Ili ripoti ya mchanga wa Dhahabu iaminiwe, ingeandaliwa na Taasisi huru sio maafisa wa serikali!

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,981
20,629
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Mkuu vipi umenusa harufu ya damu? Kama watasema makinikia hayana dhahabu utawaamini? Tumeambiwa walioteuliwa ni professionals hivyo mimi binafsi siamini kama watapinda weledi wao na kusema uongo. Kama haitaaminika siamini kama wenye huo mchanga watakaa kimya badala ya kutumia hiyo tume huru ya kimataifa unayoisema. Wapeleke kwenye hiyo huru waje na majibu.
 
Kwani hiyo dhahabu ni ya kimataifa? Dhahabu ni mali yetu, sisi tunakagua/ kuchunguza mali yetu. Tukigungua wanatuibia tunawatimua. Full stop. Tunaweza hata kuwalaza lock up kwa kosa la wizi na sheria inachukua mkondo wake. Mwizi popote hana immunity in front of the law.
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Mmeanza, tulieni saa tatu asubuhi bado! Mlidhani mtatuibia daima? Wanasema unaweza kudanganya wakati wote lakini huwezi kudanganya watu wote mda wote. Kama ulikuwa hujaweka akiba pole
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Hmm...You are still pining for your w***te masters!
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
We acha aendelee na vituko vyake,huku ilani ya ccm ameshindwa kuitekeleza
 
Katika hili LAZIMA NISEME,Hakuna kampuni ya Madini hata moja inayopata hasara kuchimba madini Tanzania wanapata faida ya kufa mtu Ndugu zangu pitieni Taarifa za kampuni moja tu ya SHANTA GOLD katika Mgodi wa LUIKA halafu sikilizeni Taarifa zao wanakotoa pesa ndio hasira ziwapande zaidi,halafu tujiulize Tanzania ina migodi mingapi?hawa jamaa wameweza kuzalisha Ounce 500,000 kwa mwaka 2016 na kwa bei ya sasa ni $1259.57 kwa Ounce ambapo ni sawa na $Mil 629,785,000 kwa TZS 1.385,527,000,000 ikumbukwe 1 Ounce = 28.3495231 Grams ambapo ni Gram 14,175,000 au Kilo 14,175 ambazo ni Tani 14.18 hivi
 

Attachments

  • IMG_8344.jpg
    IMG_8344.jpg
    72.6 KB · Views: 49
  • IMG_8342.jpg
    IMG_8342.jpg
    52.9 KB · Views: 48
  • IMG_8341.jpg
    IMG_8341.jpg
    55.4 KB · Views: 47
  • IMG_8340.jpg
    IMG_8340.jpg
    50.2 KB · Views: 50
  • IMG_8343.jpg
    IMG_8343.jpg
    73.1 KB · Views: 45
  • IMG_8339.jpg
    IMG_8339.jpg
    73.1 KB · Views: 48
  • IMG_8338.jpg
    IMG_8338.jpg
    61 KB · Views: 56
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!
Watanzania tuna shida kweli,nadhani ule utafiti wa udumavu wa akili haukuwa na makosa,Sasa kama Rais alisema tunaibiwa na kuunda hizo Tume mbili basi hao wajumbe hawatafanya kazi zaidi ya kuandika tu ni kweli tunaibiwa kwasababu tu Rais alishasema?? Hata kama hautuibiwi??

Kila Tume ina TOR zake na wajumbe wameapa mbele ya Rais nina imani watatoa ripoti kama ilivyo huko field na vinginevyo.
 
Watanzania tuna shida kweli,nadhani ule utafiti wa udumavu wa akili haukuwa na makosa,Sasa kama Rais alisema tunaibiwa na kuunda hizo Tume mbili basi hao wajumbe hawatafanya kazi zaidi ya kuandika tu ni kweli tunaibiwa kwasababu tu Rais alishasema?? Hata kama hautuibiwi??

Kila Tume ina TOR zake na wajumbe wameapa mbele ya Rais nina imani watatoa ripoti kama ilivyo huko field na vinginevyo.
Kama Rais alisema tunaibiwa,na mgodi unasema hatuibi,unadhani ni nani wa kuiamua hiyo kesi?

Muajiriwa wa rais? Ndio maana nikasema Taasisi huru isiyo chini ya mgodi wala serikali ambayo haitwakuwa biased au hata kuonekana au kuhisiwa kwamba iko biased
 
Katika hili LAZIMA NISEME,Hakuna kampuni ya Madini hata moja inayopata hasara kuchimba madini Tanzania wanapata faida ya kufa mtu Ndugu zangu pitieni Taarifa za kampuni moja tu ya SHANTA GOLD katika Mgodi wa LUIKA halafu sikilizeni Taarifa zao wanakotoa pesa ndio hasira ziwapande zaidi,halafu tujiulize Tanzania ina migodi mingapi?hawa jamaa wameweza kuzalisha Ounce 500,000 kwa mwaka 2016 na kwa bei ya sasa ni $1259.57 kwa Ounce ambapo ni sawa na $Mil 629,785,000 kwa TZS 1.385,527,000,000 ikumbukwe 1 Ounce = 28.3495231 Grams ambapo ni Gram 14,175,000 au Kilo 14,175 ambazo ni Tani 14.18 hivi


Unapotoa bei ya dhahabu ili kujustify kuwa kampuni inapata pesa nyingi sana basi ni muhimu pia kuambatanisha na gharama za uzalishaji kwa kila ounce. Ni angalizo tu...
 
Mkuu watu wanashangaza sana. Yule mwenye Phd alinunua kivuko na kudai ni kipya kabisa tena kiko katika daraja la juu kabisa nchi ikalipa bilioni 8 matokeo yake wote tunayajua. Miezi michache iliyopita kawabambikia jeshi na kudai ni kosa kubwa kwa Watanzania kujadili mali yoyote ya jeshi.

Kaka una-refer kwa Tanzania ama nchi nyingine? Maana Tanzania hakuna kitu kama ku-adhere to professionalism.
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Mnalo mwaka enyi watetezi wa wezi.
 
Katika hili LAZIMA NISEME,Hakuna kampuni ya Madini hata moja inayopata hasara kuchimba madini Tanzania wanapata faida ya kufa mtu Ndugu zangu pitieni Taarifa za kampuni moja tu ya SHANTA GOLD katika Mgodi wa LUIKA halafu sikilizeni Taarifa zao wanakotoa pesa ndio hasira ziwapande zaidi,halafu tujiulize Tanzania ina migodi mingapi?hawa jamaa wameweza kuzalisha Ounce 500,000 kwa mwaka 2016 na kwa bei ya sasa ni $1259.57 kwa Ounce ambapo ni sawa na $Mil 629,785,000 kwa TZS 1.385,527,000,000 ikumbukwe 1 Ounce = 28.3495231 Grams ambapo ni Gram 14,175,000 au Kilo 14,175 ambazo ni Tani 14.18 hivi


Taarifa ya shanta kwa miezi 6 ya kwanza ya 2016. Sijapata taarifa ya mwisho wa mwaka ila naendelea kuisaka

upload_2017-5-24_6-52-51.png
 
Kwani hiyo dhahabu ni ya kimataifa? Dhahabu ni mali yetu, sisi tunakagua/ kuchunguza mali yetu. Tukigungua wanatuibia tunawatimua. Full stop. Tunaweza hata kuwalaza lock up kwa kosa la wizi na sheria inachukua mkondo wake. Mwizi popote hana immunity in front of the law.
Hahahaaaaaa pole kwa kuish kwa nadharia mkuu dhahabu ni mali yako!!??? Hebu nioneshe walau hata kipande cha 0.003mg unacho miliki kama mali yako ya dhababu unayo sema mali yetu
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Mkuu kuna baadhi ya mambo huwezi kudanganya. Mambo yanayopimika na kuleta data huwez kudanganya kwani lazima taratbu zifuatwe ili kutoa majbu sahihi. Numbers never lie. Wakitia percentage za concentrate za hyo michanga ndo mwanzo wa kupata masoko mapya na wanunuz lazma wapime ili kujiaminisha.. kwa hyo hapo sioni siasa inapoingia zaid tu ya kuwagundua wezi kama walikua wanatudanganya.
 
Back
Top Bottom