Ili ripoti ya mchanga wa Dhahabu iaminiwe, ingeandaliwa na Taasisi huru sio maafisa wa serikali!

Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Jina lako linasadifu post yako ya kijinga na kilofa
 
Hizi tume zote kisheria hazina nguvu kwa sababu MDAs zote ambazo makampuni yalisaini na serikali zinatamka wazi kuwa kama kutakuwa na kutokukubaliana juu ya ukokotoaji wa mahesabu kuhusiana na kodi atatafutwa mtu wa kati aliyekubaliwa na pande zote mbili, na huyo uamuzi wake hautapingwa na upande wowote. Na hilo limewahi kufanyika kwa mgodi wa Geita.

Lakini pia MDAs kama ile ya Buzwagi inatamka wazi kuwa kama kutakuwa na jambo lolote ambalo upande wowote unahisi upande mwingine umekiuka, pande zote zitalazimika kukutana na kujadiliana ili kupata suluhu. Wakishindwa kufikia makubaliano, shauri litaamuliwa according to the Law of the Land (na kisheria hapo itamaanisha kwa sheria za Uingereza, mahali ambapo mkataba ulisainiwa).
Hongera kamanda ACACIA wamekulipa vizuri, KUJITUMA HUKU SIYO KAWAIDA ila ni LAZIMA UJUE Hakuna LENYE MWANZO LISILO NA MWISHO
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Taasisi huru ya kimataifa ifanye uchunguzi kwenye kampuni ya kimataifa..how stupid can someone be?.
 
Nafikiri,hii comment yako ndiyo inafaa kufutwa kwa sababu ni ya kijinga, kipumbavu na ubinafsi wa hali ya juu......

Hili ni jukwaa huru kwa kila mtu kutoa maoni yake ili mradi havunji Sheria yoyote....

Wewe kama unataka jukwaa ambalo ni "one sided opinions ", la kusifiwa na kutaka kusikia masikio yenu yatakayo kusikia, fungua FB yenu huko huko....!!
Mkuu hapo pia na mimi natumia uhuru wangu katika jukwaa huru kama unavyodai. Ila la msingi ni kujua huo haukuwa uchaguzi useme kwamba unahitaki usimamiz wa nje, ni rasimali za nchi zinakombolewa kutoka kwa matapeli kupitia serikali, sasa sijui wewe ungetaka taasisi gani ishirikishwe ili mawazo yako yatimie na point behind ya kuwashirikisha unaotaka wawepo. Una dalili zote za kutetea wizi kama kwwli wewe ni Mtanzania. Its we against the investors, sasa huyo third part unaemzungumzia simuelewi maana haexist.
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Hoja hii haina mashiko kwani kwa nini hukuitoa ilipoundwa kamati umesubiri hadi Leo kifupi maoni haya ulitaka ripoti iseme vinginevyo
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Unalolisema wewe ni jukumu la hayo makampuni ya madini kama hayaridhiki na uamuzi wa kamati uleta wataalam wa kimataifa ambao watashirikiana na wataalam wetu kuthibitisha maamuzi ya kamati.

Haiwezekani serikali isiwaamini wataalam wake na badala yake iwalete wataalam wa kukodi. Tena wazungu. Na wenye migodi ni wazungu.

Au na wewe umeguswa? Angalia aibu ya mnafiki zito.
tapatalk_1495628847655.jpeg
 
Mkuu watu wanashangaza sana. Yule mwenye Phd alinunua kivuko na kudai ni kipya kabisa tena kiko katika daraja la juu kabisa nchi ikalipa bilioni 8 matokeo yake wote tunayajua. Miezi michache iliyopita kawabambikia jeshi na kudai ni kosa kubwa kwa Watanzania kujadili mali yoyote ya jeshi.
Tangu mumchukue Lowasa akili zenu wote zimekuwa za kilowasa Lowasa.
 
Katika hili LAZIMA NISEME,Hakuna kampuni ya Madini hata moja inayopata hasara kuchimba madini Tanzania wanapata faida ya kufa mtu Ndugu zangu pitieni Taarifa za kampuni moja tu ya SHANTA GOLD katika Mgodi wa LUIKA halafu sikilizeni Taarifa zao wanakotoa pesa ndio hasira ziwapande zaidi,halafu tujiulize Tanzania ina migodi mingapi?hawa jamaa wameweza kuzalisha Ounce 500,000 kwa mwaka 2016 na kwa bei ya sasa ni $1259.57 kwa Ounce ambapo ni sawa na $Mil 629,785,000 kwa TZS 1.385,527,000,000 ikumbukwe 1 Ounce = 28.3495231 Grams ambapo ni Gram 14,175,000 au Kilo 14,175 ambazo ni Tani 14.18 hivi

Inatia Hasira sana
 
Ndiyo tatizo la baadhi ya Watanzania wenye akili finyu. Wanapokosa hoja ua mjadala husika hutaka kuingiza jambo ambalo halihisiani kabisa na mjadala husika. Fungua akili yako acha kukurupuka kuandika pumba.

Tangu mumchukue Lowasa akili zenu wote zimekuwa za kilowasa Lowasa.
 
Kama Rais alisema tunaibiwa,na mgodi unasema hatuibi,unadhani ni nani wa kuiamua hiyo kesi?

Muajiriwa wa rais? Ndio maana nikasema Taasisi huru isiyo chini ya mgodi wala serikali ambayo haitwakuwa biased au hata kuonekana au kuhisiwa kwamba iko biased
Kesi haijaamuliwa mkuu!!! Baada ya hapa ndo tutathimini kuona twende kwa tribunal ama kwa ordinary court
 
Ulichoandika kina ukweli sana, ila sijui kama watakuelewa hawa watu. Tangu mwanzo ilionekana kama utawala ulishaamua kuwa kuna madini mengi kwenye containers, mpaka katibu mkuu wa wizara kufukuzwa, kwa hiyo hii tume ni lazima ingeleta matokeo ya namna hiyo.

Sijui kama ACACIA watakubali hayo matokeo, most likely wataomba independent audit yenye representative wao na wa serikali.
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Principally uko sahihi sana huwezi kumvictize mtu then umchunguze mwenyewe though wajinga watakubishia.
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Neno HURU ni neno la uwiano tu, how independent can an independent body be wakati TOR au terms of reference wanapewa na serikali inayocommission tume yenyewe!?
Wewe na kina TOMASO wenzio kutoiamini taarifa hiyo hakuzuii utekelezaji wa mapendekezo ya tume ya Mruma. Sisi tunaendelea kuwatumbua majambazi wewe subiri Serikali HURU ije iunde TUME HURU ikuletee ripoti utakayoiamini utekeleze mapendekezo yake if you ever see the light of day!
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Kiufupi jambo ili halikuitaji hata tume.maana lipo wazi.wanaiba.
 
Wamekuuza figures kwenye taarifa yao kiasi kwamba unaweza dhani hizo pesa zipo...leo tumesomewa report hiyo njoo baada mwaka kama utapata mapato hata nusu zaidi ya kilichokuwa kinapatika... tutabaki tu nchii inamapato sana....ndo maana tafiti za maprofesa wetu zinajaza tu library za vyuo vyetu lkn hazina impact yoyote kwa maendeleo ya nchi hii....kwasababu wanaunganishaunganisha manamba yao ambayo hayana hata uhalisia...wenyewe utasikia sijui methodology, mara sijui sampling....mara hoh analysis kwa kutumia tool sijui gani.....hakuna lolote kucopycopy mambo ya watu na kuyazidishazidisha tu...hayo mapato wanayosema tunayapoteza waambie sasa kaeni mlangoni myakusanye yasipotee hata senti moja kama wataweza...
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Tukifunga mtambo wa smelter hapa Tz alafu tukianza echejuaji ukweli hii report tutaujua tu kama walitafita kick au walikuwa wazalendo kweli
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom