Tume Huru ya Uchaguzi wanayoitaka ili iwe huru kweli iendeshwe na fedha za wanaotaka kuchaguliwa siyo na Serikali

comte

JF-Expert Member
Dec 11, 2011
8,226
5,948
Kumekuwepo na kelele za mda mrefu za uhuru wa tume ya uchaguzi. mambo yanayoguswa ni :-
  1. inavyoundwa
  2. watumishi wake
Kwa mswada uliopelekwa bungeni na inavyopendekezwa inalekea suala la namna inavyoundwa na kupatikana watumishi wake yakapata majibu.
Lakini bado lipo suala la nani ataipa fedha za kujiendesha; na siyo fedha kidogo kwa huo muundo wake utakaopatikana ikitokea muswada ukapita.
Napendekeza kwamba tume ili iwe huru isipewe fedha za kujiendesha na serikali badala yake yeyote anayetaka kugombea achangie uendeshaji wa tume. Napendekeza:-
  1. Mwenyekiti wa kitongoji/mtaa: 2,000,000.
  2. Mwenyekiti wa kijiji- 20,000,000
  3. Diwani- 100,000,000
  4. Mbunge- 1,000,000,000
  5. Rais- 5,000,000,000
matumizi ya fedha hizi ziwe kwenye kila ngazi yaani
mratibu wa kitongoji au mtaa apokee hela kutoka kwa watu wanaotaka kugombea hiyo nafasi na wakae wapange bajeti na idadi ya watu wa kuajiri na namna na kuendasha uchaguzi wao.
Kama watu wazima tunaongelea tu uteuzi na watumishi lakini hatuangalii itapata wapi hela- inanipa tabu kidogo.
Nawakilisha
 
CCM si watakuwa wanapitisha pesa Ikulu na kuchangia hiyo pesa mara moja! kwenye budget ya nchi itengwe 0.5% inatosha kuendesha kabisa uchaguzi na pesa ikabaki
 
CCM si watakuwa wanapitisha pesa Ikulu na kuchangia hiyo pesa mara moja! kwenye budget ya nchi itengwe 0.5% inatosha kuendesha kabisa uchaguzi na pesa ikabaki
Mkuu hatuli uchaguzi- yaani tuache kujenga barabara tuchapishe makaratasi ya kura na picha za watu mwisho wa siku hatuna tija yoyote wanaleta. Mimi nasema tume ya uchaguzi iwe kama kamati ya harusi itafute hela yenyewe
 
Mkuu hatuli uchaguzi- yaani tuache kujenga barabara tuchapishe makaratasi ya kura na picha za watu mwisho wa siku hatuna tija yoyote wanaleta. Mimi nasema tume ya uchaguzi iwe kama kamati ya harusi itafute hela yenyewe
Watapewa na mafisadi, uchaguzi ni swala la msingi sn, ipewe % kutoka kwenye budget kuu
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Yooooo kama msomi huyu anakuja na mada kama hii, I rest my case bora niendelee kunywa ulanzi huku lingusenguse na std seven ,maana hawa wanaongea ukweli uliopo on the ground kuliko hawa wenye masters,why NEC ichangiwe?,hizi ndio gharama za democracy, lazima bunge litenge pesa ya kuendesha NEC
 
Kumekuwepo na kelele za mda mrefu za uhuru wa tume ya uchaguzi. mambo yanayoguswa ni :-
  1. inavyoundwa
  2. watumishi wake
Kwa mswada uliopelekwa bungeni na invyopendekezwa inalekea suala la namna inavyoundwa na kupataikana watumishiwake yakapata majibu.
Lakini bado lipo suala la nani ataipa fedha za kujiendesha na siyo fedha kidogo kwa huo muundo wake utakaopatika ikatokea muswada ukapita.
Napendekeza kwamba tume ili iwe huru ispewe fedha za kujiendesha na serikali badala yake yeyote nayteka kugombea achangie uendeshaji wa tume. Napendekeza:-
  1. Mwenyekiti wa kitongoji/mtaa: 2,000,000.
  2. Mwenyekiti wa kijiji- 20,000,000
  3. Diwani- 100,000,000
  4. Mbunge- 1,000,000,000
  5. Rais- 5,000,000,000
matumizi ya fedha hizi ziwe kwenye kila ngazi yaani
maratibu wa kitongoji au mtaa apokee hela kutoka kwa watu wanaotaka kugombea hiyo nafasi na wake wapenge bajeti na idadi ya watu wa kuajiri na namna na kuendaha uchaguzi wao.
Kama watu wazima tunaongelea tu uteuai na watumishi lakini tunaitaka hatuangalii itapata wapi hela- inanipa tabu kidogo
Nawakilisha
Kwani pesa zinazotolewa sasa hivi unazitoa mfukoni mwako?? Au kuna mtu anazitoa mfukoni mwake??


NB: Kumbuka hizo pesa si za mtu bali ni za wananchi kupitia kodi zao


Tatizo inafika hatua kuna watu wanajimilikisha kana kwamba hizo pesa wanatoa mifukoni mwao
 
Yooooo kama msomi huyu anakuja na mada kama hii, I rest my case bora niendelee kunywa ulanzi huku lingusenguse na std seven ,maana hawa wanaongea ukweli uliopo on the ground kuliko hawa wenye masters,why NEC ichangiwe?,hizi ndio gharama za democracy, lazima bunge litenge pesa ya kuendesha NEC
Mapesa wanayopeana wabunge hayaoni ila anaona pesa za tume tu😃😃
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kumekuwepo na kelele za mda mrefu za uhuru wa tume ya uchaguzi. mambo yanayoguswa ni :-
  1. inavyoundwa
  2. watumishi wake
Kwa mswada uliopelekwa bungeni na invyopendekezwa inalekea suala la namna inavyoundwa na kupataikana watumishiwake yakapata majibu.
Lakini bado lipo suala la nani ataipa fedha za kujiendesha na siyo fedha kidogo kwa huo muundo wake utakaopatika ikatokea muswada ukapita.
Napendekeza kwamba tume ili iwe huru ispewe fedha za kujiendesha na serikali badala yake yeyote nayteka kugombea achangie uendeshaji wa tume. Napendekeza:-
  1. Mwenyekiti wa kitongoji/mtaa: 2,000,000.
  2. Mwenyekiti wa kijiji- 20,000,000
  3. Diwani- 100,000,000
  4. Mbunge- 1,000,000,000
  5. Rais- 5,000,000,000
matumizi ya fedha hizi ziwe kwenye kila ngazi yaani
maratibu wa kitongoji au mtaa apokee hela kutoka kwa watu wanaotaka kugombea hiyo nafasi na wake wapenge bajeti na idadi ya watu wa kuajiri na namna na kuendaha uchaguzi wao.
Kama watu wazima tunaongelea tu uteuai na watumishi lakini tunaitaka hatuangalii itapata wapi hela- inanipa tabu kidogo
Nawakilisha
Well said
 
Kumekuwepo na kelele za mda mrefu za uhuru wa tume ya uchaguzi. mambo yanayoguswa ni :-
  1. inavyoundwa
  2. watumishi wake
Kwa mswada uliopelekwa bungeni na invyopendekezwa inalekea suala la namna inavyoundwa na kupataikana watumishiwake yakapata majibu.
Lakini bado lipo suala la nani ataipa fedha za kujiendesha na siyo fedha kidogo kwa huo muundo wake utakaopatika ikatokea muswada ukapita.
Napendekeza kwamba tume ili iwe huru ispewe fedha za kujiendesha na serikali badala yake yeyote nayteka kugombea achangie uendeshaji wa tume. Napendekeza:-
  1. Mwenyekiti wa kitongoji/mtaa: 2,000,000.
  2. Mwenyekiti wa kijiji- 20,000,000
  3. Diwani- 100,000,000
  4. Mbunge- 1,000,000,000
  5. Rais- 5,000,000,000
matumizi ya fedha hizi ziwe kwenye kila ngazi yaani
maratibu wa kitongoji au mtaa apokee hela kutoka kwa watu wanaotaka kugombea hiyo nafasi na wake wapenge bajeti na idadi ya watu wa kuajiri na namna na kuendaha uchaguzi wao.
Kama watu wazima tunaongelea tu uteuai na watumishi lakini tunaitaka hatuangalii itapata wapi hela- inanipa tabu kidogo
Nawakilisha
Vipi kuhusu katiba mpya?
 
Kumekuwepo na kelele za mda mrefu za uhuru wa tume ya uchaguzi. mambo yanayoguswa ni :-
  1. inavyoundwa
  2. watumishi wake
Kwa mswada uliopelekwa bungeni na invyopendekezwa inalekea suala la namna inavyoundwa na kupataikana watumishiwake yakapata majibu.
Majibu unyoyasema hayataleta tume huru, inaweza kuitwa tume huru kwa jina lakini haitakuwa huru kwa vitendo.
Msikilize huyu

View: https://www.youtube.com/watch?v=hM7E_cVAp6Q&t=327s
 
Kwani pesa zinazotolewa sasa hivi unazitoa mfukoni mwako?? Au kuna mtu anazitoa mfukoni mwake??


NB: Kumbuka hizo pesa si za mtu bali ni za wananchi kupitia kodi zao


Tatizo inafika hatua kuna watu wanajimilikisha kana kwamba hizo pesa wanatoa mifukoni mwao
Mkuu wakati unatoa hayo mawazo yako - kumbuka tunaongelea UHURU wa tume
 
Mapesa wanayopeana wabunge hayaoni ila anaona pesa za tume tu😃😃
Acha hayo jiweke na wewe ulikopeshwa usome ukasoma ualimu na sasa hata ajira huna na uwezo wa kulipa haupo. Aidha kwa vile wabunge wanalipwa - si unaona hawako huru
 
Yooooo kama msomi huyu anakuja na mada kama hii, I rest my case bora niendelee kunywa ulanzi huku lingusenguse na std seven ,maana hawa wanaongea ukweli uliopo on the ground kuliko hawa wenye masters,why NEC ichangiwe?,hizi ndio gharama za democracy, lazima bunge litenge pesa ya kuendesha NEC
Mkuu wewe kunywa tu ulazi ukimaliza ujiulize- hamtaki mkuu wa serikali ateue tume; hamtaki watumishi wa serikali wawe kwenye tume; SABABU- wanaifanye isiwe huru; hao watumishi wa serkali na rais wao ndio wanakusanya fedha kupita kodi- ili waitenge na kuipa tume- wakikikataa kuitoa au kuitoa kwa wakati ni yapi yatakuwa madhara yake kwa UHURU wa tume?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom