ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 8,682
- 16,247
Sasa mwanamke ambaye kukitikea shida ndani ya nyumba,anaona ananyanyasika nakuona a-opt kuwa single mother,mimi nimzuie wanini?Awe single mother wadau wamfakamie kwa uhuru bila hofu yakuwaza kua watakuja kufumaniwa.Mfano huyo aliyetoka kwa mhadhiri,awe tayari kuchakatwa na watu mbalimbali tena kwa uhuru,kikubwa namuomba asije akaleta picha mbaya kwa watoto kwani yawezekana wakawa wanashuhudia wanaume wa kila aina wakilala na mama yao,hivyo kuathirika kisaikolojia.Kwahiyo unaenda kumdhihaki Mungu kwa kuapa kuwa muaminifu halafu unachepuka Kama upo kwenye mashindano 😂 😂 😂 hongera Ila muonee huruma watoto wenu pia kwa kuwasababishia malezi ya single mother au ya mama wa kambo... Mabadiliko yanaanza na wewe kaka.


