhakikisha ya kuwa miradi ya maendeleo inatumia asilimia 40 ya bajeti.

6. Miradi mipya yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 13.8 sawa na zaidi ya shilingi za kitanzania trililioni 30 inatekelezwa ambayo imeendana na utengenezaji wa ajira zaidi ya 107,908


7. Jumla ya miradi 897 imesajiliwa kwa kipindi cha miaka minne huku miradi inayomilikiwa na watanzania wazawa ni 313 sawa na asilimia 34.9; miradi inayomilikiwa na wageni ni 377 sawa na asilimia 42 na miradi inayotekelezwa kwa ubia baina ya watanzania na wageni ni 207 ambayo ni sawa na asilimia 23.1.


8. Kuwekwa kwa rekodi mpya ya makusanyo kutokana katika wizara ya Madini kufuatia uanzishwaji wa masoko ya madini nchini. Rekodi mpya imewekwa ambapo serikali imekusanya jumla ya shilingi bilioni 311.33 ambayo ni kiwango cha juu kabisa toka uhuru wa nchi yetu. Rekodi hii inashiria kuimalika kwa sekta ya madini pamoja na urahisi wa ufanyaji wa baishara ya madini nchini kupitia mfumo wa masoko ya madini


9. Ukuaji na uimarikaji wa biashara nje ya nchi ambapo mwaka 2018, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 999.34 kwenye soko la nchi za jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika yaani SADC ulikinganisha na dola za kimarekani bilioni 877.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2017 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 13.84


10. Aidha, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 447.5 kwenye soko la jumuiya ya Afrika Mashariki katika mwaka 2018 ikiwa ni kiasi kikubwa zaidi ya kile cha dola za marekani bilioni 349.6 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 hii ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 28.


11. Ukuaji wa Pato la Taifa kwa kutumia bei ya kizio ya mwaka 2015 umeendelea kukua kwa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 6.8 mwaka 2017


12. Hadi kufikia mwezi Aprili 2019, mfumuko wa bei ulikuwa asilimia 3.2 ikilinganishwa na asilimia 3.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2018. Hii inatoa fursa kwa wafanyabishara kuendelea kuwekeza na kuwa na imani kubwa kwenye fedha wanazowekeza kwani hazitapoteza thamani kutokana na mfumuko wa bei.


13. Uwekezaji mkubwa wa uzalishaji wa umeme katika bonde la Stigler unaotarajiwa kuzalisha MegaWat 2100 pamoja na utekelezaji wa miradi mingine ya Kinyerezi I, II, III na IV utafanya gharama za umeme kushua zaidi na hivyo kupunguza kabisa gharama za uzalishaji kwenye Viwanda vyetu na mwisho bidhaa zinazozalishwa ndani kuwa na uwezo wa kushindana na zile zinazozalishwa nje na kuuzwa kwa bei nafuu zaidi.


Aidha mradi huu mkubwa wa umeme utachochea pia ukuaji wa sekta ziziso rasmi kwa kuchochea ukuaji wa biashara na ajira huku fedha zote zikiwa ni kodi za watanzania.


14. Hadi Hadi kufikia Aprili, 2019 kiasi cha shilingi trilioni 1.06 kimelipwa sawa na asilimia 75.18 ya lengo hii imekuwa chachu ya Maendeleo ya biashara kwa kuongeza fedha kwenye mzunguko na kusaidia kuimarisha biashara kwa makampuni na Taasisi mbalimbali za serikali ambazo mwisho hupelekea kuchochea ukuaji wa viashiria vingine vya uchumi (multiplier effects)


15. Kupungua kwa kiwango cha Umaskini wa mahitaji ya msingi kutoka asilimia 28.2 mwaka 2011/12 hadi asilimia 26.4 mwaka 2017/18. Kiwango cha umaskini wa chakula kimepungua kutoka asilimia 9.7 mwaka 2011/12 na kufikia asilimia 8.0 mwaka 2017/18. Kupungua huku ni dalili ya ongezeko la hali za maisha na ukuaji wa sekta mbalimbali nchini kunakotoa fursa kwa wafanyabisahra kuweza kutumia nafasi hiyo kuweza kufanikiwa zaidi.


Aidha, upimaji wa ukuaji wa Uchumi kwa pato la mtu mmoja kwa kutumia PPP unaonyesha ya kuwa Tanzania imeendela kukua kwa kipindi chote cha miaka minne huku pato la mtu mmoja likiimarika hadi kufikia Dola za Marekani 2,683.30 mwaka 2017 ambao ni ukuaji wa zaidi ya asilimia 48 kulinganisha na udumavu wa pato hilo kuanzia mwaka 1990 hadi 2016 ambalo lilikuwa ni Dola za marekani 1811.23 huku kiwango cha chini kabisa kuwahi kurekodiwa ni Dola za marekani 1361.40 mwaka 1994
(Chanzo: Tanzania GDP per capita PPP)

Juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya Awamu ya Tano zinaifanya Tanzania kupiga hatua kwa haraka na kuipa nafasi ya kuingia kwenye mataifa yenye hadhi ya Uchumi wa kati ikiwa ni miaka sita (6) kabla ya malengo yaliyoainishwa kwenye Kitabu cha Dira ya Maendeleo ya Taifa (TDV - 2025).

*USHAURI NA MAONI*
Kutokana na Benki ya Dunia kutumia GNI kama kipimio cha taifa moja kupanda daraja moja la uchumi kwenda jingine nchi yetu inayohaja y akuhakikisha ukuaji wa Uchumi wa Tanzania uchangiwe kwa sehemu kubwa na wazawa kwani kipimo cha GNI hujumuish amapato yatokanyo nauzalishaji uliofanywa na wazawa tu ndani na nje ya nchi.

Tayari Rais Magufuli ameanza jambo hili kwa kuwaita wafanyabaishara wazawa nchi nzima na kuzungumza nao ilikutoa mwanga wa kuweza kukuza biashara zao na kuongeza kipato cha wazawa.

_*“TUKIKUZA GNI LAZIMA GDP ITAKUA LAKINI TUKIJIKITA KATIKA KUKUZA GDP PEKEE SIO LAZIMA GNI KUKUA”*_

Jambo la pili ambalo linatakiwa kufanyika ni kuhakikisha tunafanya sensa ya watanzania wote wanaoishi nje ya Tanzania ili kuweza kubaini kazi zao na vipato vyao ambavyo itasaidia kuwa na taarifa sahihi ya ukuaji au ongezeko la GNI.

GNI yaani Gross National Income ni kipimo cha kipato cha Nchi husika. Hujumuisha vipato (income) ambazo wananchi/raia huingiza wakiwa ndani au nje ya Nchi. Jumla ya vipato vyao ndio huunda GNI. Zamani takwimu za dunia zilifanywa kwa kutumia GNP lakini kwa miaka ya hivi karibuni tumehamia kwenye GNI.

Tofauti iliyopo kati ya Kenya na Tanzania hata Kenya kuwa na GNI kubwa ni jitihada a serikali ya Kenya kuwasaidia wafanyabisahra wake kuweza kuwekeza kwenye nchi nyingine yaani kukuza biashara za wazawa lakini pia kuhakikisha inaweza kuwabaini wakenya wote walioko nje ya yao na kuwa na taarifa sahihi za vipato vyao. Hivyo tunayo nafasi kama nchi kuweza kujifunza na kupiga hatua kubwa zaidi ya Kenya kwani Tanzania ina rasilimali za kutosha na mazingira makubwa ya kuendelea zaidi ya Kenya.

Wizara ya Mambo ya Nje ikishirikiana na Taasisi nyingine inayo nafasi ya kuhakikisha inaratibu zoezi la kuwatambua watanzania wote walioko ne ya nchi kupitia majukwaa yao mbalimbali ili kuweza kuhamasisha watu kuwa wazlendo na kuwa tayari kushiriki hsughuli za Maendeleo zinaozuhusu nchi yao huku wakiwa huko waliko. Mwaka 2018, Benki Kuu ya Kenya ilitangaza ya kuwa fedha kutoka nje ya nchi (Remmitance) kwenda kwa ndugu na marafiki nchini Kenya zilifikia shilingi za kitanzania Trilioni 4.418 huku katika kipindi kama hicho nchini Tanzania BOT ilitangaza fedha zilizoingia kama Remittance zilikuwa ni Shilingi Trilioni 1 pekee.

Aidha, Juhudi za Rais Magufuli kufungua milango ya ajira kwa watanzania kwenda kufundisha nje ya nchi ni njia mojawapo ya serikali kuweza kupanua wigo wa GNI ambayo ndio itafanya nchi yetu kuweza kupanda zaidi kwenye Orodha ya Mataifa yenye uchumi wa Kati.
Mbona sisi hapo hatupo mkuu
Screenshot_20200115-152235.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
BADO UNAAMINI NDOTO YAKO




*MAGUFULI KUVUNJA REKODI, TANZANIA KUINGIA UCHUMI WA KATI 2021, MIAKA MINNE KABLA YA LENGO LA 2025*

*Felician Andrew*
*Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro*
*+255 673 848428*

Katika kipindi cha miaka minne pekee ya utumishi wa Rais Magufuli amefanikiwa kuifanya Tanzana kuwa miongoni mwa nchi ambazo zinakuwa kwa kasi kiuchumi barani Afrika huku katika ukanda wa Afrika Mashariki tukiwa nyuma ya Rwanda.

Kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (2019) GNI ya Tanzania imekua hadi kufikia dola 1,020 katika mwaka 2018 kulinganisha na dola 970 katika mwaka 2017 huku kiwango cha chini kilikuwa ni dola 200 mwaka 1990. Kiwango hiki kinaifanya Tanzania kukosa dola 6 tu sawa na asilimia 0.5 ili kuweza kuingia rasmi kwenye orodha ya nchi za Uchumi wa Kati duniani ambapo kiwango cha chini ni dola 1,026.

Hii inaifanya Tanzania kufikisha asilimia 99.5 kuweza kuingia kwenye kundi la nchi za Uchumi wa Kati. Hatua hii ni kubwa kulinganisha na malengo yaliyomo kwenye Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025.

Mafanikio haya ni makubwa sana kwa kipindi kifupi cha utumishi wa Rais Magufuli na serikali ya awamu ya Tano.

Kupanda kwa Tanzania katika viwango vya kimataifa kunafuatia kukua kwa pato la taifa kwa mtu mmoja kutoka Dola za kimarekani 947 mwaka 2015 na kulipandisha hadi 1,044 mwaka 2017/18 na baadae kufikia dola za kimarekani 1,090 katika mwaka wa fedha wa 2018/19 ukiwa ni ukuaji wa asilimia 4.4 kwa mwaka.

Kupanda huku kuinapa Tanzania nafasi ya kuweza kuungana na Kenya kwenye Orodha ya Mataifa ya Afrika Mashariki yaliyomo katika kundi la Uchumi wa Kati katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Tanzania ina lengo la kuingia katika uchumi wa kati mwaka 2025 lakini kwa kasi ya Magufuli hilo sasa linawezekana mwakani 2020/21 iwapo tutaongeza uzalishaji kdg tu wa ndani.

Kupaa kwa Tanzania kuelekea kwenye Orodha ya mataifa haya yenye uchumi wa kati kunatokana ukuaji wa Pato la Taifa yaani GDP ambalo mpaka sasa limeendelea kukua kwa wastani wa asilimia 7 kwa mwaka kulinganisha na asilimia 6.8 katika mwaka 2017 (Chanzo: Kitabu cha Hali ya Uchumi, 2018)

Aidha, ukuaji huu wa uchumi unatokana na uimarikaji wa sera za fedha za kiuchumi za nchi kwa muda wa miaka minne mfululizo huku viashiria vya ukuaji vikionyesha Tanzania ikiendelea kufanya vizuri.

Mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa la Tanzania kwa mujibu wa takwimu za Benki kuu ya Dunia zinaonyesha ya kuwa hadi kufikai Disemba 2018, Tanzania ilifanikiwa kuingia kwenye kundi la nchi zenye Uchumi wa Kati. Aidha, hali ya uchumi kidunia nayo imeendelea kuimarika na kupanda huku GDP ya dunia nzima ikifikia Dola za Marekani Bilioni 11,296.783 mwaka 2018 kutoka Dola za marekani bilioni 10,768.963 mwaka 2017.

Hapa ni mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa kwa mujibu wa ripoti za Benki ya Dunia kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018.
Mwaka 2015 pato la taifa kwa maana ya GDP lilikuwa dola bilioni 47.379; mwaka 2016 dola bilioni 49.774, mwaka 2017 dola bilioni 53.321 na mwaka 2018 ilipanda hadi kufikia dola bilioni 57.437.

Kwa upande mwingine, Pato la MTU mmoja limeendelea kukua mwaka hadi mwaka ambapo mwaka 2015 ilikuwa dola 947.933, mwaka 2016 dola 966.475, mwaka 2017 dola 1004.841 na mwaka 2018 ikapanda hadi kufikia dola 1050.675.
(Chanzo: GDP per capita (current US$) - Tanzania | Data)

Kwa upande mwingine takwimu za Benki ya Dunia zinaonyesha ya kuwa ukuaji wa pato la taifa linatokana na wazawa (watanzania) yaani GNI limeendelea kuimarika na kukua kwa kasi ya asilimia 3.595 katika mwaka 2017.

Kwa upande mwingine kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS,2019) kiwango cha umasikini nchini Tanzania kimpungua kutoka asilimia 28.2 mwaka 2012/13 hadi kufikia asilimia 26.4 katika mwaka 2017/18; huku umasikini wa chakula ukipoungua pia kutoka asilimia 9.7 mwaka 2012/13 hadi asilimia 8 mwaka 2017/18. Kushuka huku kwa viwango vya umasikini kunaonyesha namna ambavyo Matokeo ya ukuaji wa uchumi unawafikia watanzania waliochini.

Aidha mambo yaliyopelekea ukuaji wa uchumi wa Tanzani ambayo yanatazamiwa kuipa Tanzania nafasi kuwa miongoni mwa Orodha ya mataifa yenye uchumi wa Kati yanajikita katika misingi ya ongezeko la uzalishaji na ukuaji wa baishara na huduma nchini huku ikijumuisha mambo yafuatayo;
1. Kwa mujibu wa Ripoti ya IMF (2019) bei za soko la bidhaa na huduma zilizozalishwa nchini yaani GDP at Current Price au kwa maneno mengine Nominal GDP limeendelea kukua kuanzia mwaka 2015/16 hadi 2018/19 huku makadirio ya miaka ya mbele yakionyesha pato la taifa liataendelea kukua zaidi.

Mathalani, mnamo mwaka 2015/16 pato la taifa (Nominal GDP) lilifikia shilingi za kitanzania trilioni 101.4, mwaka 2016/17 lilikuwa ni shilingi trilioni 114 huku mwaka 2018/19 lilifika shilingi za kitanzania trilioni 139. Ripoti ya IMF (2019) inaonyesha ya kuwa kwa muda wote huu pato la taifa kwa kwa tasiri ya Nominal GDP katika mwaka 2018/19 limeongezeka kwa asilimia 37.08 ukilinganisha na pato la taif akwa kipindi kama hicho mwaka 2015/16.

Ukuaji wa ujazi wa fedha wa tafsiri pana zaidi kwa lugha ya kitaalamu *M3* umekuwa ukipanda kwa muda wa miaka mitatu ambapo Disemba 2016 ilifikia shilingi trilioni 22.9, Disemba 2017 shilingi trilioni 24.7 na Disemba 2018 shilingi trilioni 25.8 huku makadirio ya IMF yakionyesha kuwa ukuaji huu utaongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 28.5 mwisho wa mwaka 2019 ambao ni sawa na ukuaji wa asilimia 10.5

Aidha ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi unatarajiwa kuendelea kukua zaidi kutoka asilimia 4.0 Juni mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 9.1 Disemba mwaka 2019 ambalo ni sawa na ongezo la ukuaji kwa zaidi ya asilimia 127. Ukuaji huu unamaanisha hali ya Mikopo kwenye sekta binafsi imeanza kuimarika zaidi

2. Ongezeko la biashara nchini ambalo linadhihirishwa na ongezeko kubwa la kufunguliwa na kusailiwa kwa makampuni nchini toka kuingia kwa serikali ya awamu ya tano ambapo mpaka sasa jumla ya kampuni na biashara mpya 740,715 zimesajiliwa nchini.

Kati ya hizo BRELA imesajili jumla ya kampuni 30,716; huku majina ya biashara mpya 54,657 lakini pia leseni mpya za biashara zilizokwishatolewa na mamlaka za serikali za mitaa ni 655,342.

3. Uimarikaji wa Sekta ya Utalii nchini inayoendana na ongezeko kubwa la watalii. Mathalani mwaka 2018, Mapato yatokanayo na Utalii yalikuwa kwa asilimia 7.13 kulinganisha na mapato yalikusanywa katika kipindi kama hiko mwaka 2017. Ukuaji huu ni sawa na makusanyo ya Dola za marekani bilioni 2.43 huku watalii wakifikia milioni 1.49 kulinganisha na watalii milioni 1.33 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 huku mwaka 2016 watalii walikuwa milioni 1.2.
(Chanzo: Tanzania Tourism Revenues and Arrivals Up in 2018 - TanzaniaInvest)

Aidha soko kubwa la utalii kwa nchi yetu limeendela kuwa ni Nchi za Kiafrika, Ulaya na Marekani. Kazi kubwa inayoendelea kufanywa inapelekea kufungua masoko ya utalii kwenye ukanda wa bara la Asia ambao utapelekea ongezeko la watalii na makusanyo katika mwaka wa fedha wa 2019/20 hivyo kuendelea kuinua pato la Taifa.

4. Nakisi ya urari wa biashara ya bidhaa, huduma na uhamisho wa mali na nchi za nje yaani Current account deficit ulishuka kwa asilimia 3.3 na kwa mujibu wa IMF(2019) huku mwendo huu ulitokana na kuwepo kwa mazingira mazuri ya biashara nchini pamoja na kuendelea kuimarika kwa sekta ya usafirshaji wa bidhaa, huduma na mali nje ya nchi.

Kwa kipindi cha miaka mitatu akiba ya fedha za kigeni nchini imeongezeka hadi kufikia dola za kimarekani bilioni 5. Ripoti ya IMF (2019), mapato ya Tanzania yamekuwa kwa asilimia 57.5 kutoka mwaka 2015 hadi 2019 ikiwa ni kiwango kikubwa kulinganisha na takwimu kutoka kwenye taarifa za IMF kwa mataifa mengine ya Afrika Mashariki.

5. Kwa muda wa miaka minne pekee tayari jumla ya wiwanda vipya 3,500 vimefunguliwa nchi nzima huku uwekezaji mkubwa ukiendelea kufanywa na serikali kwenye miradi mikubwa mbalimbali ambayo ni chachu ya ukuaji wa uchumi ncihi.

Mwaka 2015/16 jumla ya shilingi trilioni 4.3 zilitumika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo lakini kufika mwaka 2017/18 serikali iliongeza matumizi kwenye miradi ya Maendeleo na kufikisha Matumizi ya Jumla ya shilingi 7.6 huku mwaka 2018/19 serikali ilipanua zaidi na kutumia trilioni 9.3.

Ongezeko la Matumizi ya serikali kwenye miradi ya Maendeleo yanatoa mwanga katika kuelekea kwenye ujenzi wa miundombinu bora ili kuhakikisha tunaelekea kwenye taifa lenye uchumi imara; matumizi haya yanaendana na sera za serikali kuhakikisha ya kuwa miradi ya maendeleo inatumia asilimia 40 ya bajeti.

6. Miradi mipya yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 13.8 sawa na zaidi ya shilingi za kitanzania trililioni 30 inatekelezwa ambayo imeendana na utengenezaji wa ajira zaidi ya 107,908


7. Jumla ya miradi 897 imesajiliwa kwa kipindi cha miaka minne huku miradi inayomilikiwa na watanzania wazawa ni 313 sawa na asilimia 34.9; miradi inayomilikiwa na wageni ni 377 sawa na asilimia 42 na miradi inayotekelezwa kwa ubia baina ya watanzania na wageni ni 207 ambayo ni sawa na asilimia 23.1.


8. Kuwekwa kwa rekodi mpya ya makusanyo kutokana katika wizara ya Madini kufuatia uanzishwaji wa masoko ya madini nchini. Rekodi mpya imewekwa ambapo serikali imekusanya jumla ya shilingi bilioni 311.33 ambayo ni kiwango cha juu kabisa toka uhuru wa nchi yetu. Rekodi hii inashiria kuimalika kwa sekta ya madini pamoja na urahisi wa ufanyaji wa baishara ya madini nchini kupitia mfumo wa masoko ya madini


9. Ukuaji na uimarikaji wa biashara nje ya nchi ambapo mwaka 2018, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 999.34 kwenye soko la nchi za jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika yaani SADC ulikinganisha na dola za kimarekani bilioni 877.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2017 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 13.84


10. Aidha, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 447.5 kwenye soko la jumuiya ya Afrika Mashariki katika mwaka 2018 ikiwa ni kiasi kikubwa zaidi ya kile cha dola za marekani bilioni 349.6 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 hii ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 28.


11. Ukuaji wa Pato la Taifa kwa kutumia bei ya kizio ya mwaka 2015 umeendelea kukua kwa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 6.8 mwaka 2017


12. Hadi kufikia mwezi Aprili 2019, mfumuko wa bei ulikuwa asilimia 3.2 ikilinganishwa na asilimia 3.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2018. Hii inatoa fursa kwa wafanyabishara kuendelea kuwekeza na kuwa na imani kubwa kwenye fedha wanazowekeza kwani hazitapoteza thamani kutokana na mfumuko wa bei.


13. Uwekezaji mkubwa wa uzalishaji wa umeme katika bonde la Stigler unaotarajiwa kuzalisha MegaWat 2100 pamoja na utekelezaji wa miradi mingine ya Kinyerezi I, II, III na IV utafanya gharama za umeme kushua zaidi na hivyo kupunguza kabisa gharama za uzalishaji kwenye Viwanda vyetu na mwisho bidhaa zinazozalishwa ndani kuwa na uwezo wa kushindana na zile zinazozalishwa nje na kuuzwa kwa bei nafuu zaidi.


Aidha mradi huu mkubwa wa umeme utachochea pia ukuaji wa sekta ziziso rasmi kwa kuchochea ukuaji wa biashara na ajira huku fedha zote zikiwa ni kodi za watanzania.


14. Hadi Hadi kufikia Aprili, 2019 kiasi cha shilingi trilioni 1.06 kimelipwa sawa na asilimia 75.18 ya lengo hii imekuwa chachu ya Maendeleo ya biashara kwa kuongeza fedha kwenye mzunguko na kusaidia kuimarisha biashara kwa makampuni na Taasisi mbalimbali za serikali ambazo mwisho hupelekea kuchochea ukuaji wa viashiria vingine vya uchumi (multiplier effects)


15. Kupungua kwa kiwango cha Umaskini wa mahitaji ya msingi kutoka asilimia 28.2 mwaka 2011/12 hadi asilimia 26.4 mwaka 2017/18. Kiwango cha umaskini wa chakula kimepungua kutoka asilimia 9.7 mwaka 2011/12 na kufikia asilimia 8.0 mwaka 2017/18. Kupungua huku ni dalili ya ongezeko la hali za maisha na ukuaji wa sekta mbalimbali nchini kunakotoa fursa kwa wafanyabisahra kuweza kutumia nafasi hiyo kuweza kufanikiwa zaidi.


Aidha, upimaji wa ukuaji wa Uchumi kwa pato la mtu mmoja kwa kutumia PPP unaonyesha ya kuwa Tanzania imeendela kukua kwa kipindi chote cha miaka minne huku pato la mtu mmoja likiimarika hadi kufikia Dola za Marekani 2,683.30 mwaka 2017 ambao ni ukuaji wa zaidi ya asilimia 48 kulinganisha na udumavu wa pato hilo kuanzia mwaka 1990 hadi 2016 ambalo lilikuwa ni Dola za marekani 1811.23 huku kiwango cha chini kabisa kuwahi kurekodiwa ni Dola za marekani 1361.40 mwaka 1994
(Chanzo: Tanzania GDP per capita PPP)

Juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya Awamu ya Tano zinaifanya Tanzania kupiga hatua kwa haraka na kuipa nafasi ya kuingia kwenye mataifa yenye hadhi ya Uchumi wa kati ikiwa ni miaka sita (6) kabla ya malengo yaliyoainishwa kwenye Kitabu cha Dira ya Maendeleo ya Taifa (TDV - 2025).

*USHAURI NA MAONI*
Kutokana na Benki ya Dunia kutumia GNI kama kipimio cha taifa moja kupanda daraja moja la uchumi kwenda jingine nchi yetu inayohaja y akuhakikisha ukuaji wa Uchumi wa Tanzania uchangiwe kwa sehemu kubwa na wazawa kwani kipimo cha GNI hujumuish amapato yatokanyo nauzalishaji uliofanywa na wazawa tu ndani na nje ya nchi.

Tayari Rais Magufuli ameanza jambo hili kwa kuwaita wafanyabaishara wazawa nchi nzima na kuzungumza nao ilikutoa mwanga wa kuweza kukuza biashara zao na kuongeza kipato cha wazawa.

_*“TUKIKUZA GNI LAZIMA GDP ITAKUA LAKINI TUKIJIKITA KATIKA KUKUZA GDP PEKEE SIO LAZIMA GNI KUKUA”*_

Jambo la pili ambalo linatakiwa kufanyika ni kuhakikisha tunafanya sensa ya watanzania wote wanaoishi nje ya Tanzania ili kuweza kubaini kazi zao na vipato vyao ambavyo itasaidia kuwa na taarifa sahihi ya ukuaji au ongezeko la GNI.

GNI yaani Gross National Income ni kipimo cha kipato cha Nchi husika. Hujumuisha vipato (income) ambazo wananchi/raia huingiza wakiwa ndani au nje ya Nchi. Jumla ya vipato vyao ndio huunda GNI. Zamani takwimu za dunia zilifanywa kwa kutumia GNP lakini kwa miaka ya hivi karibuni tumehamia kwenye GNI.

Tofauti iliyopo kati ya Kenya na Tanzania hata Kenya kuwa na GNI kubwa ni jitihada a serikali ya Kenya kuwasaidia wafanyabisahra wake kuweza kuwekeza kwenye nchi nyingine yaani kukuza biashara za wazawa lakini pia kuhakikisha inaweza kuwabaini wakenya wote walioko nje ya yao na kuwa na taarifa sahihi za vipato vyao. Hivyo tunayo nafasi kama nchi kuweza kujifunza na kupiga hatua kubwa zaidi ya Kenya kwani Tanzania ina rasilimali za kutosha na mazingira makubwa ya kuendelea zaidi ya Kenya.

Wizara ya Mambo ya Nje ikishirikiana na Taasisi nyingine inayo nafasi ya kuhakikisha inaratibu zoezi la kuwatambua watanzania wote walioko ne ya nchi kupitia majukwaa yao mbalimbali ili kuweza kuhamasisha watu kuwa wazlendo na kuwa tayari kushiriki hsughuli za Maendeleo zinaozuhusu nchi yao huku wakiwa huko waliko. Mwaka 2018, Benki Kuu ya Kenya ilitangaza ya kuwa fedha kutoka nje ya nchi (Remmitance) kwenda kwa ndugu na marafiki nchini Kenya zilifikia shilingi za kitanzania Trilioni 4.418 huku katika kipindi kama hicho nchini Tanzania BOT ilitangaza fedha zilizoingia kama Remittance zilikuwa ni Shilingi Trilioni 1 pekee.

Aidha, Juhudi za Rais Magufuli kufungua milango ya ajira kwa watanzania kwenda kufundisha nje ya nchi ni njia mojawapo ya serikali kuweza kupanua wigo wa GNI ambayo ndio itafanya nchi yetu kuweza kupanda zaidi kwenye Orodha ya Mataifa yenye uchumi wa Kati.
[/QUOTE]
 
*MAGUFULI KUVUNJA REKODI, TANZANIA KUINGIA UCHUMI WA KATI 2021, MIAKA MINNE KABLA YA LENGO LA 2025*

*Felician Andrew*
*Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro*
*+255 673 848428*

Katika kipindi cha miaka minne pekee ya utumishi wa Rais Magufuli amefanikiwa kuifanya Tanzana kuwa miongoni mwa nchi ambazo zinakuwa kwa kasi kiuchumi barani Afrika huku katika ukanda wa Afrika Mashariki tukiwa nyuma ya Rwanda.

Kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (2019) GNI ya Tanzania imekua hadi kufikia dola 1,020 katika mwaka 2018 kulinganisha na dola 970 katika mwaka 2017 huku kiwango cha chini kilikuwa ni dola 200 mwaka 1990. Kiwango hiki kinaifanya Tanzania kukosa dola 6 tu sawa na asilimia 0.5 ili kuweza kuingia rasmi kwenye orodha ya nchi za Uchumi wa Kati duniani ambapo kiwango cha chini ni dola 1,026.

Hii inaifanya Tanzania kufikisha asilimia 99.5 kuweza kuingia kwenye kundi la nchi za Uchumi wa Kati. Hatua hii ni kubwa kulinganisha na malengo yaliyomo kwenye Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025.

Mafanikio haya ni makubwa sana kwa kipindi kifupi cha utumishi wa Rais Magufuli na serikali ya awamu ya Tano.

Kupanda kwa Tanzania katika viwango vya kimataifa kunafuatia kukua kwa pato la taifa kwa mtu mmoja kutoka Dola za kimarekani 947 mwaka 2015 na kulipandisha hadi 1,044 mwaka 2017/18 na baadae kufikia dola za kimarekani 1,090 katika mwaka wa fedha wa 2018/19 ukiwa ni ukuaji wa asilimia 4.4 kwa mwaka.

Kupanda huku kuinapa Tanzania nafasi ya kuweza kuungana na Kenya kwenye Orodha ya Mataifa ya Afrika Mashariki yaliyomo katika kundi la Uchumi wa Kati katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Tanzania ina lengo la kuingia katika uchumi wa kati mwaka 2025 lakini kwa kasi ya Magufuli hilo sasa linawezekana mwakani 2020/21 iwapo tutaongeza uzalishaji kdg tu wa ndani.

Kupaa kwa Tanzania kuelekea kwenye Orodha ya mataifa haya yenye uchumi wa kati kunatokana ukuaji wa Pato la Taifa yaani GDP ambalo mpaka sasa limeendelea kukua kwa wastani wa asilimia 7 kwa mwaka kulinganisha na asilimia 6.8 katika mwaka 2017 (Chanzo: Kitabu cha Hali ya Uchumi, 2018)

Aidha, ukuaji huu wa uchumi unatokana na uimarikaji wa sera za fedha za kiuchumi za nchi kwa muda wa miaka minne mfululizo huku viashiria vya ukuaji vikionyesha Tanzania ikiendelea kufanya vizuri.

Mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa la Tanzania kwa mujibu wa takwimu za Benki kuu ya Dunia zinaonyesha ya kuwa hadi kufikai Disemba 2018, Tanzania ilifanikiwa kuingia kwenye kundi la nchi zenye Uchumi wa Kati. Aidha, hali ya uchumi kidunia nayo imeendelea kuimarika na kupanda huku GDP ya dunia nzima ikifikia Dola za Marekani Bilioni 11,296.783 mwaka 2018 kutoka Dola za marekani bilioni 10,768.963 mwaka 2017.

Hapa ni mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa kwa mujibu wa ripoti za Benki ya Dunia kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018.
Mwaka 2015 pato la taifa kwa maana ya GDP lilikuwa dola bilioni 47.379; mwaka 2016 dola bilioni 49.774, mwaka 2017 dola bilioni 53.321 na mwaka 2018 ilipanda hadi kufikia dola bilioni 57.437.

Kwa upande mwingine, Pato la MTU mmoja limeendelea kukua mwaka hadi mwaka ambapo mwaka 2015 ilikuwa dola 947.933, mwaka 2016 dola 966.475, mwaka 2017 dola 1004.841 na mwaka 2018 ikapanda hadi kufikia dola 1050.675.
(Chanzo: GDP per capita (current US$) - Tanzania | Data)

Kwa upande mwingine takwimu za Benki ya Dunia zinaonyesha ya kuwa ukuaji wa pato la taifa linatokana na wazawa (watanzania) yaani GNI limeendelea kuimarika na kukua kwa kasi ya asilimia 3.595 katika mwaka 2017.

Kwa upande mwingine kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS,2019) kiwango cha umasikini nchini Tanzania kimpungua kutoka asilimia 28.2 mwaka 2012/13 hadi kufikia asilimia 26.4 katika mwaka 2017/18; huku umasikini wa chakula ukipoungua pia kutoka asilimia 9.7 mwaka 2012/13 hadi asilimia 8 mwaka 2017/18. Kushuka huku kwa viwango vya umasikini kunaonyesha namna ambavyo Matokeo ya ukuaji wa uchumi unawafikia watanzania waliochini.

Aidha mambo yaliyopelekea ukuaji wa uchumi wa Tanzani ambayo yanatazamiwa kuipa Tanzania nafasi kuwa miongoni mwa Orodha ya mataifa yenye uchumi wa Kati yanajikita katika misingi ya ongezeko la uzalishaji na ukuaji wa baishara na huduma nchini huku ikijumuisha mambo yafuatayo;
1. Kwa mujibu wa Ripoti ya IMF (2019) bei za soko la bidhaa na huduma zilizozalishwa nchini yaani GDP at Current Price au kwa maneno mengine Nominal GDP limeendelea kukua kuanzia mwaka 2015/16 hadi 2018/19 huku makadirio ya miaka ya mbele yakionyesha pato la taifa liataendelea kukua zaidi.

Mathalani, mnamo mwaka 2015/16 pato la taifa (Nominal GDP) lilifikia shilingi za kitanzania trilioni 101.4, mwaka 2016/17 lilikuwa ni shilingi trilioni 114 huku mwaka 2018/19 lilifika shilingi za kitanzania trilioni 139. Ripoti ya IMF (2019) inaonyesha ya kuwa kwa muda wote huu pato la taifa kwa kwa tasiri ya Nominal GDP katika mwaka 2018/19 limeongezeka kwa asilimia 37.08 ukilinganisha na pato la taif akwa kipindi kama hicho mwaka 2015/16.

Ukuaji wa ujazi wa fedha wa tafsiri pana zaidi kwa lugha ya kitaalamu *M3* umekuwa ukipanda kwa muda wa miaka mitatu ambapo Disemba 2016 ilifikia shilingi trilioni 22.9, Disemba 2017 shilingi trilioni 24.7 na Disemba 2018 shilingi trilioni 25.8 huku makadirio ya IMF yakionyesha kuwa ukuaji huu utaongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 28.5 mwisho wa mwaka 2019 ambao ni sawa na ukuaji wa asilimia 10.5

Aidha ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi unatarajiwa kuendelea kukua zaidi kutoka asilimia 4.0 Juni mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 9.1 Disemba mwaka 2019 ambalo ni sawa na ongezo la ukuaji kwa zaidi ya asilimia 127. Ukuaji huu unamaanisha hali ya Mikopo kwenye sekta binafsi imeanza kuimarika zaidi

2. Ongezeko la biashara nchini ambalo linadhihirishwa na ongezeko kubwa la kufunguliwa na kusailiwa kwa makampuni nchini toka kuingia kwa serikali ya awamu ya tano ambapo mpaka sasa jumla ya kampuni na biashara mpya 740,715 zimesajiliwa nchini.

Kati ya hizo BRELA imesajili jumla ya kampuni 30,716; huku majina ya biashara mpya 54,657 lakini pia leseni mpya za biashara zilizokwishatolewa na mamlaka za serikali za mitaa ni 655,342.

3. Uimarikaji wa Sekta ya Utalii nchini inayoendana na ongezeko kubwa la watalii. Mathalani mwaka 2018, Mapato yatokanayo na Utalii yalikuwa kwa asilimia 7.13 kulinganisha na mapato yalikusanywa katika kipindi kama hiko mwaka 2017. Ukuaji huu ni sawa na makusanyo ya Dola za marekani bilioni 2.43 huku watalii wakifikia milioni 1.49 kulinganisha na watalii milioni 1.33 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 huku mwaka 2016 watalii walikuwa milioni 1.2.
(Chanzo: Tanzania Tourism Revenues and Arrivals Up in 2018 - TanzaniaInvest)

Aidha soko kubwa la utalii kwa nchi yetu limeendela kuwa ni Nchi za Kiafrika, Ulaya na Marekani. Kazi kubwa inayoendelea kufanywa inapelekea kufungua masoko ya utalii kwenye ukanda wa bara la Asia ambao utapelekea ongezeko la watalii na makusanyo katika mwaka wa fedha wa 2019/20 hivyo kuendelea kuinua pato la Taifa.

4. Nakisi ya urari wa biashara ya bidhaa, huduma na uhamisho wa mali na nchi za nje yaani Current account deficit ulishuka kwa asilimia 3.3 na kwa mujibu wa IMF(2019) huku mwendo huu ulitokana na kuwepo kwa mazingira mazuri ya biashara nchini pamoja na kuendelea kuimarika kwa sekta ya usafirshaji wa bidhaa, huduma na mali nje ya nchi.

Kwa kipindi cha miaka mitatu akiba ya fedha za kigeni nchini imeongezeka hadi kufikia dola za kimarekani bilioni 5. Ripoti ya IMF (2019), mapato ya Tanzania yamekuwa kwa asilimia 57.5 kutoka mwaka 2015 hadi 2019 ikiwa ni kiwango kikubwa kulinganisha na takwimu kutoka kwenye taarifa za IMF kwa mataifa mengine ya Afrika Mashariki.

5. Kwa muda wa miaka minne pekee tayari jumla ya wiwanda vipya 3,500 vimefunguliwa nchi nzima huku uwekezaji mkubwa ukiendelea kufanywa na serikali kwenye miradi mikubwa mbalimbali ambayo ni chachu ya ukuaji wa uchumi ncihi.

Mwaka 2015/16 jumla ya shilingi trilioni 4.3 zilitumika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo lakini kufika mwaka 2017/18 serikali iliongeza matumizi kwenye miradi ya Maendeleo na kufikisha Matumizi ya Jumla ya shilingi 7.6 huku mwaka 2018/19 serikali ilipanua zaidi na kutumia trilioni 9.3.

Ongezeko la Matumizi ya serikali kwenye miradi ya Maendeleo yanatoa mwanga katika kuelekea kwenye ujenzi wa miundombinu bora ili kuhakikisha tunaelekea kwenye taifa lenye uchumi imara; matumizi haya yanaendana na sera za serikali kuhakikisha ya kuwa miradi ya maendeleo inatumia asilimia 40 ya bajeti.

6. Miradi mipya yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 13.8 sawa na zaidi ya shilingi za kitanzania trililioni 30 inatekelezwa ambayo imeendana na utengenezaji wa ajira zaidi ya 107,908


7. Jumla ya miradi 897 imesajiliwa kwa kipindi cha miaka minne huku miradi inayomilikiwa na watanzania wazawa ni 313 sawa na asilimia 34.9; miradi inayomilikiwa na wageni ni 377 sawa na asilimia 42 na miradi inayotekelezwa kwa ubia baina ya watanzania na wageni ni 207 ambayo ni sawa na asilimia 23.1.


8. Kuwekwa kwa rekodi mpya ya makusanyo kutokana katika wizara ya Madini kufuatia uanzishwaji wa masoko ya madini nchini. Rekodi mpya imewekwa ambapo serikali imekusanya jumla ya shilingi bilioni 311.33 ambayo ni kiwango cha juu kabisa toka uhuru wa nchi yetu. Rekodi hii inashiria kuimalika kwa sekta ya madini pamoja na urahisi wa ufanyaji wa baishara ya madini nchini kupitia mfumo wa masoko ya madini


9. Ukuaji na uimarikaji wa biashara nje ya nchi ambapo mwaka 2018, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 999.34 kwenye soko la nchi za jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika yaani SADC ulikinganisha na dola za kimarekani bilioni 877.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2017 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 13.84


10. Aidha, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 447.5 kwenye soko la jumuiya ya Afrika Mashariki katika mwaka 2018 ikiwa ni kiasi kikubwa zaidi ya kile cha dola za marekani bilioni 349.6 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 hii ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 28.


11. Ukuaji wa Pato la Taifa kwa kutumia bei ya kizio ya mwaka 2015 umeendelea kukua kwa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 6.8 mwaka 2017


12. Hadi kufikia mwezi Aprili 2019, mfumuko wa bei ulikuwa asilimia 3.2 ikilinganishwa na asilimia 3.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2018. Hii inatoa fursa kwa wafanyabishara kuendelea kuwekeza na kuwa na imani kubwa kwenye fedha wanazowekeza kwani hazitapoteza thamani kutokana na mfumuko wa bei.


13. Uwekezaji mkubwa wa uzalishaji wa umeme katika bonde la Stigler unaotarajiwa kuzalisha MegaWat 2100 pamoja na utekelezaji wa miradi mingine ya Kinyerezi I, II, III na IV utafanya gharama za umeme kushua zaidi na hivyo kupunguza kabisa gharama za uzalishaji kwenye Viwanda vyetu na mwisho bidhaa zinazozalishwa ndani kuwa na uwezo wa kushindana na zile zinazozalishwa nje na kuuzwa kwa bei nafuu zaidi.


Aidha mradi huu mkubwa wa umeme utachochea pia ukuaji wa sekta ziziso rasmi kwa kuchochea ukuaji wa biashara na ajira huku fedha zote zikiwa ni kodi za watanzania.


14. Hadi Hadi kufikia Aprili, 2019 kiasi cha shilingi trilioni 1.06 kimelipwa sawa na asilimia 75.18 ya lengo hii imekuwa chachu ya Maendeleo ya biashara kwa kuongeza fedha kwenye mzunguko na kusaidia kuimarisha biashara kwa makampuni na Taasisi mbalimbali za serikali ambazo mwisho hupelekea kuchochea ukuaji wa viashiria vingine vya uchumi (multiplier effects)


15. Kupungua kwa kiwango cha Umaskini wa mahitaji ya msingi kutoka asilimia 28.2 mwaka 2011/12 hadi asilimia 26.4 mwaka 2017/18. Kiwango cha umaskini wa chakula kimepungua kutoka asilimia 9.7 mwaka 2011/12 na kufikia asilimia 8.0 mwaka 2017/18. Kupungua huku ni dalili ya ongezeko la hali za maisha na ukuaji wa sekta mbalimbali nchini kunakotoa fursa kwa wafanyabisahra kuweza kutumia nafasi hiyo kuweza kufanikiwa zaidi.


Aidha, upimaji wa ukuaji wa Uchumi kwa pato la mtu mmoja kwa kutumia PPP unaonyesha ya kuwa Tanzania imeendela kukua kwa kipindi chote cha miaka minne huku pato la mtu mmoja likiimarika hadi kufikia Dola za Marekani 2,683.30 mwaka 2017 ambao ni ukuaji wa zaidi ya asilimia 48 kulinganisha na udumavu wa pato hilo kuanzia mwaka 1990 hadi 2016 ambalo lilikuwa ni Dola za marekani 1811.23 huku kiwango cha chini kabisa kuwahi kurekodiwa ni Dola za marekani 1361.40 mwaka 1994
(Chanzo: Tanzania GDP per capita PPP)

Juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya Awamu ya Tano zinaifanya Tanzania kupiga hatua kwa haraka na kuipa nafasi ya kuingia kwenye mataifa yenye hadhi ya Uchumi wa kati ikiwa ni miaka sita (6) kabla ya malengo yaliyoainishwa kwenye Kitabu cha Dira ya Maendeleo ya Taifa (TDV - 2025).

*USHAURI NA MAONI*
Kutokana na Benki ya Dunia kutumia GNI kama kipimio cha taifa moja kupanda daraja moja la uchumi kwenda jingine nchi yetu inayohaja y akuhakikisha ukuaji wa Uchumi wa Tanzania uchangiwe kwa sehemu kubwa na wazawa kwani kipimo cha GNI hujumuish amapato yatokanyo nauzalishaji uliofanywa na wazawa tu ndani na nje ya nchi.

Tayari Rais Magufuli ameanza jambo hili kwa kuwaita wafanyabaishara wazawa nchi nzima na kuzungumza nao ilikutoa mwanga wa kuweza kukuza biashara zao na kuongeza kipato cha wazawa.

_*“TUKIKUZA GNI LAZIMA GDP ITAKUA LAKINI TUKIJIKITA KATIKA KUKUZA GDP PEKEE SIO LAZIMA GNI KUKUA”*_

Jambo la pili ambalo linatakiwa kufanyika ni kuhakikisha tunafanya sensa ya watanzania wote wanaoishi nje ya Tanzania ili kuweza kubaini kazi zao na vipato vyao ambavyo itasaidia kuwa na taarifa sahihi ya ukuaji au ongezeko la GNI.

GNI yaani Gross National Income ni kipimo cha kipato cha Nchi husika. Hujumuisha vipato (income) ambazo wananchi/raia huingiza wakiwa ndani au nje ya Nchi. Jumla ya vipato vyao ndio huunda GNI. Zamani takwimu za dunia zilifanywa kwa kutumia GNP lakini kwa miaka ya hivi karibuni tumehamia kwenye GNI.

Tofauti iliyopo kati ya Kenya na Tanzania hata Kenya kuwa na GNI kubwa ni jitihada a serikali ya Kenya kuwasaidia wafanyabisahra wake kuweza kuwekeza kwenye nchi nyingine yaani kukuza biashara za wazawa lakini pia kuhakikisha inaweza kuwabaini wakenya wote walioko nje ya yao na kuwa na taarifa sahihi za vipato vyao. Hivyo tunayo nafasi kama nchi kuweza kujifunza na kupiga hatua kubwa zaidi ya Kenya kwani Tanzania ina rasilimali za kutosha na mazingira makubwa ya kuendelea zaidi ya Kenya.

Wizara ya Mambo ya Nje ikishirikiana na Taasisi nyingine inayo nafasi ya kuhakikisha inaratibu zoezi la kuwatambua watanzania wote walioko ne ya nchi kupitia majukwaa yao mbalimbali ili kuweza kuhamasisha watu kuwa wazlendo na kuwa tayari kushiriki hsughuli za Maendeleo zinaozuhusu nchi yao huku wakiwa huko waliko. Mwaka 2018, Benki Kuu ya Kenya ilitangaza ya kuwa fedha kutoka nje ya nchi (Remmitance) kwenda kwa ndugu na marafiki nchini Kenya zilifikia shilingi za kitanzania Trilioni 4.418 huku katika kipindi kama hicho nchini Tanzania BOT ilitangaza fedha zilizoingia kama Remittance zilikuwa ni Shilingi Trilioni 1 pekee.

Aidha, Juhudi za Rais Magufuli kufungua milango ya ajira kwa watanzania kwenda kufundisha nje ya nchi ni njia mojawapo ya serikali kuweza kupanua wigo wa GNI ambayo ndio itafanya nchi yetu kuweza kupanda zaidi kwenye Orodha ya Mataifa yenye uchumi wa Kati.
Umefuta Akira kwa style hiyo ni njia hatari imechagua
 
BADO UNAAMINI NDOTO YAKO




*MAGUFULI KUVUNJA REKODI, TANZANIA KUINGIA UCHUMI WA KATI 2021, MIAKA MINNE KABLA YA LENGO LA 2025*

*Felician Andrew*
*Chuo Kikuu Mzumbe, Morogoro*
*+255 673 848428*

Katika kipindi cha miaka minne pekee ya utumishi wa Rais Magufuli amefanikiwa kuifanya Tanzana kuwa miongoni mwa nchi ambazo zinakuwa kwa kasi kiuchumi barani Afrika huku katika ukanda wa Afrika Mashariki tukiwa nyuma ya Rwanda.

Kwa mujibu wa taarifa za Benki ya Dunia (2019) GNI ya Tanzania imekua hadi kufikia dola 1,020 katika mwaka 2018 kulinganisha na dola 970 katika mwaka 2017 huku kiwango cha chini kilikuwa ni dola 200 mwaka 1990. Kiwango hiki kinaifanya Tanzania kukosa dola 6 tu sawa na asilimia 0.5 ili kuweza kuingia rasmi kwenye orodha ya nchi za Uchumi wa Kati duniani ambapo kiwango cha chini ni dola 1,026.

Hii inaifanya Tanzania kufikisha asilimia 99.5 kuweza kuingia kwenye kundi la nchi za Uchumi wa Kati. Hatua hii ni kubwa kulinganisha na malengo yaliyomo kwenye Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025.

Mafanikio haya ni makubwa sana kwa kipindi kifupi cha utumishi wa Rais Magufuli na serikali ya awamu ya Tano.

Kupanda kwa Tanzania katika viwango vya kimataifa kunafuatia kukua kwa pato la taifa kwa mtu mmoja kutoka Dola za kimarekani 947 mwaka 2015 na kulipandisha hadi 1,044 mwaka 2017/18 na baadae kufikia dola za kimarekani 1,090 katika mwaka wa fedha wa 2018/19 ukiwa ni ukuaji wa asilimia 4.4 kwa mwaka.

Kupanda huku kuinapa Tanzania nafasi ya kuweza kuungana na Kenya kwenye Orodha ya Mataifa ya Afrika Mashariki yaliyomo katika kundi la Uchumi wa Kati katika ukanda wa Afrika Mashariki.

Tanzania ina lengo la kuingia katika uchumi wa kati mwaka 2025 lakini kwa kasi ya Magufuli hilo sasa linawezekana mwakani 2020/21 iwapo tutaongeza uzalishaji kdg tu wa ndani.

Kupaa kwa Tanzania kuelekea kwenye Orodha ya mataifa haya yenye uchumi wa kati kunatokana ukuaji wa Pato la Taifa yaani GDP ambalo mpaka sasa limeendelea kukua kwa wastani wa asilimia 7 kwa mwaka kulinganisha na asilimia 6.8 katika mwaka 2017 (Chanzo: Kitabu cha Hali ya Uchumi, 2018)

Aidha, ukuaji huu wa uchumi unatokana na uimarikaji wa sera za fedha za kiuchumi za nchi kwa muda wa miaka minne mfululizo huku viashiria vya ukuaji vikionyesha Tanzania ikiendelea kufanya vizuri.

Mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa la Tanzania kwa mujibu wa takwimu za Benki kuu ya Dunia zinaonyesha ya kuwa hadi kufikai Disemba 2018, Tanzania ilifanikiwa kuingia kwenye kundi la nchi zenye Uchumi wa Kati. Aidha, hali ya uchumi kidunia nayo imeendelea kuimarika na kupanda huku GDP ya dunia nzima ikifikia Dola za Marekani Bilioni 11,296.783 mwaka 2018 kutoka Dola za marekani bilioni 10,768.963 mwaka 2017.

Hapa ni mwenendo wa ukuaji wa pato la Taifa kwa mujibu wa ripoti za Benki ya Dunia kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018.
Mwaka 2015 pato la taifa kwa maana ya GDP lilikuwa dola bilioni 47.379; mwaka 2016 dola bilioni 49.774, mwaka 2017 dola bilioni 53.321 na mwaka 2018 ilipanda hadi kufikia dola bilioni 57.437.

Kwa upande mwingine, Pato la MTU mmoja limeendelea kukua mwaka hadi mwaka ambapo mwaka 2015 ilikuwa dola 947.933, mwaka 2016 dola 966.475, mwaka 2017 dola 1004.841 na mwaka 2018 ikapanda hadi kufikia dola 1050.675.
(Chanzo: GDP per capita (current US$) - Tanzania | Data)

Kwa upande mwingine takwimu za Benki ya Dunia zinaonyesha ya kuwa ukuaji wa pato la taifa linatokana na wazawa (watanzania) yaani GNI limeendelea kuimarika na kukua kwa kasi ya asilimia 3.595 katika mwaka 2017.

Kwa upande mwingine kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS,2019) kiwango cha umasikini nchini Tanzania kimpungua kutoka asilimia 28.2 mwaka 2012/13 hadi kufikia asilimia 26.4 katika mwaka 2017/18; huku umasikini wa chakula ukipoungua pia kutoka asilimia 9.7 mwaka 2012/13 hadi asilimia 8 mwaka 2017/18. Kushuka huku kwa viwango vya umasikini kunaonyesha namna ambavyo Matokeo ya ukuaji wa uchumi unawafikia watanzania waliochini.

Aidha mambo yaliyopelekea ukuaji wa uchumi wa Tanzani ambayo yanatazamiwa kuipa Tanzania nafasi kuwa miongoni mwa Orodha ya mataifa yenye uchumi wa Kati yanajikita katika misingi ya ongezeko la uzalishaji na ukuaji wa baishara na huduma nchini huku ikijumuisha mambo yafuatayo;
1. Kwa mujibu wa Ripoti ya IMF (2019) bei za soko la bidhaa na huduma zilizozalishwa nchini yaani GDP at Current Price au kwa maneno mengine Nominal GDP limeendelea kukua kuanzia mwaka 2015/16 hadi 2018/19 huku makadirio ya miaka ya mbele yakionyesha pato la taifa liataendelea kukua zaidi.

Mathalani, mnamo mwaka 2015/16 pato la taifa (Nominal GDP) lilifikia shilingi za kitanzania trilioni 101.4, mwaka 2016/17 lilikuwa ni shilingi trilioni 114 huku mwaka 2018/19 lilifika shilingi za kitanzania trilioni 139. Ripoti ya IMF (2019) inaonyesha ya kuwa kwa muda wote huu pato la taifa kwa kwa tasiri ya Nominal GDP katika mwaka 2018/19 limeongezeka kwa asilimia 37.08 ukilinganisha na pato la taif akwa kipindi kama hicho mwaka 2015/16.

Ukuaji wa ujazi wa fedha wa tafsiri pana zaidi kwa lugha ya kitaalamu *M3* umekuwa ukipanda kwa muda wa miaka mitatu ambapo Disemba 2016 ilifikia shilingi trilioni 22.9, Disemba 2017 shilingi trilioni 24.7 na Disemba 2018 shilingi trilioni 25.8 huku makadirio ya IMF yakionyesha kuwa ukuaji huu utaongezeka hadi kufikia shilingi trilioni 28.5 mwisho wa mwaka 2019 ambao ni sawa na ukuaji wa asilimia 10.5

Aidha ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi unatarajiwa kuendelea kukua zaidi kutoka asilimia 4.0 Juni mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 9.1 Disemba mwaka 2019 ambalo ni sawa na ongezo la ukuaji kwa zaidi ya asilimia 127. Ukuaji huu unamaanisha hali ya Mikopo kwenye sekta binafsi imeanza kuimarika zaidi

2. Ongezeko la biashara nchini ambalo linadhihirishwa na ongezeko kubwa la kufunguliwa na kusailiwa kwa makampuni nchini toka kuingia kwa serikali ya awamu ya tano ambapo mpaka sasa jumla ya kampuni na biashara mpya 740,715 zimesajiliwa nchini.

Kati ya hizo BRELA imesajili jumla ya kampuni 30,716; huku majina ya biashara mpya 54,657 lakini pia leseni mpya za biashara zilizokwishatolewa na mamlaka za serikali za mitaa ni 655,342.

3. Uimarikaji wa Sekta ya Utalii nchini inayoendana na ongezeko kubwa la watalii. Mathalani mwaka 2018, Mapato yatokanayo na Utalii yalikuwa kwa asilimia 7.13 kulinganisha na mapato yalikusanywa katika kipindi kama hiko mwaka 2017. Ukuaji huu ni sawa na makusanyo ya Dola za marekani bilioni 2.43 huku watalii wakifikia milioni 1.49 kulinganisha na watalii milioni 1.33 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 huku mwaka 2016 watalii walikuwa milioni 1.2.
(Chanzo: Tanzania Tourism Revenues and Arrivals Up in 2018 - TanzaniaInvest)

Aidha soko kubwa la utalii kwa nchi yetu limeendela kuwa ni Nchi za Kiafrika, Ulaya na Marekani. Kazi kubwa inayoendelea kufanywa inapelekea kufungua masoko ya utalii kwenye ukanda wa bara la Asia ambao utapelekea ongezeko la watalii na makusanyo katika mwaka wa fedha wa 2019/20 hivyo kuendelea kuinua pato la Taifa.

4. Nakisi ya urari wa biashara ya bidhaa, huduma na uhamisho wa mali na nchi za nje yaani Current account deficit ulishuka kwa asilimia 3.3 na kwa mujibu wa IMF(2019) huku mwendo huu ulitokana na kuwepo kwa mazingira mazuri ya biashara nchini pamoja na kuendelea kuimarika kwa sekta ya usafirshaji wa bidhaa, huduma na mali nje ya nchi.

Kwa kipindi cha miaka mitatu akiba ya fedha za kigeni nchini imeongezeka hadi kufikia dola za kimarekani bilioni 5. Ripoti ya IMF (2019), mapato ya Tanzania yamekuwa kwa asilimia 57.5 kutoka mwaka 2015 hadi 2019 ikiwa ni kiwango kikubwa kulinganisha na takwimu kutoka kwenye taarifa za IMF kwa mataifa mengine ya Afrika Mashariki.

5. Kwa muda wa miaka minne pekee tayari jumla ya wiwanda vipya 3,500 vimefunguliwa nchi nzima huku uwekezaji mkubwa ukiendelea kufanywa na serikali kwenye miradi mikubwa mbalimbali ambayo ni chachu ya ukuaji wa uchumi ncihi.

Mwaka 2015/16 jumla ya shilingi trilioni 4.3 zilitumika kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo lakini kufika mwaka 2017/18 serikali iliongeza matumizi kwenye miradi ya Maendeleo na kufikisha Matumizi ya Jumla ya shilingi 7.6 huku mwaka 2018/19 serikali ilipanua zaidi na kutumia trilioni 9.3.

Ongezeko la Matumizi ya serikali kwenye miradi ya Maendeleo yanatoa mwanga katika kuelekea kwenye ujenzi wa miundombinu bora ili kuhakikisha tunaelekea kwenye taifa lenye uchumi imara; matumizi haya yanaendana na sera za serikali kuhakikisha ya kuwa miradi ya maendeleo inatumia asilimia 40 ya bajeti.

6. Miradi mipya yenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 13.8 sawa na zaidi ya shilingi za kitanzania trililioni 30 inatekelezwa ambayo imeendana na utengenezaji wa ajira zaidi ya 107,908


7. Jumla ya miradi 897 imesajiliwa kwa kipindi cha miaka minne huku miradi inayomilikiwa na watanzania wazawa ni 313 sawa na asilimia 34.9; miradi inayomilikiwa na wageni ni 377 sawa na asilimia 42 na miradi inayotekelezwa kwa ubia baina ya watanzania na wageni ni 207 ambayo ni sawa na asilimia 23.1.


8. Kuwekwa kwa rekodi mpya ya makusanyo kutokana katika wizara ya Madini kufuatia uanzishwaji wa masoko ya madini nchini. Rekodi mpya imewekwa ambapo serikali imekusanya jumla ya shilingi bilioni 311.33 ambayo ni kiwango cha juu kabisa toka uhuru wa nchi yetu. Rekodi hii inashiria kuimalika kwa sekta ya madini pamoja na urahisi wa ufanyaji wa baishara ya madini nchini kupitia mfumo wa masoko ya madini


9. Ukuaji na uimarikaji wa biashara nje ya nchi ambapo mwaka 2018, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 999.34 kwenye soko la nchi za jumuiya ya Maendeleo kusini mwa Afrika yaani SADC ulikinganisha na dola za kimarekani bilioni 877.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2017 ambayo ni sawa na ongezeko la asilimia 13.84


10. Aidha, Tanzania ilifanikiwa kuuza bidhaa zenye thamani ya dola za kimarekani bilioni 447.5 kwenye soko la jumuiya ya Afrika Mashariki katika mwaka 2018 ikiwa ni kiasi kikubwa zaidi ya kile cha dola za marekani bilioni 349.6 katika kipindi kama hicho mwaka 2017 hii ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 28.


11. Ukuaji wa Pato la Taifa kwa kutumia bei ya kizio ya mwaka 2015 umeendelea kukua kwa asilimia 7.0 mwaka 2018 ikilinganishwa na asilimia 6.8 mwaka 2017


12. Hadi kufikia mwezi Aprili 2019, mfumuko wa bei ulikuwa asilimia 3.2 ikilinganishwa na asilimia 3.8 kwa kipindi kama hicho mwaka 2018. Hii inatoa fursa kwa wafanyabishara kuendelea kuwekeza na kuwa na imani kubwa kwenye fedha wanazowekeza kwani hazitapoteza thamani kutokana na mfumuko wa bei.


13. Uwekezaji mkubwa wa uzalishaji wa umeme katika bonde la Stigler unaotarajiwa kuzalisha MegaWat 2100 pamoja na utekelezaji wa miradi mingine ya Kinyerezi I, II, III na IV utafanya gharama za umeme kushua zaidi na hivyo kupunguza kabisa gharama za uzalishaji kwenye Viwanda vyetu na mwisho bidhaa zinazozalishwa ndani kuwa na uwezo wa kushindana na zile zinazozalishwa nje na kuuzwa kwa bei nafuu zaidi.


Aidha mradi huu mkubwa wa umeme utachochea pia ukuaji wa sekta ziziso rasmi kwa kuchochea ukuaji wa biashara na ajira huku fedha zote zikiwa ni kodi za watanzania.


14. Hadi Hadi kufikia Aprili, 2019 kiasi cha shilingi trilioni 1.06 kimelipwa sawa na asilimia 75.18 ya lengo hii imekuwa chachu ya Maendeleo ya biashara kwa kuongeza fedha kwenye mzunguko na kusaidia kuimarisha biashara kwa makampuni na Taasisi mbalimbali za serikali ambazo mwisho hupelekea kuchochea ukuaji wa viashiria vingine vya uchumi (multiplier effects)


15. Kupungua kwa kiwango cha Umaskini wa mahitaji ya msingi kutoka asilimia 28.2 mwaka 2011/12 hadi asilimia 26.4 mwaka 2017/18. Kiwango cha umaskini wa chakula kimepungua kutoka asilimia 9.7 mwaka 2011/12 na kufikia asilimia 8.0 mwaka 2017/18. Kupungua huku ni dalili ya ongezeko la hali za maisha na ukuaji wa sekta mbalimbali nchini kunakotoa fursa kwa wafanyabisahra kuweza kutumia nafasi hiyo kuweza kufanikiwa zaidi.


Aidha, upimaji wa ukuaji wa Uchumi kwa pato la mtu mmoja kwa kutumia PPP unaonyesha ya kuwa Tanzania imeendela kukua kwa kipindi chote cha miaka minne huku pato la mtu mmoja likiimarika hadi kufikia Dola za Marekani 2,683.30 mwaka 2017 ambao ni ukuaji wa zaidi ya asilimia 48 kulinganisha na udumavu wa pato hilo kuanzia mwaka 1990 hadi 2016 ambalo lilikuwa ni Dola za marekani 1811.23 huku kiwango cha chini kabisa kuwahi kurekodiwa ni Dola za marekani 1361.40 mwaka 1994
(Chanzo: Tanzania GDP per capita PPP)

Juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya Awamu ya Tano zinaifanya Tanzania kupiga hatua kwa haraka na kuipa nafasi ya kuingia kwenye mataifa yenye hadhi ya Uchumi wa kati ikiwa ni miaka sita (6) kabla ya malengo yaliyoainishwa kwenye Kitabu cha Dira ya Maendeleo ya Taifa (TDV - 2025).

*USHAURI NA MAONI*
Kutokana na Benki ya Dunia kutumia GNI kama kipimio cha taifa moja kupanda daraja moja la uchumi kwenda jingine nchi yetu inayohaja y akuhakikisha ukuaji wa Uchumi wa Tanzania uchangiwe kwa sehemu kubwa na wazawa kwani kipimo cha GNI hujumuish amapato yatokanyo nauzalishaji uliofanywa na wazawa tu ndani na nje ya nchi.

Tayari Rais Magufuli ameanza jambo hili kwa kuwaita wafanyabaishara wazawa nchi nzima na kuzungumza nao ilikutoa mwanga wa kuweza kukuza biashara zao na kuongeza kipato cha wazawa.

_*“TUKIKUZA GNI LAZIMA GDP ITAKUA LAKINI TUKIJIKITA KATIKA KUKUZA GDP PEKEE SIO LAZIMA GNI KUKUA”*_

Jambo la pili ambalo linatakiwa kufanyika ni kuhakikisha tunafanya sensa ya watanzania wote wanaoishi nje ya Tanzania ili kuweza kubaini kazi zao na vipato vyao ambavyo itasaidia kuwa na taarifa sahihi ya ukuaji au ongezeko la GNI.

GNI yaani Gross National Income ni kipimo cha kipato cha Nchi husika. Hujumuisha vipato (income) ambazo wananchi/raia huingiza wakiwa ndani au nje ya Nchi. Jumla ya vipato vyao ndio huunda GNI. Zamani takwimu za dunia zilifanywa kwa kutumia GNP lakini kwa miaka ya hivi karibuni tumehamia kwenye GNI.

Tofauti iliyopo kati ya Kenya na Tanzania hata Kenya kuwa na GNI kubwa ni jitihada a serikali ya Kenya kuwasaidia wafanyabisahra wake kuweza kuwekeza kwenye nchi nyingine yaani kukuza biashara za wazawa lakini pia kuhakikisha inaweza kuwabaini wakenya wote walioko nje ya yao na kuwa na taarifa sahihi za vipato vyao. Hivyo tunayo nafasi kama nchi kuweza kujifunza na kupiga hatua kubwa zaidi ya Kenya kwani Tanzania ina rasilimali za kutosha na mazingira makubwa ya kuendelea zaidi ya Kenya.

Wizara ya Mambo ya Nje ikishirikiana na Taasisi nyingine inayo nafasi ya kuhakikisha inaratibu zoezi la kuwatambua watanzania wote walioko ne ya nchi kupitia majukwaa yao mbalimbali ili kuweza kuhamasisha watu kuwa wazlendo na kuwa tayari kushiriki hsughuli za Maendeleo zinaozuhusu nchi yao huku wakiwa huko waliko. Mwaka 2018, Benki Kuu ya Kenya ilitangaza ya kuwa fedha kutoka nje ya nchi (Remmitance) kwenda kwa ndugu na marafiki nchini Kenya zilifikia shilingi za kitanzania Trilioni 4.418 huku katika kipindi kama hicho nchini Tanzania BOT ilitangaza fedha zilizoingia kama Remittance zilikuwa ni Shilingi Trilioni 1 pekee.

Aidha, Juhudi za Rais Magufuli kufungua milango ya ajira kwa watanzania kwenda kufundisha nje ya nchi ni njia mojawapo ya serikali kuweza kupanua wigo wa GNI ambayo ndio itafanya nchi yetu kuweza kupanda zaidi kwenye Orodha ya Mataifa yenye uchumi wa Kati.
[/QUOTE]
FB_IMG_1575390806699.jpg

FB_IMG_1575390800494.jpg
FB_IMG_1575390792397.jpg
FB_IMG_1579340117121.jpg
 
Kilichobaki kumtangaza raisi wa bongo kuwa Mungu au Nabii mpya tu, manake sifa za wanapropaganda wake Haki ya Mungu ni Kufuru kwa muumba wa mbingu na ardhi. Uchumi wa kati wakati watu wenye kazi za maana hawafiki milioni katika jamii ya watu zaidi ya 55 Million!
 
Back
Top Bottom