Silly
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 569
- 180
Mimi nadhani kilichofanywa na serikali ni sahihi. Acacia walitoa data zao na kama tulikuwa na utata kuziamini tumefanya uchunguzi wetu na tumepata data zetu ambazo zinaonyesha utata mkubwa. Sasa hapo ndipo tunaita ni mgogoro na aje mtu wa tatu sasa ili tulinganishe izo data. Otherwise inakuaje rahisi mtu kuamini data za mwekezaji na hapo hapo apinge data za serikali.