Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
Binafsi sitarajii report hii kuwa kinyume na tamko la raisi. In fact, raisi alishasema tunaibiwa na hiyo maana yake ni kwamba alishatoa hukumu (japo yeye si mahakama); na hapakuwa hata na haja ya kupoteza muda bali kuwaadhibu wezi.
Ki ukweli, ukiona report inapokelewa kwa mbwembwe mubashara ni kwa sababu imekidhi matarajio ya aliyeunda tume!
Ki ukweli, ukiona report inapokelewa kwa mbwembwe mubashara ni kwa sababu imekidhi matarajio ya aliyeunda tume!