Ili ripoti ya mchanga wa Dhahabu iaminiwe, ingeandaliwa na Taasisi huru sio maafisa wa serikali!

for sure, mkuu leo anaingizwa chaka, hakuna cha watalaam wala nini, hiyo tume imejaa vilaza watupu
 
Ebu tudondoshee na production cost maana hii report niya 2015 ambapo production cost per ounce was $900 tuwekee ya sasa ili tujicharge kindava ndava.

Utuwekee na licence fee per annual zile site expansion cost, levy na development fund achana nazo.
Katika hili LAZIMA NISEME,Hakuna kampuni ya Madini hata moja inayopata hasara kuchimba madini Tanzania wanapata faida ya kufa mtu Ndugu zangu pitieni Taarifa za kampuni moja tu ya SHANTA GOLD katika Mgodi wa LUIKA halafu sikilizeni Taarifa zao wanakotoa pesa ndio hasira ziwapande zaidi,halafu tujiulize Tanzania ina migodi mingapi?hawa jamaa wameweza kuzalisha Ounce 500,000 kwa mwaka 2016 na kwa bei ya sasa ni $1259.57 kwa Ounce ambapo ni sawa na $Mil 629,785,000 kwa TZS 1.385,527,000,000 ikumbukwe 1 Ounce = 28.3495231 Grams ambapo ni Gram 14,175,000 au Kilo 14,175 ambazo ni Tani 14.18 hivi
 
WATANZANIA TUMEROGWA NA NANI HADI UHISI HILI ? ACHA KAMATI IFANYE KAZI NA MKULU ALIIPA UHURU WOTE . HATA HIVYO HIYO MICHANGA IWE INABAKI TU NCHINI
 
Katika hili LAZIMA NISEME,Hakuna kampuni ya Madini hata moja inayopata hasara kuchimba madini Tanzania wanapata faida ya kufa mtu Ndugu zangu pitieni Taarifa za kampuni moja tu ya SHANTA GOLD katika Mgodi wa LUIKA halafu sikilizeni Taarifa zao wanakotoa pesa ndio hasira ziwapande zaidi,halafu tujiulize Tanzania ina migodi mingapi?hawa jamaa wameweza kuzalisha Ounce 500,000 kwa mwaka 2016 na kwa bei ya sasa ni $1259.57 kwa Ounce ambapo ni sawa na $Mil 629,785,000 kwa TZS 1.385,527,000,000 ikumbukwe 1 Ounce = 28.3495231 Grams ambapo ni Gram 14,175,000 au Kilo 14,175 ambazo ni Tani 14.18 hivi

Jibu hoja ulizopewa
 
Mkuu kuna baadhi ya mambo huwezi kudanganya. Mambo yanayopimika na kuleta data huwez kudanganya kwani lazima taratbu zifuatwe ili kutoa majbu sahihi. Numbers never lie. Wakitia percentage za concentrate za hyo michanga ndo mwanzo wa kupata masoko mapya na wanunuz lazma wapime ili kujiaminisha.. kwa hyo hapo sioni siasa inapoingia zaid tu ya kuwagundua wezi kama walikua wanatudanganya.
Hoja yangu bado inasimama!!
 
Binafsi sitarajii report hii kuwa kinyume na tamko la raisi. In fact, raisi alishasema tunaibiwa na hiyo maana yake ni kwamba alishatoa hukumu (japo yeye si mahakama); na hapakuwa hata na haja ya kupoteza muda bali kuwaadhibu wezi.

Ki ukweli, ukiona report inapokelewa kwa mbwembwe mubashara ni kwa sababu imekidhi matarajio ya aliyeunda tume!
Haswaaaaaa!!!!

Ni sawa na kwenda na ngoma ya kigodoro cha mwajuma ndala ndefu mahakamani Siku ya hukumu,
 
Hahahaaaaaa pole kwa kuish kwa nadharia mkuu dhahabu ni mali yako!!??? Hebu nioneshe walau hata kipande cha 0.003mg unacho miliki kama mali yako ya dhababu unayo sema mali yetu
Ni mali yetu watanzania. Tulijaariwa na Mwenyezi Mungu kama ambavyo waarabu walijaariwa mafuta. Dhahabu ni ya watanzania. Si ya hao wazungu wako. Na wala si yako maana wewe si mtanzania, haikuhusu na ni bora ungekaa kimya tu.
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Akili ya masaburi katika mwendelezo wake
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Wakala wa mwizi wewe
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Wewe mbona unasahau? Kati ya WANAKAMATI WALIOHUSIKA miongoni mwao wengine WALIISHASTAAFU. Hamna shida hapo.
 
Nashauri hii post ifutwe, maana point ya mtoa mada ni sisi kuja kupimiwa tena kama tulivyokwisha aminishwa hapo mwanzo halafu halafu tuibiwe tena. Mtoa post wewe siyo mtanzania. Wamepima na kutoa majibu watu waliofikia ukomo wa elimu waliyobobea...maprofesa. They know what they have done. Wanaaminika na wananchi na serikali kwa ujumla. Sasa wewe endelea kuitafuta taasisi.
 
Kwani hiyo dhahabu ni ya kimataifa? Dhahabu ni mali yetu, sisi tunakagua/ kuchunguza mali yetu. Tukigungua wanatuibia tunawatimua. Full stop. Tunaweza hata kuwalaza lock up kwa kosa la wizi na sheria inachukua mkondo wake. Mwizi popote hana immunity in front of the law.

Ama kweli wewe ni Dr Akili...!!

Sasa kama dhahabu ni ya kwenu, ikawaje mmewapa watu wa mataifa mengine kuchimba na kupeleka kwao huku ninyi mkilipwa sijui kitu gani kile..... mrahaba !??

Kama ni ya kwenu, kweli mikataba ya kuchimba dhahabu yenu mnaenda mnaandaliwa na wazungu kisha inaenda kusainiwa London tena hotelini bila hata wananchi kupitia bunge lao kujua nini kilichomo ktk clauses za mikataba hiyo ??

I think, let us pay the price of our stupid deeds .....

Naona kila dalili kuwa, pamoja na tume na kujifanya wanatishana kutumbuana, hakuna lolote litakalobadilika.....

Ni kwa sababu, mimi huwa ikifikiaga hatua ya kujadili mikataba hii ya raslimali zetu za asili inazozihusisha mult national companies, mara zote na -refer mkataba wa ufuaji umeme wa Richmond > Symbion na IPTL ambayo serikali hiihii chini ya CCM hiihii ilingia na kusaini....

Na badala yake ilishamaliza mabilioni ya dollar kutaka kuirekebisha ama kuivunja eti kwa kuiona haifai, ya kinyonyaji pasipo mafanikio huku tukiendelea kuliwa taratibu tukijiona.....!!

Sembuse hii ya madini ? Sina hakika pia kama Magufuli, atauweza mfupa huu .....

Hata hivyo, namuunga mkono na namtakia kila la kheri ktk kujaribu kwake naye....
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Hii report isije ikaleta hasara kama ile ya samaki!!
 
Kamati iliyoundwa kuandaa taarifa kuhusu mchanga wa Dhahabu katika makontena imejaa maafisa wa serikali ambao kiapo chao kiko kwa mwajiri wao,haitarajiwi wafanye insubordination kwa kupinga hoja za mwajiri wao ambaye kuna video na maandishi yanamnukuu akiwa tayari na jibu kuhusu mchanga huo.

Kwa ushauri wangu,serikali haiwezi kuwa na kesi halafu ikaiamua yenyewe,

Yaani serikali inalalamika kuibiwa,mgodi unasema hauibi,ni nani mtu wa kati wa kuwaamua watu hawa wawili? Mtu wa kati aliye huru na asiye na hofu ya kufutwa kazi kwa atakachoandikwa na atakayekuwa na uwezo wa kukataa maelekezo kutoka popote pale na kwenye utaalam wa kutosha(sio wa kufundisha madarakani tu?) Ni wazi wajumbe wengi wa kamati ni maafisa waajiriwa katika idara mbalimbali serikalini na watarudi katika ajira zao baada ya ripoti,na mkuu wao wa ajira ndiye aliyewapa ujumbe wa kamati!!

ilitakiwa Taasisi huru ya kimataifa,isiyoegemea upande wa mgodi wala serikali iteuliwe,ipewe kazi ya uchambuzi

Hawa maafisa wa serikali waliojaa kwenye kamati tena bila uwakilishi wa migodi ni ngumu kuwaamini,

Huu mchezo lazima uanze upya na utafika mbali!!

Na kuna upande utalipia gharama kubwa kama fidia!!
Mkuu, eti taasisi huru yaani uchunguzi nyeti kama huo ufanywe na TWAWEZA !!!
 
Nashauri hii post ifutwe, maana point ya mtoa mada ni sisi kuja kupimiwa tena kama tulivyokwisha aminishwa hapo mwanzo halafu halafu tuibiwe tena. Mtoa post wewe siyo mtanzania. Wamepima na kutoa majibu watu waliofikia ukomo wa elimu waliyobobea...maprofesa. They know what they have done. Wanaaminika na wananchi na serikali kwa ujumla. Sasa wewe endelea kuitafuta taasisi.

Nafikiri,hii comment yako ndiyo inafaa kufutwa kwa sababu ni ya kijinga, kipumbavu na ubinafsi wa hali ya juu......

Hili ni jukwaa huru kwa kila mtu kutoa maoni yake ili mradi havunji Sheria yoyote....

Wewe kama unataka jukwaa ambalo ni "one sided opinions ", la kusifiwa na kutaka kusikia masikio yenu yatakayo kusikia, fungua FB yenu huko huko....!!
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom